Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

View attachment 3496761


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema, Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, Rais wa Msumbiji Daniel Chapo pamoja na Rais wa Somalia Mhe. Hassan Sheikh Mohamud, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 03 Novemba, 2025. Marais hao pamoja na viongozi kutoka nchi mbalimbali walihudhuria sherehe za Uapisho zilizofanyika katika uwanja wa Gwaride, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma.
Please subiri kwanza muda upite ndio uanze kumsifia 😥
 
Baada ya jaribio lao COW kushindikana now is out turn tunajua PAK hajatuma mwakilishi yeyote kwenye uapisho.
Hawa tuliowakamata sasa ni mali yetu hatuwarudishi kwenye nchi zenu. Tunawapeleka kwenye mashamba ya mpunga wakalime.Nilikutana nawakenya maeneo fulani Dar kabla ya uchaguzi. Wengine vijana kutoka Uganda
Walikuwa na kundi fulani. Mmoja +254798427734.

Sijui kama amerudi salama huko Kenya au ni moja ya wale waliokamatwa.

TUNAANZA UPYAAAAAAAAAA

CCM OYEEEEE!!!

View attachment 3496745

View attachment 3496746
bora unyamaze tu si muda wa kujidai kwa sasa utu ni muhimu sana.
 
Please subiri kwanza muda upite ndio uanze kumsifia 😥
Upite kwenda wapi? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Plans zenu zote zimekwama. Hatuwezi kurudia makosa tena.

1762188543871.png
 
View attachment 3496761


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema, Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, Rais wa Msumbiji Daniel Chapo pamoja na Rais wa Somalia Mhe. Hassan Sheikh Mohamud, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 03 Novemba, 2025. Marais hao pamoja na viongozi kutoka nchi mbalimbali walihudhuria sherehe za Uapisho zilizofanyika katika uwanja wa Gwaride, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma.
Takataka hii.
 
Upite kwenda wapi? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Plans zenu zote zimekwama. Hatuwezi kurudia makosa tena.

View attachment 3496765
Heartless comment
Killing Tanzanian youths is unforgivable, if you think it's funny then I don't consider you as a human being
Tanzania is such a sweet innocent beautiful country, God knows we deserve better
 
Heartless comment
Killing Tanzanian youths is unforgivable, if you think it's funny then I don't term you as a human being
Tanzania is such a sweet innocent beautiful country, God knows we deserve better
Imeshatoka hiyo mdogo wangu. Kama kijana wako huku muonya na akawa anachezea sharubu za simba hayo ndiyo madhara. Huki China walizikwa zaidi ya vijana 100,000 ndani ya siku moja.


Amani ya Tanzania ndio kipaumbele. Zipo nchi zilizotaka kuleta machafuko nchini tumewakamata.

MUNGU IBARIKI TANZANIA

1762190117443.png
 
Wewe endelea kulamba Samia Sulubisha matak*
Kwikwikwi Mdogo wangu haya mapambano hatujaanza leo. Mpango wenu umekwama. Sasa msije mkaanza kulilia tutakapoanza kujibu. Mlianzisha COW tukawatandika. Mkaanza kumshawishi Museven aache kununu bidhaa za Tanzania tukawatandika bakora vizuri tu.

1762191040812.png


Tutaendelea kuweka mkazo katika kudumisha nguzo hii muhimu, na kamwe hatutokuwa na muhali na yeyote atakayejaribu kuivunja, kwani huyo atakuwa si mwenzetu na huo si Utanzania.
 
1762191506700.png


Mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini Tanzania pamoja na Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa wakiwa kwenye sherehe za uapisho wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa Gwaride, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 03 Novemba, 2025
 
1762191585487.png


1762191606631.png


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhiwa silaha za jadi Mkuki kutoka kwa Mzee Ndijina Ndilanza Ndilito, mwakilishi wa wazee wa Tanzania Bara pamoja na ngao kutoka kwa Bi. Ubwa Hamis Ally mwakilishi wa Wazee wa Zanzibar kama ishara ya kulinda na kuitetea Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya kuapishwa katika uwanja wa Gwaride, Chamwino Ikulu mkoani Dodoma tarehe 03 Novemba, 2025.
 
Pumbavu sana, hata kuiba kura hajui, hesabu nikama alikua anapata sufuri. Nowonder she is a high school dropout.
Pambana na Ruto mambo ya Tanzania hutayaweza mdogo wangu. 🤣 🤣 🤣 Miaka hii mitano inayokuja tunapiga spana tu mpaka. Tanzania is for Tanzanians not other wise

1762192020377.png
 
Back
Top Bottom