Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Attachments

Anachosema kuhusu media za Kenya ni kweli 100% na ni mambo tumekuwa tukisema humu na kila mahala kwa miaka mingi sana.


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1456396671202611202

Ila ni kujitoa tu ufahamu kutokubali uhalisia ambao pia tuliokuwa tukiusema toka zamani kuwa Kikwete ni tatizo kubwa moja nchi na mtandao wake waliomsimika Samia mbaye ahakuwahi kuwa chaguo la Magufuli kama VP ni Kikwete huyu alileta uharamia kwa manufaa anayojua yeye. Ona wapi wameipeleka nchi na ona vile wanacheza kKADI ya DINI.

View: https://x.com/KipepeComrade/status/1381426224182882305


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1683570111897010176


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1683305324915179520

Rudi darasani kaka ukajifunze siasa. Siasa za kuchafua watu ni za watu amateur. Umaarufu unatakiwa uujenge kwa kutumia msingi wako mwenyewe, siyo unajenga umaarufu kwa msingi wa kuwasimanga watu wengine.
 
Tofauti ya Mbeya na Bondo ama Siaya ni nini? Yet those two places are barely considered towns in Kenya.
Ooh sasa nimeelewa
Ukitoa dissing sio kweli kwamba Mbeya ni kama Bondo au Siaya.
Mbeya ni developed city na ni mji mkubwa umetanuka, Mbeya ina miundombinu mingi sana ila ipo scattered, kama miundombinu yake yote ingekuwa concentrated city centre basi ungeona skyline ya tofauti sana

Lakini fact ni kwamba, Mbeya ni jiji kubwa takribani 250km square, hii ni kaka 1/3 of Nairobi na population ni around 600,000 people

High school nimesoma Mbeya na sasahivi University nasoma huku so najua vizuri ninachokisema, Kutoka Iwambi hadi Uyole ni 22km na bado hii ni ndani ya city.
Kuanzia 2023 hadi 2025 May huu mji haukuwa na ujenzi mkubwa sana, but this December nimerudi nimeona kila sehemu wanafanya construction, kuanzia malls, hotels, schools, hospitals, roads etc ni kama mji umeamka ghafla. Within next 5 to 10 years Mbeya will be something else.
Na hata sasa naweza kukutajia vitu vilivyopo Mbeya, huko Bondo au Siaya hakuna.
 
1000231958.jpg
 
Ooh sasa nimeelewa
Ukitoa dissing sio kweli kwamba Mbeya ni kama Bondo au Siaya.
Mbeya ni developed city na ni mji mkubwa umetanuka, Mbeya ina miundombinu mingi sana ila ipo scattered, kama miundombinu yake yote ingekuwa concentrated city centre basi ungeona skyline ya tofauti sana

Lakini fact ni kwamba, Mbeya ni jiji kubwa takribani 250km square, hii ni kaka 1/3 of Nairobi na population ni around 600,000 people

High school nimesoma Mbeya na sasahivi University nasoma huku so najua vizuri ninachokisema, Kutoka Iwambi hadi Uyole ni 22km na bado hii ni ndani ya city.
Kuanzia 2023 hadi 2025 May huu mji haukuwa na ujenzi mkubwa sana, but this December nimerudi nimeona kila sehemu wanafanya construction, kuanzia malls, hotels, schools, hospitals, roads etc ni kama mji umeamka ghafla. Within next 5 to 10 years Mbeya will be something else.
Na hata sasa naweza kukutajia vitu vilivyopo Mbeya, huko Bondo au Siaya hakuna.
This is Mbeya, if this is what you call a city then you have a long way to go.

20220401_172728.jpg
 
This is Mbeya, if this is what you call a city then you have a long way to go.

20220401_172728.jpg
That's just a small part of Mbeya, tena hapo ni Mbalizi. Sio hata part ya Mbeya City
Wewe unasema Bondo au Siaya ni kama Mbeya, hujui ulisemalo.
Mbeya ni mji mkubwa
Some high learning institutions in Mbeya
1. MBEYA UNIVERSITY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY - One of the best Engineering schools in Tanzania
Screenshot_2025-12-09-11-37-53-085_com.google.android.apps.maps.png

Screenshot_2025-12-09-11-38-06-370_com.google.android.apps.maps.png
Screenshot_2025-12-09-11-41-49-830_com.google.android.apps.maps.png
Screenshot_2025-12-09-11-38-31-818_com.google.android.apps.maps.png

Screenshot_2025-12-09-11-42-10-229_com.google.android.apps.maps.png

.

2. CATHOLIC UNIVERSITY OF MBEYA
Screenshot_2025-12-09-11-05-02-502_com.google.android.apps.maps.png

Screenshot_2025-12-09-10-53-19-676_com.google.android.apps.maps.png
Screenshot_2025-12-09-11-20-17-131_org.videolan.vlc.png

Screenshot_2025-12-09-11-20-38-109_org.videolan.vlc.png

Screenshot_2025-12-09-11-21-10-670_org.videolan.vlc.png
Screenshot_2025-12-09-11-21-35-542_org.videolan.vlc.png

.

3. MZUMBE UNIVERSITY- MBEYA CAMPUS
Screenshot_2025-12-09-11-30-17-283_com.google.android.apps.maps.png

Screenshot_2025-12-09-11-30-29-965_com.google.android.apps.maps.png
Screenshot_2025-12-09-11-30-45-764_com.google.android.apps.maps.png

Screenshot_2025-12-09-11-31-21-165_com.google.android.apps.maps.png

Screenshot_2025-12-09-11-32-42-413_com.google.android.apps.maps.png

.

4. TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY- MBEYA CAMPUS
One of the best institutes for business studies in Tanzania
Screenshot_2025-12-09-11-36-24-397_com.google.android.apps.maps.png

Screenshot_2025-12-09-11-34-59-837_com.google.android.apps.maps.png

Screenshot_2025-12-09-11-36-42-777_com.google.android.apps.maps.png

Screenshot_2025-12-09-11-35-10-259_com.google.android.apps.maps.png

.

5. UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM- MBEYA CAMPUS
One of the best health colleges in Tanzania
Screenshot_2025-12-09-11-45-07-994_com.google.android.apps.maps.png

Screenshot_2025-12-09-11-46-46-069_com.google.android.apps.maps.png

Screenshot_2025-12-09-11-45-18-745_com.google.android.apps.maps.png

Screenshot_2025-12-09-11-47-17-748_com.google.android.apps.maps.png

.

6. TEOFILO KISANJI UNIVERSITY
Screenshot_2025-12-09-11-43-43-911_com.google.android.apps.maps.png

Screenshot_2025-12-09-11-43-13-277_com.google.android.apps.maps.png

.

Na hapo bado kuna College of Business and Education, Chuo cha Kilimo Uyole, K's Collegw of Health and Allied Sciences nk
Hivi vyuo vyote vipo ndani ya jiji la Mbeya na kila chuo kipo mbali na kingine, na hivi ni baadhi tu, some of them are among the top universities in Tanzania.
Hapo bado sijagusa shule, hospitals, viwanda, hotels nk
Nikuulize tu Siaya au Bondo ina Universities nyingi hivi?
Lastly, I think you noticed something in all photos, kwamba Mbeya ni green almost everywhere. Ndio maana inaitwa Green City
 
Back
Top Bottom