Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ingawa sijawahi kuuafiki uongozi wa huyu mama na kundi lake pamoja na mengine mengi, lakini huu ni ukweli.
1763756748560.png



View: https://x.com/KipepeComrade/status/1991833042873458706
 
Ingawa sijawahi kuuafiki uongozi wa huyu mama na kundi lake pamoja na mengine mengi, lakini huu ni ukweli.
View attachment 3505582


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1991833042873458706

Hii nimeisoma mahali

Na Gaza nao inabidi wajiulize kwanini Dunia inawapambania sana?

Congo wajiulize kwanini Tanzania inapeleka mpaka Majeshi? Inawapenda sana?

Tanzania ilivyokuwa inasaidia nchi za SADC walijiuliza kama “ kwanini tunawapenda sana?”

Unayepaswa kujitafakari hapa ni wewe Mkuu.
 
Back
Top Bottom