Nimeona nikuwekee hizi post tangu 2018 at least upate uelewa kuwa naijua Chadema na maneno yangu hayana michambo wala uhusuano wowote na uliowataja wakina Lissu, Maria. Hao wametublock tangu 2016 huko! Chadema haijawahi kuwa chama cha kisiasa Tanzania zaidi ya proxy brigade ya westerners na Lissu ni agent kama wengine.
Mi nipo against na hicho chama na hao wkina Maria kitambo sana.
View: https://x.com/KipepeComrade/status/1482177843618623488
View: https://x.com/KipepeComrade/status/1065675912442773504
View: https://x.com/KipepeComrade/status/1426334234097209348
View: https://x.com/KipepeComrade/status/1053925088666570752
View: https://x.com/KipepeComrade/status/1920232264736063844
View: https://x.com/KipepeComrade/status/1857063749896597685
Hayo madude ulio orodhesha ni among seven devices za propaganda. Sio tu kwakua wewe umesoma somewhere basi unadhani wengine hawajui ama hawajasoma hayo mavitu.
MSAADA TUTANI: utapata uelewa mzuri wa "name calling device" kama umesoma or utasoma "problems of Identity"; mimi niligongana nalo hilo kwenye Perennial Philosophy.
Kuna watu najuana nao kwenye forums nje ya JF kama Geza, Nairobi Walker kwa karibu or zaidi ya miaka 10. Sasa kama nina 23 years nilianza kuwa mitandaoni nikiwa 13 years. Hakuna mtu smart upstairs anaweza kuja na hizi assumptions zako za umri. 🚮
Samia hapingwi kwa sababu ya dini yake, bali kwa incompetence na ukibaraka wake wa mtandao.