Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbeya is not a City and University can't make a place to be called a city.
Wewe huelewi. Nimekutajia University zaidi ya 8 and I was just getting started
Nataka ukubali kwanza kuwa Bondo na Siaya hazifikii Mbeya kwa Universities. Acha kupretend as if nimetaja university moja, nimekutajia university nyingi. Tena Mbeya ina more than 15 universities ila nimetaja tu main
Ukishakubali kuwa Bondo na Siaya hazifikii Mbeya kwa number of universities niambie sasa nihamie kwenye hospitals
Nataka ukubali kimoja kimoja, baada ya hospitals, nakutajia viwanda, baada ya viwanda nakutajia miradi ya barabara, then schools, then markets, then hotels, then airport , then bus stations, then GDP, then population, then size ya mji na ongoing construction.
Nataka ukubali kimoja baada ya kingine. Kwani si wewe umesema Mbeya ni kama Bondo au Siaya? Sasa mbona hutaki kushindanisha number of universities.
Universities pekee haifanyi place kuwa city lakini as a city lazima iwe na Universities nyingi. Na baada ya kukubali issue ya universities, nitakuja sasa tushindanishe hospitals, na baada ya hospitals nitakuja na factor nyingine nyingi. Kubali kwanza kuhusu universities
Pia nataka tufananishe railway stations za Bondo na Siaya, tufananishe na hii ya Mbeya, na tuangalie dry port ya Mbeya, Bondo na Siaya ipi iko busy kuliko zote.

Maybe next time hutafananisha Mbeya na town za ajabu kama Bondo na Siaya

Acha tuone kila aspect Siaya na Bondo zina compare vipi na Mbeya. Ni wewe ndio umesema Mbeya haina tofauti na Bondo na Siaya, sio mimi
 
ila nadhani standard ya hotels vyuoni huwa 4 star sidhani kama ma-lecturers wakiwa kwenye conferences wanakuwa booked 5 star hotels!
Hawa nadhani wanataka kujenga hotel ya 5 star sio kwa ajili ya malecturer, bali kwa ajili ya kufanya biashara. Mty yoyote anayetaka ataitumia hiyo hotel
Kwa hiyo ni 100% possible watajenga hoteli ya 5 star
 
Hawa nadhani wanataka kujenga hotel ya 5 star sio kwa ajili ya malecturer, bali kwa ajili ya kufanya biashara. Mty yoyote anayetaka ataitumia hiyo hotel
Kwa hiyo ni 100% possible watajenga hoteli ya 5 star
Si sawa umbali wa chuo na city center! UDOM kama kitovu cha elimu inapaswa kuzingatia pia incase ya Sympiom ama educational conference wageni watakaa wapi!
 
Si sawa umbali wa chuo na city center! UDOM kama kitovu cha elimu inapaswa kuzingatia pia incase ya Sympiom ama educational conference wageni watakaa wapi!
Kumbe hawana conference hall
Hata hivyo wageni pia wanaweza kukaa kwenye 5 star hotel kwa sababu ndio iliyopo, sio lazima 4 star
 
Kwa hiyo huo mradi wa hoteli ya nyota tano unaona ni mbaya?
Halafu UDSM wanatumia hotel ya nyota nne, ni uamuzi wao. UDOM wanataka ya nyota tano
kwa location ile ya umbali wa kutoka city center! maana facility ile ni kwa ajili ya ku-host researchers na wageni conferences za mambo ya academics! Si marais au wafanya biashara wakubwa! labda kama wangeijenga katikati ya Jiji! Hiyo hoteli haitalipa!
 
kwa location ile ya umbali wa kutoka city center! maana facility ile ni kwa ajili ya ku-host researchers na wageni conferences za mambo ya academics! Si marais au wafanya biashara wakubwa! labda kama wangeijenga katikati ya Jiji! Hiyo hoteli haitalipa!
Mji ndio unatanuka hivyo, city centre ipo crowded, acha wajenge pembeni ya mji. Binafsi hii style yetu ya kujenga majengo makubwa mbali na city centre naikubali sana, mji unatanuka unakuwa mkubwa, tofauti na miji ya Kenya
Hiyo hotel italipa tu, nadhani wamezingatia future na kuona mji wa Dodoma unazidi kukua kila kukicha
 
Mashindano ya CECAFA kwa ajili ya kufuzu AFCON ya vijana wameburuza mkia.
1765354885858.png

Mashindano ya CAF ASF nayo yameburuzwa. 😂😂😂

1765354664933.png
 
Back
Top Bottom