REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,229
- 10,913
Mimi sio mdini na sina dini ndio maana niliachana na upadri na wa siudhuri kanisani.Huyu Jamaal nilifikia hatua ya kumpuuza maana ana udini sana.
Anashindwa kuelewa kuwa tatizo ni CCM sio dini.
Kama ni uislam Samia si angewaunga mkono wagombea waislam ikiwemo Sheikh Ponda Issa Ponda!?
Anashindwa kuelewa kuwa Emmanuel Nchimbi ni mkristo Na kuna wakristo kibao kwenye genge la Samia.
Huyo Samia kuna wanaomuendesha nyuma yake sio yeye peke yake.
Nikujulishe tu. Nchimbi, Bashe sio team Samia ni team Lowassa kindakindaki. Team Samia ni group la Kikwete na hao watajwa wanabeef kubwa ma Kikwete, Godfather wa Samia..
Dizain wewe ni mpya kwenye ulingo wa siasa.