Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Afu SGR ya Tz requires $1.2b lakini maguful amepeana only $120million bado anaongea na Zuma, world bank na China.
 
nyie munatushinda kwa kivu vifuatavyo

debt to GDP ratio 60%
unemplyment rate 40%
below poverty line 46%
the worse and biggest slums in the world
tribalism, corruption and poor security
hunger

hehehe is toyota from kenya now???😀😀😀
If you and your fellows didn't understand the Toyota joke and how I used it in the statement, how can I expect you to understand the rest of the things I said? Again, the car (country) in front of you is always a Toyota (Kenya). Jaribu kuelewa kidogo sasa ninancho maanisha
 
Are you serious? Eti nchi gani ulaya iko na bullet train? Are you seriously asking this question? OMG! Wewe umekaa hapo ujamaa village unafikiri that is all the world has to offer! Tembea uone ndugu yangu, wacha kujiaibisha mbele ya uma.
Nilikuwa nakusubiri uje na arrogance yako ya Kikenya. Sio kutembea tu nimekaa Ulaya zaidi ya miaka 15! Ulaya hamna BULLET TRAIN....Ziko Japan ni wazi hujui bullet train ni nini. Ulaya kuna electric na diesel-electric na hazijafikia kiwango cha Bullet Train.
 
If you and your fellows didn't understand the Toyota joke and how I used it in the statement, how can I expect you to understand the rest of the things I said? Again, the car (country) in front of you is always a Toyota (Kenya). Jaribu kuelewa kidogo sasa ninancho maanisha
nyoosha maneno bro😀😀😀😀
 
Screenshot-2018-1-4 Tanzania Purchase USD200m Bombardier Aircraft - TanzaniaInvest(1).png
 
Hii reli ya tz ni ya kuunga unga... ni kama vile unataka kupika mboga lakini hauna mafuta ya kupikia... ukishapata mafuta ya kupikia tena unakuta hata kitunguu hauna... nyanya nazo hata hujui zitatokea wapi, unaomba mungu ashukishe mvua ya nyanya.... mara unarandaranda kwa majirani kuomba chumvi. ukifika nyumbani nayo unakuta gesi imeisha, unabaki kushika tama.
wananchi wa tz nao hata hawajui reli inajengewa wapi. hakuna plan, hakuna renders, hakuna design hakuna muelekeo.
 
Hii reli ya tz ni ya kuunga unga... ni kama vile unataka kupika mboga lakini hauna mafuta ya kupikia... ukishapata mafuta ya kupikia tena unakuta hata kitunguu hauna... nyanya nazo hata hujui zitatokea wapi, unaomba mungu ashukishe mvua ya nyanya.... mara unarandaranda kwa majirani kuomba chumvi. ukifika nyumbani nayo unakuta gesi imeisha, unabaki kushika tama.
wananchi wa tz nao hata hawajui reli inajengewa wapi. hakuna plan, hakuna renders, hakuna design hakuna muelekeo.
sisi sio watu wasifa ndio maana tunafanya mambo mengi kimya kimya sana 😀😀😀😀😀😀 we utashtukia kitu tayari alafu uanze kutokwa povu vzr
 
Back
Top Bottom