Sure, Kenyans wanadhani sisi tumetengana kama wao. Huku Muslims na Christians wanaishi kwa pamoja, kwa amani na upendo. Mimi mwenyewe mzazi wangu mmoja Mkristo mwingine ni muislamu
Mimi ni Mkristo na nimekua raised kwenye mkoa ambao upo dominated na waislamu, kamwe hawajawahi kunitenga, nina marafiki wengi waislamu na hakuna chuki yoyote ya kipuuzi. Ukienda Mbeya Region ambako kupo dominated na Christians, unakuta waislamu wanaishi kwa amani kabisa, wanavaa kanzu, wanasali suala tano na hakuna anayejali. Moja ya vitu bora sana Tanzania ni kwamba hakuna ubaguzi wa kipuuzi, hakuna ukabila wala udini