Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1762191506700.png


Mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini Tanzania pamoja na Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa wakiwa kwenye sherehe za uapisho wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa Gwaride, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 03 Novemba, 2025
 
1762191585487.png


1762191606631.png


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhiwa silaha za jadi Mkuki kutoka kwa Mzee Ndijina Ndilanza Ndilito, mwakilishi wa wazee wa Tanzania Bara pamoja na ngao kutoka kwa Bi. Ubwa Hamis Ally mwakilishi wa Wazee wa Zanzibar kama ishara ya kulinda na kuitetea Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya kuapishwa katika uwanja wa Gwaride, Chamwino Ikulu mkoani Dodoma tarehe 03 Novemba, 2025.
 
Pumbavu sana, hata kuiba kura hajui, hesabu nikama alikua anapata sufuri. Nowonder she is a high school dropout.
Pambana na Ruto mambo ya Tanzania hutayaweza mdogo wangu. 🤣 🤣 🤣 Miaka hii mitano inayokuja tunapiga spana tu mpaka. Tanzania is for Tanzanians not other wise

1762192020377.png
 
There is word going around in the wires that Tindu Lissu will be released and made Prime Minister for 2 years before new elections. But if mama truly got 98% of the vote , that’s super mandate, so why cave in now?..
Chadema ama opposition parties sio walioleta maandamano bali ni kundi kubwa mdani ya CCM linalopinga kundi la wahuni linalo ongozwa na Kikwete.
Samia hakuwahi kuchaguliwa kuwa mgombea wa Chama cha Mapinduzi ilivyo desturi ni maneuvers ya kishenzi yalitumika na Kikwete kuoverrun mgombea halisi wa Magufuli, Dr Hussein Mwinyi, Rais wa Zanzibar.

Na sisi kitambo tunahubiri hatari iliyombele yetu hapo na twitter kuwa huyu mama na kundi nyuma yake ni hatari mno kwa nchi yetu.


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1381512271105511425


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1911835306568937895


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1985090435606532319


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1985095530683175308
 
View attachment 3496761


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema, Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, Rais wa Msumbiji Daniel Chapo pamoja na Rais wa Somalia Mhe. Hassan Sheikh Mohamud, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 03 Novemba, 2025. Marais hao pamoja na viongozi kutoka nchi mbalimbali walihudhuria sherehe za Uapisho zilizofanyika katika uwanja wa Gwaride, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma.
Why, in defiance of custom, was she sworn in at the military complex?
 
Hii miaka mitano mtatukoma. Mmeshindwa kukamilisha mission yenu 100%, Sasa ni wakati wetu kuwagonga nyundo tu.
It would be a miracle if Samia lived to 2030; she would either resign or die before then.
Wishing everyone good health and a long life as unforeseen scenarios unfold.
 
View attachment 3496761


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema, Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, Rais wa Msumbiji Daniel Chapo pamoja na Rais wa Somalia Mhe. Hassan Sheikh Mohamud, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 03 Novemba, 2025. Marais hao pamoja na viongozi kutoka nchi mbalimbali walihudhuria sherehe za Uapisho zilizofanyika katika uwanja wa Gwaride, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma.
The GDP of those countries (4)combined is $62 Billion!! that says a lot..and its only $140 B when Tanzania is included..
 
Your argument doesn't make any sense at all.

I think you are just irked that we share these data here. It's the data that you seem to have problems with. But hey, we don't compile these data. It's done by professionals
Dont you feel ashamed arranging all these data and sending it to someone who has less data than you but more wealthier than you? i mean imagine telling a ugandans that kenya has millions but you only own 10 bob out of the millions? dont u feel ashamed?
 
Back
Top Bottom