Nasikia huyu CS amebakishwa katika baraza la mawaziri, kweli Kenya hakuna watu, huyu alipaswa kutimliwa kipindi kile cha kugombania bomba la mafuta, alikuwa anazungumza urongo mtupu, kichwani hajui kitu huyu jamaa kabisa
sema tu hamna barabara kama hizo hapo...wivuBora zetu zenye white sand kuliko zenu hizo za dongo kundu
kwavile gari moshi yenu mlijenga kwa miez mitatu??Haya basi 2018 ndio hiyo wapi Bombardier, dreamliner, SGR/ bullet train, superhighway, Bagamoyo port na pipeline?
Tuliaaaaaa, usipaparike, andaa passport uje ujionee dunia ilivyo this year, acha kujifungia huko Kibera, utapitwa na mengi sana. The country is moving, is moving steadly.Haya basi 2018 ndio hiyo wapi Bombardier, dreamliner, SGR/ bullet train, superhighway, Bagamoyo port na pipeline?
usiwashangae kichwani kumejaa maji na uongo ni sehemu ya maisha ya mkenya bahati mbaya zaidi dunia ya leo utamdanganya nani???😀😀😀😀Nasikia huyu CS amebakishwa katika baraza la mawaziri, kweli Kenya hakuna watu, huyu alipaswa kutimliwa kipindi kile cha kugombania bomba la mafuta, alikuwa anazungumza urongo mtupu, kichwani hajui kitu huyu jamaa kabisa
Kibera population = <200k
Gari moshiSafu ya kike ndani ya sgr baby![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 669570
View attachment 669571View attachment 669572View attachment 669573View attachment 669574
Mnawaonea hao mabinti,hiyo kitu yataka nguvu nyingi ku control.Safu ya kike ndani ya sgr baby![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 669570
View attachment 669571View attachment 669572View attachment 669573View attachment 669574