Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lissu's children live in Belgium, not USA. They stayed in Kenya before they migrated to Belgium. We Kenyans are not of the habbit of keeping every receipt of the smallest help we give to people, that's why you probably don't know about Lissu using a Kenyan passport. If it was a Kenyan politician who had used a Tanzanian passport, we would never hear the end of it. Anyway, Tundu Lissu used the Kenyan passport in 2017 when Tanzanian officials refused to renew his passport.

View attachment 3496611
This guy!
Sentensi ipi nimesema watoto wake wanaishi wapi? Nimekwambia watoto wote wa Lisu ni rais wa Marekani wapi wanaishi wala sina mpango wa kujua, ni publicly acknowledged na yeye ameongea hili hadharani mara nyingi.

Lissu hajatumia passport ya Kenya na huna ushahi wa hili.
 
Hata nyinyi wakenya hamko salama na watutsi, umekuwa mkimsikia mtoto wa Museveni akiitishia Kenya. Nilishawaambia, anamaanisha huyo, hayo ni maneno wanayoongea kwenye dining table.
Mimi nadhani kosa kubwa lilifanyika 2005, maana ukiangalia historia kabla ya hapo TZ tulikua level nyingine kabisa kidiplomasia tuliheshimika sana,kuanzia mzee wa kucheka cheka hadi sasa nchi imekua ya ovyo
 
This guy!
Sentensi ipi nimesema watoto wake wanaishi wapi? Nimekwambia watoto wote wa Lisu ni rais wa Marekani wapi wanaishi wala sina mpango wa kujua, ni publicly acknowledged na yeye ameongea hili hadharani mara nyingi.

Lissu hajatumia passport ya Kenya na huna ushahi wa hili.
Enyewe ng'ombe ni ng'ombe tu.
I clearly said Lissu’s family lived in Kenya, yet you shot back with “which family?” and went on to claim his children are American citizens — essentially implying they live in the U.S. As I mentioned, you have a knack for dragging conversations into needless detours.
Unataka ushahidi upi kando na huo niliouweka? Ama unataka nipige picha ya Passport ya Lissu nipost?
 
Chapati ziko vizurii
1000185452.jpg
 
Mimi nadhani kosa kubwa lilifanyika 2005, maana ukiangalia historia kabla ya hapo TZ tulikua level nyingine kabisa kidiplomasia tuliheshimika sana,kuanzia mzee wa kucheka cheka hadi sasa nchi imekua ya ovyo
2005, hayakuwa makosa, hiyo ilipangwa na mtandao.

Nyerere walimuondoa 1999 ili kusiwe na kidomo domo, Dr. Omar Ali Juma, mrithi wa Mkapa wakamuondoa 2001, Dr Salim wakamfix 2005 kwa kutumia propaganda, and the rest is history.

Magufuli alikuja from nowhere,wakadhani atakuwa mmoja wao, ila wakalazimisha kuwa na backup, in case Magu angezingua, alipowakaidi wakamuondoa.

Sasa unaona wamelazimisha Samia aendelee, kwa hali na damu. Utaona hapa ishu siyo urais bali kuna watu wanavuta strings, hasa ukizingatia dunia ya sasa ambayo ipo kwenye sitonfahamu,

Tanzania ilikuwa inatamaniwa sana, linchi kubwa lina kila kitu, ila ilikuwa haiingiliki, ila sasa tumepatikana. Nasikia Sudan wamekufa 5K ndani ya wiki moja, sisi inawezekana tumepita hiyo namba katika siku mbili.
 
2005, hayakuwa makosa, hiyo ilipangwa na mtandao.

Nyerere walimuondoa 1999 ili kusiwe na kidomo domo, Dr. Omar Ali Juma mrithi wa Mkapa wakamuondoa 2001, Dr Salim wakamfix 2005 kwa kutumia propaganda, the rest is history.

Magu alipokuja from nowhere, mtandao wakatereka ila wakalazimisha kuwa na backup in case Magu asingewasilikiza. Alipowakaidi wakamuondoa, sasa unaona wamelazimisha Samia aendelee, kwa hali na damu. Utaona hapa ishu siyo urais bali kuna watu wanavuta strings, hasa ukizingatia dunia ya sasa ambapo haipo kwenye sitonfahamu.

