Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Rushe shule ukadai fees yako. Ni clear umepoteza pesa za bure. Tanzania haikupeleka jeshi DRC bali some few battalions. Sasa ni mjinga tu anaweza ongea kama wewe kwakua kila jeshi kama ulivyo mpira wa miguu, wanaweza peleka U17 uwanjani kucheza na Djibuti kupata experience same ilivyo kwenye vikosi vya kwenda kwenye kulinda amani ama vita na majeshi ya hovyo kama M23.
Sawa Comrade Mapepo
 
Sidhani kuna uhalisia wa yeye kujiuzulu, huyu ameamua. Viongozi wote wa juu kawaweka mfukoni, the only hope hapa ni kichaa mmoja mwenye 'access' atakayeamua kujitoa sadaka.
Sio viongozi wote ni vile katiba yetu ilivyo na uhalisia kuwa Tanzania ni nchi ya chama kimoja na muundo wa Jeshi letu hakuna kikosi kinaweza pindua nchi wala mkuu yeyote wa Majeshi mwenye uwezo huo bila coordination na wakuu wengine na wote wana kadi za CCM na loyal kwa mwenyekiti wa chama.

Nchi imeingia kwenye vyama vingi lakini katiba ni ile ile ya chama kimoja na hakuna upinzania utashika nchi kwa katiba hii wala kutokea mapinduzi ya kijeshi kwakua huko nyuma yalikuwa mengi sana wakati wa ukombozi na jaribio la mwisho 1982 waliupdate mfumo so mapinduzi ya kijeshi hayawezekani kabisa na mama hawezi ongoza hii nchi to 2030 atauawa na usalama, nafikiri hata yeye anajua hilo.

Tutamzika soon asipojiuzuru.
 
Tupe ushahidi lLisu alitumia passport ya Kenya. Lisu's kids are American citizens. Familia ipi unaongelea?
Lissu's children live in Belgium, not USA. They stayed in Kenya before they migrated to Belgium. We Kenyans are not of the habbit of keeping every receipt of the smallest help we give to people, that's why you probably don't know about Lissu using a Kenyan passport. If it was a Kenyan politician who had used a Tanzanian passport, we would never hear the end of it. Anyway, Tundu Lissu used the Kenyan passport in 2017 when Tanzanian officials refused to renew his passport.

Screenshot 2025-11-02 231112.png
 
Lissu's children live in Belgium, not USA. They stayed in Kenya before they migrated to Belgium. We Kenyans are not of the habbit of keeping every receipt of the smallest help we give to people, that's why you probably don't know about Lissu using a Kenyan passport. If it was a Kenyan politician who had used a Tanzanian passport, we would never hear the end of it. Anyway, Tundu Lissu used the Kenyan passport in 2017 when Tanzanian officials refused to renew his passport.

View attachment 3496611
This guy!
Sentensi ipi nimesema watoto wake wanaishi wapi? Nimekwambia watoto wote wa Lisu ni rais wa Marekani wapi wanaishi wala sina mpango wa kujua, ni publicly acknowledged na yeye ameongea hili hadharani mara nyingi.

Lissu hajatumia passport ya Kenya na huna ushahi wa hili.
 
Hata nyinyi wakenya hamko salama na watutsi, umekuwa mkimsikia mtoto wa Museveni akiitishia Kenya. Nilishawaambia, anamaanisha huyo, hayo ni maneno wanayoongea kwenye dining table.
Mimi nadhani kosa kubwa lilifanyika 2005, maana ukiangalia historia kabla ya hapo TZ tulikua level nyingine kabisa kidiplomasia tuliheshimika sana,kuanzia mzee wa kucheka cheka hadi sasa nchi imekua ya ovyo
 
This guy!
Sentensi ipi nimesema watoto wake wanaishi wapi? Nimekwambia watoto wote wa Lisu ni rais wa Marekani wapi wanaishi wala sina mpango wa kujua, ni publicly acknowledged na yeye ameongea hili hadharani mara nyingi.

Lissu hajatumia passport ya Kenya na huna ushahi wa hili.
Enyewe ng'ombe ni ng'ombe tu.
I clearly said Lissu’s family lived in Kenya, yet you shot back with “which family?” and went on to claim his children are American citizens — essentially implying they live in the U.S. As I mentioned, you have a knack for dragging conversations into needless detours.
Unataka ushahidi upi kando na huo niliouweka? Ama unataka nipige picha ya Passport ya Lissu nipost?
 
Mimi nadhani kosa kubwa lilifanyika 2005, maana ukiangalia historia kabla ya hapo TZ tulikua level nyingine kabisa kidiplomasia tuliheshimika sana,kuanzia mzee wa kucheka cheka hadi sasa nchi imekua ya ovyo
2005, hayakuwa makosa, hiyo ilipangwa na mtandao.

