Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Why should I blame Kenya while CCM is the root cause of the problem!?
Is CCM in Kenya!?
Only a stupid person would do that.
Nafikiri NairobiWalker anakunwa na kujisikia raha akisikia mtanzania ana blame wakenya, kuwa ndiyo waliosababisha vurugu Tanzania ili apate ammunitions za kutubeza na kutucheka.

Tulishamwambia toka mwanzo, hizo blame ni spinning tuu, kama cover up ya CCM.
 
Is this gonna be at Talanta ?.. I read somewhere it will be ready by February
Not confirmed but most likely bruv this is HSBC Svns, CS sports had hinted a big event to open the stadium and I bet this is it.
I mean, its a Football/Rugby Stadium
IMG_5507.jpeg
 
Swali zuri sana hili. Na hawa hapa ndio waliolipwa pesa kuichafua Tanzania. Wamekunja pesa ya haja

View attachment 3507765
What that Madenge lichosema ni ujinga kujastifai msimamo wa serikali kwakua kalipwa.

Hii Ilikuwa Mar 30, 2021, maongezi yangu na Mchumi mkubwa wa Kenya, David Ndii. Tukiongelea Ford Foundation.


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1376824523526377478


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1376841957079678978


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1376845204582465536
Iko hivi bwana mdogo, Ford Foundation wako wanafund haya mambo tangu kipindi cha Magufuli na nia kubwa ni kuvuruga nchi za Africa na sisi tumekuwa tukisema haya kitambo sana na ni mambo yako wazi.

Maaandamano ya Tanzania hayana uhusiano wowote na Ford Foundation kufund chochote kwakua wamekuwa wakifanya havyo hata kabla ya Samia kuwa rais.

Maandamano yasingewezekana kama kusingekuwa na rebellion ya kumkataa mama ndani ya CCM. Maandamano haya, kama ilivyokuwa harakati za kumchafua Magufuli thenm kwa 100% yanaendeshwa na wana CCM.
 
CCM wako na Safari... Hii dunia ya leo ya smart phone unadhani utafanya Uovu na uepuke.. Bila wakenya huyu mama angewamaliza..Dawa yake ni wakenya...

View: https://www.youtube.com/watch?v=XBv6U3Dpojs

Sio tu Wakenya, anguko la Samia limesaidiwa na wanaharakati wa Tanzania, wananchi wa Tanzania waliotoa ushirikiano, kwa Kenya kuna mchango wa Larry Madowo
Lakini Watz wameplay part kubwa zaidi. Fikiria watu kama Sativa, Maria Sarungi na Mange Kimambi. Na bado kuna Tundu Lissu ambaye yupo jela, imesaidia kuongeza mashitaka yao CCM
Pia Humphrey Polepole na Captain Tesha walisaidia ku raise awareness kwa Watanzania
Tanzania has been bleeding quietly for so long, soon my country will heal from these CCM gangsters and I can't wait to see that. Tanzania deserves better leadership
 
Maandamano yasingewezekana kama kusingekuwa na rebellion ya kumkataa mama ndani ya CCM. Maandamano haya, kama ilivyokuwa harakati za kumchafua Magufuli thenm kwa 100% yanaendeshwa na wana CCM.
You're absolutely right, in my assignment based on certain signals, I have come to the same conclusion.

There was no external involvement, or at least, to the level that would have made a significant effect.

We all remember how Magufuli was treated by the globalists, remember the zica hysteria, the terrorists in Tanga and Mozambique, that was absolutely orchestrated from abroad.

Reutus, New York post, The Gardians, all these globalist organizations were caught off guard on Oct 29.

If there were an external force involved, these organizations would have had a field day prepping us before Oct 29 and talking about it from day one.
 


Hivi kunyaland haiwezi kusimama peke yake bila kuitaja Tanzania na kijinasibisha kwenye mambo ya Tanzania!? Media za kunyaland ni content na habari za Tanzania tu.. asubuhi Hadi asubuhi... January mpaka January...
Bado bloggers na hungered activists wote wa kunyaland ni kubeba mambo ya Tanzania tu... Post kila muda hata muda wa kujisafisha matongotongo hawana...

Na hapa huyu githenjii analeta picha ya lake Natron from Ngorongoro Arusha na kusema ni lake ambayo ipo kunyaland! Kunyaland without Tanzania is finished.
 
Back
Top Bottom