Tanzania ilikuwa inatamaniwa sana, linchi kubwa lina kila kitu, ila ilikuwa haiingiliki, ila sasa tumepatikana. Nasikia Sudan wamekufa 5K ndani ya wiki moja, sisi inawezekana tumepita hiyo namba katika siku mbili.
So sad
 
2005, hayakuwa makosa, hiyo ilipangwa na mtandao.

Nyerere walimuondoa 1999 ili kusiwe na kidomo domo, Dr. Omar Ali Juma, mrithi wa Mkapa wakamuondoa 2001, Dr Salim wakamfix 2005 kwa kutumia propaganda, and the rest is history.

Magufuli alikuja from nowhere,wakadhani atakuwa mmoja wao, ila wakalazimisha kuwa na backup, in case Magu angezingua, alipowakaidi wakamuondoa.

Sasa unaona wamelazimisha Samia aendelee, kwa hali na damu. Utaona hapa ishu siyo urais bali kuna watu wanavuta strings, hasa ukizingatia dunia ya sasa ambayo ipo kwenye sitonfahamu,

Tanzania ilikuwa inatamaniwa sana, linchi kubwa lina kila kitu, ila ilikuwa haiingiliki, ila sasa tumepatikana. Nasikia Sudan wamekufa 5K ndani ya wiki moja, sisi inawezekana tumepita hiyo namba katika siku mbili.
Nimeona clip waislam wanamshangilia Samia kwa wingi, dizain wanaleta tifu kwa hizi kemp mbili za imani. Tanga, Pwani hakuna maandamano. So obvious mauaji yanatokana na group la wafadhili kadhaa wa nje kwa lengo la kusimika mabo yao but this shall come to pass.
 
Lissu's children live in Belgium, not USA. They stayed in Kenya before they migrated to Belgium. We Kenyans are not of the habbit of keeping every receipt of the smallest help we give to people, that's why you probably don't know about Lissu using a Kenyan passport. If it was a Kenyan politician who had used a Tanzanian passport, we would never hear the end of it. Anyway, Tundu Lissu used the Kenyan passport in 2017 when Tanzanian officials refused to renew his passport.

View attachment 3496611
Wewe ni unaweza tu kuoga!
Unaleta chats za AI, hizo vitu zinaokota ujinga kwenye mablog ya wajinga kila kona 🚮 🚮
 
Nimeona clip waislam wanamshangilia Samia kwa wingi, dizain wanaleta tifu kwa hizi kemp mbili za imani. Tanga, Pwani hakuna maandamano. So obvious mauaji yanatokana na group la wafadhili kadhaa wa nje kwa lengo la kusimika mabo yao but this shall come to pass.
Ninavyoona, at the top of the food chain, ishu siyo uislam per see. Kuna baadhi wanaweza kufurahi kwa sababu ya upeo mdogo ila waislam walio wengi hawamtaki Samia na hawa mercinaries wanaoua hovyo, hawaulizi dini ya mtu wanapofyatua risasi, kama wanavyofanya alshabab.

Kikubwa hapa kinachoendelea ni kuondoa umoja wetu ili kukomba raslimali. Kwa mfano ukiangalia kwa Samia, yeye na watu wake wa karibu ndiyo wanaojineemesha na pia kuwapa wazanzibari favors (mf. kuwafutia deni la umeme).

Samia hajawafanyia waislam chochote cha maana kama jamii. Hakuna cha mahakama ya kadhi, sijui kuiondoa BAKWATA, hata kujenga vyuo vikuu vya kiislam hakuna, hakuwahi hata kuomba pesa za kujenga misikiti mikubwa kama Magu au Mwinyi alivyobadilisha sheria ya uvaaji uniform kwa wanafunzi.

Ukifuatilia kinachoendelea Ulaya kiuchumi, hasa baada ya kushindwa ku destabilize Urusi na jeuri ya wachina kuongezeka, unawezapata picha ya kiini cha haya mambo.
 
Ninavyoona, at the top of the food chain, ishu siyo uislam per see. Kuna baadhi wanaweza kufurahi kwa sababu ya upeo mdogo ila waislam walio wengi hawamtaki Samia na hawa mercinaries wanaoua hovyo, hawaulizi dini ya mtu wanapofyatua risasi, kama wanavyofanya alshabab.

