Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Geneva of Africa
6635d6ce20f0b385aa12b22765f5dff8.jpg
1b7c2633a563f0e1aadeb27ea7c9f727.jpg
2a19789193aee6b3fbfa5b4e46cdf35b.jpg
ada83687e34deab6976a5ff8c731e46e.jpg
 
Inaonakana baadhi ya Watanzania katika hii thread wanajali zaidi kuhusu yanoyotekea nchini Kenya kuliko Tanzania. Ninapo pitia thread za Jukwa la siasa siwaoni vifaranga wa Magufuli Kama Annael na ichoboy. Lakini nikifika katika sehemu ya Kenya wanaonekana usiku kucha.
 
Inaonakana baadhi ya Watanzania katika hii thread wanajali zaidi kuhusu yanoyotekea nchini Kenya kuliko Tanzania. Ninapo pitia thread za Jukwa la siasa siwaoni vifaranga wa Magufuli Kama Annael na ichoboy. Lakini nikifika katika sehemu ya Kenya wanaonekana usiku kucha.
Talk of being obsessed with Kenya
Cc. Barbarosa
 
Inaonakana baadhi ya Watanzania katika hii thread wanajali zaidi kuhusu yanoyotekea nchini Kenya kuliko Tanzania. Ninapo pitia thread za Jukwa la siasa siwaoni vifaranga wa Magufuli Kama Annael na ichoboy. Lakini nikifika katika sehemu ya Kenya wanaonekana usiku kucha.
1. Tutake ladhi. Kutuita vifaranga hili ni tusi kubwa. Kwa watu wenye busara hawawezi kukutilia maanani point zako maana tayari ni za kijinga.
2. Kuna mambo ya local na international. Kila mmoja anafanya kwa wajibu wake. Wewe umejiunga karibuni tu. Fuatilia thread za Annael utazielewa vizuri.
3. Wewe kwa muono wako unahoja ya maana sana kutuzidi sisi? Kumbuka hii thread imeweka heshima kubwa baina ya Watanzania na Wakenya. Hakuna dharau za kipuuzi puuzi. Kama tumefanikiwa kwa hilo hatuna budi kupongezwa.
4. Mambo ya kujadili watu binafsi ni utoto tulishaucha miaka mingi iliyopita. Naona mwenzetu bado unaendekeza utoto. Tunajadili issues.
 
Inaonakana baadhi ya Watanzania katika hii thread wanajali zaidi kuhusu yanoyotekea nchini Kenya kuliko Tanzania. Ninapo pitia thread za Jukwa la siasa siwaoni vifaranga wa Magufuli Kama Annael na ichoboy. Lakini nikifika katika sehemu ya Kenya wanaonekana usiku kucha.
Kwa hiyo unataka kuwapangia cha kupost?
 
1. Tutake ladhi. Kutuita vifaranga hili ni tusi kubwa. Kwa watu wenye busara hawawezi kukutilia maanani point zako maana tayari ni za kijinga.
2. Kuna mambo ya local na international. Kila mmoja anafanya kwa wajibu wake. Wewe umejiunga karibuni tu. Fuatilia thread za Annael utazielewa vizuri.
3. Wewe kwa muono wako unahoja ya maana sana kutuzidi sisi? Kumbuka hii thread imeweka heshima kubwa baina ya Watanzania na Wakenya. Hakuna dharau za kipuuzi puuzi. Kama tumefanikiwa kwa hilo hatuna budi kupongezwa.
4. Mambo ya kujadili watu binafsi ni utoto tulishaucha miaka mingi iliyopita. Naona mwenzetu bado unaendekeza utoto. Tunajadili issues.
Aah... There you are. Just stick with it. Ama unataka kufikia the required number of posts per day aje?
 
1. Tutake ladhi. Kutuita vifaranga hili ni tusi kubwa. Kwa watu wenye busara hawawezi kukutilia maanani point zako maana tayari ni za kijinga.
2. Kuna mambo ya local na international. Kila mmoja anafanya kwa wajibu wake. Wewe umejiunga karibuni tu. Fuatilia thread za Annael utazielewa vizuri.
3. Wewe kwa muono wako unahoja ya maana sana kutuzidi sisi? Kumbuka hii thread imeweka heshima kubwa baina ya Watanzania na Wakenya. Hakuna dharau za kipuuzi puuzi. Kama tumefanikiwa kwa hilo hatuna budi kupongezwa.
4. Mambo ya kujadili watu binafsi ni utoto tulishaucha miaka mingi iliyopita. Naona mwenzetu bado unaendekeza utoto. Tunajadili issues.

Kama ungetaka kujadili issues basi ungejadili jinsi ambayo Magufuli anaiharibu nchi. Karibu katika Jukwaa la Siasa ujionee na tujadiliane.
 
Kama ungetaka kujadili issues basi ungejadili jinsi ambayo Magufuli anaiharibu nchi. Karibu katika Jukwa la siasa ujionee na tujadiliane. Jukwaa la Siasa
Sasa wewe ndiye unanichagulia cha kujadili? Ninaongea tu kwa kukustahi maana bado mgeni. Nimekueleza fuatilia comment zangu since I joined JF. Wewe anzisha thread kokote yenye maana nitatia maguu. I don't discuss people my friend. Ukileta thread ya kumjadili mtu sitatia neno.
 
Anna ni mpuzi wa kiwango cha PhD. Threads zake zote ni za uchochezi na kuhusu Kenya, Kenya, Kenya..... Kenya Wins all the time.
We done with you. Tumeshamaliza kila kona tumepiga. Hakuna jipya from Kenya. Kwa kuwa mmeanza kuwa na heshima tutaanza kuongea. Mkileta dharau tunawabadilikia. Show respect utaona uzuri wetu.
 
Back
Top Bottom