Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,112
- 10,550
Dah umeamua kunitukana kabsaa? Mbona nifurahie upotevu wa maisha?Geza Ulole vipi mzee? Huna comment yeyote ya mauaji yaliyotokea, nothing +Ve or -Ve. Are you in shock or you're just a cold @ss moth@rfVcker.
Ni uzalendo tu. Wakenya wanauita blind patriotism humu JF. Now all that through the drain. Ni kweli tangu 2021 hatuna cha kushindana na hawa watu. Na trend hii in the next few years GDP yao itakuwa kubwa mara mbili yetu kama bado mpaka sasa.kuanzia 2021 mpaka sasa hii battle imebebwa na Nairobi tanzania tumekuwa beaten kwa mbali sana kwenye hiki kipindi tuache unafiki na hata wakati ujao hauoneshi dalili kama tutaweza ku-compete na kenyan battle imepoteza mvuto kwa kasi kubwa sana. Unaweza kuona kwa mifano mingi kenyan wana upload miradi mikubwa mipya ila sisi tuna upload madhaifu yao kama uchafu etc ambavyo in reality hata hapa bongo yapo pengine na zaidi point tuliyobaki nayo ni slum na vipi pakifanyika upgrade na kutokomeza slums je ni kipi tutazungumza ni kipi tutashindania?. Kwenye inshu ya amani, utu na ulinzi ni kipi tutaongea tena baada ya MO29 kutokea? (kama huwezi kushindana nae jiunge nae). Ni bora kwasasa tushindane kwa ukanda mfano ke+tz vs nigeria+xxx.
Tuwe wakweli tanzania kwasasa feels like a frozen atmosphere, nothing can change its position, just like a bug in the ice.
Hakuna mkenya haja kua empathetic na vitu zimefanyika bongo,Kila mkenya anajua hiyo government ya Samia Haina legitimacy ...angalia mitandaoni yote .Ruto knows better that why he sent his deputy for inauguration.keep I mind the way that guy love to travel.Hamchoki kujipa umuhimu
So sad to see a whole government hunting down its civilians like militia! Tanzania please don’t go the Sudan way, we already have enough this side of the continent!
Actually I think it’s w or se cause this is a functional government.
View: https://x.com/c_nyakundih/status/1985954187004322048?s=46
Syokimau is overwhelmingly underrated. Its massive with a number of malls,gated communities, estates and highrises coming up. Its on high gear forming its own cluster and becoming a city on its own.🙌🙌Kumbe kuna affordable houses in Syokimau. Hii iinipita.
![]()