Kikubwa hapa kinachoendelea ni kuondoa umoja wetu ili kukomba raslimali. Kwa mfano ukiangalia kwa Samia, yeye na watu wake wa karibu ndiyo wanaojineemesha na pia kuwapa wazanzibari favors (mf. kuwafutia deni la umeme).

Samia hajawafanyia waislam chochote cha maana kama jamii. Hakuna cha mahakama ya kadhi, sijui kuiondoa BAKWATA, hata kujenga vyuo vikuu vya kiislam hakuna, hakuwahi hata kuomba pesa za kujenga misikiti mikubwa kama Magu au Mwinyi alivyobadilisha sheria ya uvaaji uniform kwa wanafunzi.

Ukifuatilia kinachoendelea Ulaya kiuchumi, hasa baada ya kushindwa ku destabilize Urusi na jeuri ya wachina kuongezeka, unawezapata picha ya kiini cha haya mambo.
Kama unafatilia mitandaoni utagundua kuna idadi kubwa ya hao wana imani kusimama nae kwakua wengi wao hawana elimu. Bara waislam wengi hawataki ujinga na hawamtaki kabisa. Ila kama nilivyokwambia "Mama hatuendi nae 2030". Jeshi halijachukua nchi kwa kutoweka mfano mbaya, ataapishwa kwenye viwanja vya kambi ya jeshi huko Dodoma then baada ya mida sio mrefu atajiuzuru. Nje yaa hapo kutakuwa na mvurugano na mtifuano wa mara kwa mara na maandamano kila baada ya muda hali itakuwa tete mno hata kwa rais ajae sasa na wamesha ona hili hivyo ni BUSARA ajiuzuru kwa heshima tuendelee or wata mu-assassinate hata yeye anajua hilo.

Uchaguzi ni wake, ajiuzuru atulie or auwawe tumzike kabla ya 2030.
 
Kama unafatilia mitandaoni utagundua kuna idadi kubwa ya hao wana imani kusimama nae kwakua wengi wao hawana elimu. Bara waislam wengi hawataki ujinga na hawamtaki kabisa. Ila kama nilivyokwambia "Mama hatuendi nae 2030". Jeshi halijachukua nchi kwa kutoweka mfano mbaya, ataapishwa kwenye viwanja vya kambi ya jeshi huko Dodoma then baada ya mida sio mrefu atajiuzuru. Nje yaa hapo kutakuwa na mvurugano na mtifuano wa mara kwa mara na maandamano kila baada ya muda hali itakuwa tete mno hata kwa rais ajae sasa na wamesha ona hili hivyo ni BUSARA ajiuzuru kwa heshima tuendelee or wata mu-assassinate hata yeye anajua hilo.

Uchaguzi ni wake, ajiuzuru atulie or auwawe tumzike kabla ya 2030.
Ngoja tuone itakavyokuwa ila dah, the bitch is evil.
 
Wewe nilifikiri unauwezo wa kiakili wa kutazama nje ya BOX.
Look kinachoendelea Tanzania ni machafuko ya kisiasa sawa na kwenye hali kama hii kuna possibilities nyingi.

Moja:
Vyama vya siasa vya upinzani hasa Chadema ndio wenye historia ya kufanya hivi kuhire groups za thugs na huua rais hovyo kama njia ya kuiweka CCM kwenye wakati mgumu na kuchukiwa na umma na kupata international condemnation na mengineyo. So kuna mengi nyuma ya pazia yanayo tokea na kuendelea, uki oversimplify mambo utakuwa mjinga.

Mbili:
Polisi na jeshi hawadeal na watu wako passive. Kikundi kinacho rusha silaha wako na nguo za kiraia na wengine utawaona kwenye clipwakiwa kwenye Toyota Landcruizer nyeupe.
Lakini sio bongo acha taarifa za uongo broo
 
Bro, what you're experiencing now is childplay compared to what we endured under Moi and Kenyatta. Unajua nyinyi mlipata uhuru na Rais mpole asiye katili, sisi uhuru tuliupata na real mafia. Ndio maana nyinyi ndio mnaanza kupigana saahii, sisi tulianza kupigana 1960s. Alafu whenever a president dies in power, there's always speculation of foul play. Hata Kenyatta Sr. kuna wenye wanaamini aliuliwa.
Kupigania Ukabila sio kupigania haki ya tiafa
 
Back
Top Bottom