Mbona una quote mara mbili mbili kama mwehu?
Bamburi cement ndio inajenga kunyaland. Hilo hauwezi kulipinga kwa sababu Bamburi ndio Ina dominate soko la cement kunyaland yote. Kwa capacity ya uzalishaji na market share hakuna anaeifikia Bamburi.
Halafu kuna EAPCC nao ni major player kwenye cement production. Together Bamburi and EAPCC kwa mwaka huu pekee wameongeza uzalishaji wa cement kwa 18%. Unaweza kuona ongezeko hilo ni kwa sababu ya uwekezaji makini na uaimamizi makini ndio umepelekea kufikia hapo.