Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Don't twist my observation. Land is plenty in Tz anyone can own a plot unlike Kenya land is owned by the rich and politicians so it make perfect sense to buy apartments in Dar we build our own houses mostly.
Land is owned by the rich and politicians 🤣🤣🤣🤣
Voice of consolation from a bongolala

Oya, I own several acres of land back home. I don't know whether I should classify myself as a politician or as a rich person
 
Old settlements but still 100 times better than Kibera, Mathare and Uthiru
Dar es Salaam has many new settlements that are far from city centre na kila mtu hujenga nyumba yake mwenyewe. Sikuhizi watu wanajenga nyumba mpya na za kisasa. Sio affordable housing mnazojenga huko Kenya, bali ni proper houses, "one house for a family"
We are not your mates
Old settlements indeed. Old settlements wakati Google earth images show such houses dottting the entire dar skyline. From Bugurini, Tandika, Keko, Mwananyamala, Manzese, Tandale, Yombo, Tabata, Mabibo nk, ni wapi sio uswazi? Hizo "proper" hoses mnazojenga mnazijenga hewani?
 
Old settlements indeed. Old settlements wakati Google earth images show such houses dottting the entire dar skyline. From Bugurini, Tandika, Keko, Mwananyamala, Manzese, Tandale, Yombo, Tabata, Mabibo nk, ni wapi sio uswazi? Hizo "proper" hoses mnazojenga mnazijenga hewani?
Nimeshakuambia mitaa mipya ambayo Watanzania wanajenga sikuhizi iko mbali na City centre. Wewe upo busy na Tandale, maeneo yaliyojengwa zamani na hata huko Tandale people live better life than most people in your slums and affordable houses live

Huku ni Goba, 35 km from Dar city centre. Ni moja ya maeneo mengi ambayo average Tanzanians wanaishi kwa Dar

View: https://youtu.be/xTdVGdiyd5A?si=2G26XNeYPRiLS1sh
 
Machakos international country bus station... Kama Singapore😃🔥
1000248329.jpg
 
Back
Top Bottom