mwaiofhawaii
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 4,812
- 5,263
Ngong road upgrades by Talanta
Ngong road upgrades by Talanta
Is this gonna be at Talanta ?.. I read somewhere it will be ready by February
Nafikiri NairobiWalker anakunwa na kujisikia raha akisikia mtanzania ana blame wakenya, kuwa ndiyo waliosababisha vurugu Tanzania ili apate ammunitions za kutubeza na kutucheka.Why should I blame Kenya while CCM is the root cause of the problem!?
Is CCM in Kenya!?
Only a stupid person would do that.
Not confirmed but most likely bruv this is HSBC Svns, CS sports had hinted a big event to open the stadium and I bet this is it.Is this gonna be at Talanta ?.. I read somewhere it will be ready by February
Hii picha inaelezea moja ya geographical feature inayosababisha watu kukusanyika na kutengeneza mji. Valleys hua ni chanzo kizuri cha maji na huwa na fertile land.Voi in Taita TavetaView attachment 3508043
Propaganda za kitoto hizi, tetemeko kdg tu limei expose CCM ya sasa kwamba ina vilaza wengi wasioweza kufikiri.Swali zuri sana hili. Na hawa hapa ndio waliolipwa pesa kuichafua Tanzania. Wamekunja pesa ya haja
View attachment 3507765
Maxence Melo muondoe huyu anaichafua platform yako adhimu, anasema eti ulilipwa kuchochea maandamano yaliyopelekea maelfu ya watanganyika wasio na hatia kuuawa.Swali zuri sana hili. Na hawa hapa ndio waliolipwa pesa kuichafua Tanzania. Wamekunja pesa ya haja
View attachment 3507765
Terrorism huwa inakuja baada ya udini udini ukikomaa ndo huzaa makundi ya kigaidi inamaana kwa kenya udini ulikomaa sana mpaka ukazaa ugaidiBro, there is a difference between terrorism and religiosity. You're dumb.
What that Madenge lichosema ni ujinga kujastifai msimamo wa serikali kwakua kalipwa.Swali zuri sana hili. Na hawa hapa ndio waliolipwa pesa kuichafua Tanzania. Wamekunja pesa ya haja
View attachment 3507765
anaacha kujadili udini wa kweli uliotokea garrisa na wastgate anaoukoteza vimaneno YouTubeNamalizia kukueleza mara ya mwisho.
Hao watu wamelipwa kuleta michezo ya kisiasa sisi wenyewe raia tumeshawakataa.
BIla shaka naongea na mtu mzima hivyo wacha nikuache.
I'm glad you're okay.
Ila mpunguze udini nyinyi watu.
View: https://youtu.be/38BwAOSvWvo?si=Au6bgZiWoG3EtPnH
CCM wako na Safari... Hii dunia ya leo ya smart phone unadhani utafanya Uovu na uepuke.. Bila wakenya huyu mama angewamaliza..Dawa yake ni wakenya...
View: https://www.youtube.com/watch?v=XBv6U3Dpojs
You're absolutely right, in my assignment based on certain signals, I have come to the same conclusion.Maandamano yasingewezekana kama kusingekuwa na rebellion ya kumkataa mama ndani ya CCM. Maandamano haya, kama ilivyokuwa harakati za kumchafua Magufuli thenm kwa 100% yanaendeshwa na wana CCM.