BlietzKrieg
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,034
- 2,523
Marais wa maNCHI takataka ldc.View attachment 3496761
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema, Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, Rais wa Msumbiji Daniel Chapo pamoja na Rais wa Somalia Mhe. Hassan Sheikh Mohamud, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 03 Novemba, 2025. Marais hao pamoja na viongozi kutoka nchi mbalimbali walihudhuria sherehe za Uapisho zilizofanyika katika uwanja wa Gwaride, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma.
Huwezi ona rais wa serious nation hapo.
Upuzi za kimaskini tu.