Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Stay strong! Jirani... naona international bodies are closely watching... they just need enough evidence and cooperation from major players( U.N, A.U, E.U na the U.S)inorder to bite... measures such as sanctions will be put to place, the so called Mama will have no option but to bend!. We need this battle to continue(a healthy one) through this battle we get to learn alot from each other, both positively and negatively. The goal is the same, both of these Nations will and must prosper!...
Hakuna kitu kama hicho. Usiwatishe watu. Hakuna international organization itafanya chochote. Maisha yanaendelea na hakuna kitakachoendelea.

1. Hakuna evidence yoyote inayoonesha kuwa vyombo vya ulinzi vya Tanzania vimewapiga risasi watu hao.
2. Siku hiyo ilikuwa siku ya kupiga kura watu walijitokeza kwaajili ya kutekeleza haki yao. Hao wanaopiga kelele ni kuwa wamepata aibu kwa kushindwa kutekeleza kusudio lao. Wavuruga amani alianza wao kwa kuchoma na kukata vidole waliokuwa wamepiga kura.
3. Hakuna order yoyote iliyotolewa na viongozi wa vyombo vya ulinzi na amiri jeshi mkuu kupiga risasi watu.

So unajifurahisha tu wewe na nafsi yako. Na lengo lenu kama kawaida la kuichafua Tanzania
 
Bloggers wa kunyaland inabidi tu sasa wavamie habari za nchi za jirani ili kupata engagement zaidi... Ni kwa sababu kunyaland imepitisha sheria ya matumizi ya Computer na cybercrimes . Wengi wamebanwa kende hapo na hiyo sheria mpya.
Na Sasa hivi kasongo na KRA wako busy kubadili income tax laws na ku adjust social security funds policy kuzidi kuwadidimiza hawa kunguni wa North. Badala waangalie mambo yao wako busy kufatilia mambo ya nje tuu...cs mbadi ameahidiwa kuwa vice bhas ni kupindisha tu sheria na kuweka tozoo...na uwanja wa ndege wameshaweka rehani huko Qatar.
Kunyaland ni hopeless creatures, they care about their neighbors business than their own.
Wamewekwa busy kufuatilia issues za Tanzania huku kwao kunaungua. Issue ya Tanzania ilishapita 10 days. Lakini vyombo vyao vya habari vimewakeep busy kwa trivial things. Stupid Kenyans
 
Hata huyu Mtoto utaambiwa ni Mkenya mwenye alienda kuandamana Tanzania.


View: https://x.com/C_NyaKundiH/status/1986688474062168103?t=rWXhOXrKBGF5kYmY3uEeIQ&s=19

Na huyu mwanahabari shupavu who was shot dead, kuna mpumbavu atasema ni onyango ama kamau kutoka kenya 🤬🤬...
Screenshot_20251107_140551_TikTok Lite.jpg
 
Wamefika 145 wanaoshitakiwa kwa makosa ya Kula njama na Uhaini

Majina haya hapa. Check kama kuna ndugu yako yupo kwenye orodha
 

Attachments

Kila mtu anajua watu wamekufa. So tunache kujadili mambo mengine? Leo siku ya 10, tuache kujadili mambo mengine tuendelea kujadili suala hilo tu. Everyone will die. Ukifa unawaacha waliohai waendelee na mambo yao.

Stop pretending to be God and judge of everything.
Kila mtu anahisia zake. Kama wewe unataka kuwa na huzuni milele, ni wewe, wengine tunakuwa na huzuni siku chache na tunasonga na maisha mengine


Eboh!!!
Sawa endelea kufurahia vifo vya watu. Wewe utaishi milele kama hao wenzako.
 
Nimepata habari that those who are doing the killings are mercenaries from zanziber and Uganda, is it true?... from the Many images nimeona most of those innocent souls were lined up and killed execution style. Sidhani kama hao ni police wa kawaida and they had no uniforms with masked faces.
Wa zenj hawapendi muungano kabisa na wanawachukia watanganyika kabisa.kwa hio wakipata nafasi ya kidhulumu watanganyika wanaikamatia sawa sawa.issue la vikosi kutoka uganda sujui kabisa
 
Huyu mama shetani na genge lake la wahuni wapelekwe ICC wakanyongwe,mara tu na patana na hizo video za watanganyika waliouliwa kinyama napandwa na hasira ajab.mara ya mwisho video kama hizo kusambaa mtandaoni ilikua ule wakati wa vita vya wahabeshi kule ethiopia (tigray vs ethiopia)
 
Huyu mama shetani na genge lake la wahuni wapelekwe ICC wakanyongwe,mara tu na patana na hizo video za watanganyika waliouliwa kinyama napandwa na hasira ajab.mara ya mwisho video kama hizo kusambaa mtandaoni ilikua ule wakati wa vita vya wahabeshi kule ethiopia (tigray vs ethiopia)
Post yako ya 72 umeamua iwe ya kuchamba watu? Kwikwikwikwikwikwi

1762523139889.png
 
Back
Top Bottom