Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The Standard bado wanendelea kufinya madam Idi Amin Suluhu. Media za bongoslum zote zimeshikwa makend*.

Image
 
View attachment 3496761


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema, Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, Rais wa Msumbiji Daniel Chapo pamoja na Rais wa Somalia Mhe. Hassan Sheikh Mohamud, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 03 Novemba, 2025. Marais hao pamoja na viongozi kutoka nchi mbalimbali walihudhuria sherehe za Uapisho zilizofanyika katika uwanja wa Gwaride, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma.
Marais wa maNCHI takataka ldc.
Huwezi ona rais wa serious nation hapo.
Upuzi za kimaskini tu.
 
The Standard bado wanendelea kufinya madam Idi Amin Suluhu. Media za bongoslum zote zimeshikwa makend*.

Image
Ni aibu kuwa Mtz sasa hivi. Imagine mamia ya watoto wetu wameuawa kama mbwa koko lakini hakuna hata chombo kimoja cha habari kimeripoti. Na bado kuna mbwa anakuja humu JF Forum ashangilia kabisa. Sometimes tunajitahidi kushindana na Kenya ila moyoni tunajua we are worlds apart, Tz tuko nyuma sana yaani nyuma sana. Nimeumia sana.
 
Imetoka hiyo. Baada ya miezi michache mambo yatakuwa kama kawa. Hatuwezi kuruhusu majambazi kuichafua nchi yetu. Amani inalindwa ka Gharama zozote


1762249330307.png
 
Back
Top Bottom