Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Anyone knows whether that’s an indoor Arena on the left side ( Bomas conference center)?… I guess the rail connection to Talanta would make sense..
IMG_8234.jpeg
 
U r not a football nation that stadium will go to waste!
So zenu ndio will not go to waste?
Viwanja vyenu mlivyo karabati na kujenga vipya vyote viko Nairobi??

Ligi yenu ni mbovu na haina hela. Mara baada ya AFCON hivyo viwanja vitakuwa mzigo mkubwa kwa your broke government.
 
Hao wanajisumbua tu,stars leo imekula goli chache 4,haiwezekani kwenye kila kitu muingize siasa halafu mkafanikiwa
Kwenye kuingiza siasa naungana na wewe na limeharibu pakibwa sana to a point hata maudhurio kwa timu na just ended CHAN hayakuwa mazuri.

However, stars chini ya Mzanzibure kabisa, Hemed Morocco, ilikuwa hovyo mno. Ingawa Miguel Gamondi kachukua timu weeks ago ni bora kuliko Morocco.

Facts: Nigeria in the last 6 matches hajawahi kufunga 4 goals in 90mnts. Na imeruhusu at least 1 goal kila mechi.
 
Back
Top Bottom