Nimekuandikia kitabu, bare with me.
Oct 29, 30 na siku zote internet imefungwa TZ, mimi na wewe tulikuwepo hapa. Mbongo pekee aliyekuwepo ni
REAL Comrade Kipepe, at least aliyekuwa akichangia actively.
Wote tulilaani mpaka nikakuambia hii yetu ni mbaya, Kenya hamjawahi fiikia unyama huu. Kumbuka, hii ilikuwa kabla video na picha hazijaanza kutumwa mitandaoni.
Personally niliwashukuru wakenya kwa kuwa sympathetic hapa JF.
Hata baada ya internet kurudi na wenzetu walioshuhudia massacre kuja hapa, hawakuilaumu kenya.
Ni baada ya picha kuanza kutumwa mitandaoni, ndipo propaganda ya kulaumu wakenya ilipoanza ili kuficha unyama waliofanya.
Hao unaodhani ni wengi wanaoilaumu Kenya ni propaganda machine na nilisema hapa, hata kama kuna wakenya walihusika, impact yao ilikuwa ni ndogo sana blame yote in kwa serikali haramu.
Je, kuna baadhi ya wakenya wanafaidika na hii chaos, mfano watu wa sekta ya utalii na ndege? Of cause. Ila wakenya wa kawaida, walio wengi hawakuwa na sababu ya kufurahia.