Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila uandishi wako unaonyesha wewe ni Zuzu tena Zuzu haswaaaa
Tuna Vituko humu jf toka Kenya
Huyu na Mjinga mwenzie Anajiita Collo ni hatari
kama hawa niwawakirishi wa wakenya basi Wanataabu
Ni vilaza vilaza
 
DSehECQW0AAVW0S.jpg
 
Nipo kwenye mada hii kabla yako
pia Jf sio Kijiwe cha Kikuyu Vs Jaluo sawa
Ufiche Ujinga wako
Apa ni Kenya section... 2taki...madem wana mdomo....bytha...me..niwakitambo kwa jf sana....soon ukukamu .mbele yangu
 
Hivi ni kipi hasa kioichomfanya uhuru aanze kurusha mipicha ya treni yenu tweeter leo? I am just asking myself.
kuna jamaa huwa ana control hio account anaitwa Dennis Itumbi bro...hata mara nyingi huwa sio Uhuru
 
Back
Top Bottom