Nyerere walimuondoa 1999 ili kusiwe na kidomo domo, Dr. Omar Ali Juma, mrithi wa Mkapa wakamuondoa 2001, Dr Salim wakamfix 2005 kwa kutumia propaganda, and the rest is history.

Magufuli alikuja from nowhere,wakadhani atakuwa mmoja wao, ila wakalazimisha kuwa na backup, in case Magu angezingua, alipowakaidi wakamuondoa.

Sasa unaona wamelazimisha Samia aendelee, kwa hali na damu. Utaona hapa ishu siyo urais bali kuna watu wanavuta strings, hasa ukizingatia dunia ya sasa ambayo ipo kwenye sitonfahamu,

Tanzania ilikuwa inatamaniwa sana, linchi kubwa lina kila kitu, ila ilikuwa haiingiliki, ila sasa tumepatikana. Nasikia Sudan wamekufa 5K ndani ya wiki moja, sisi inawezekana tumepita hiyo namba katika siku mbili.
 
2005, hayakuwa makosa, hiyo ilipangwa na mtandao.

Nyerere walimuondoa 1999 ili kusiwe na kidomo domo, Dr. Omar Ali Juma mrithi wa Mkapa wakamuondoa 2001, Dr Salim wakamfix 2005 kwa kutumia propaganda, the rest is history.

Magu alipokuja from nowhere, mtandao wakatereka ila wakalazimisha kuwa na backup in case Magu asingewasilikiza. Alipowakaidi wakamuondoa, sasa unaona wamelazimisha Samia aendelee, kwa hali na damu. Utaona hapa ishu siyo urais bali kuna watu wanavuta strings, hasa ukizingatia dunia ya sasa ambapo haipo kwenye sitonfahamu.

Tanzania ilikuwa inatamaniwa sana, linchi kubwa lina kila kitu, ila ilikuwa haiingiliki, ila sasa tumepatikana. Nasikia Sudan wamekufa 5K ndani ya wiki moja, sisi inawezekana tumepita hiyo namba katika siku mbili.
So sad
 
2005, hayakuwa makosa, hiyo ilipangwa na mtandao.

Nyerere walimuondoa 1999 ili kusiwe na kidomo domo, Dr. Omar Ali Juma, mrithi wa Mkapa wakamuondoa 2001, Dr Salim wakamfix 2005 kwa kutumia propaganda, and the rest is history.

Magufuli alikuja from nowhere,wakadhani atakuwa mmoja wao, ila wakalazimisha kuwa na backup, in case Magu angezingua, alipowakaidi wakamuondoa.

Sasa unaona wamelazimisha Samia aendelee, kwa hali na damu. Utaona hapa ishu siyo urais bali kuna watu wanavuta strings, hasa ukizingatia dunia ya sasa ambayo ipo kwenye sitonfahamu,

Tanzania ilikuwa inatamaniwa sana, linchi kubwa lina kila kitu, ila ilikuwa haiingiliki, ila sasa tumepatikana. Nasikia Sudan wamekufa 5K ndani ya wiki moja, sisi inawezekana tumepita hiyo namba katika siku mbili.
Nimeona clip waislam wanamshangilia Samia kwa wingi, dizain wanaleta tifu kwa hizi kemp mbili za imani. Tanga, Pwani hakuna maandamano. So obvious mauaji yanatokana na group la wafadhili kadhaa wa nje kwa lengo la kusimika mabo yao but this shall come to pass.
 
Lissu's children live in Belgium, not USA. They stayed in Kenya before they migrated to Belgium. We Kenyans are not of the habbit of keeping every receipt of the smallest help we give to people, that's why you probably don't know about Lissu using a Kenyan passport. If it was a Kenyan politician who had used a Tanzanian passport, we would never hear the end of it. Anyway, Tundu Lissu used the Kenyan passport in 2017 when Tanzanian officials refused to renew his passport.

View attachment 3496611
Wewe ni unaweza tu kuoga!
Unaleta chats za AI, hizo vitu zinaokota ujinga kwenye mablog ya wajinga kila kona 🚮 🚮
 
Nimeona clip waislam wanamshangilia Samia kwa wingi, dizain wanaleta tifu kwa hizi kemp mbili za imani. Tanga, Pwani hakuna maandamano. So obvious mauaji yanatokana na group la wafadhili kadhaa wa nje kwa lengo la kusimika mabo yao but this shall come to pass.
Ninavyoona, at the top of the food chain, ishu siyo uislam per see. Kuna baadhi wanaweza kufurahi kwa sababu ya upeo mdogo ila waislam walio wengi hawamtaki Samia na hawa mercinaries wanaoua hovyo, hawaulizi dini ya mtu wanapofyatua risasi, kama wanavyofanya alshabab.

Kikubwa hapa kinachoendelea ni kuondoa umoja wetu ili kukomba raslimali. Kwa mfano ukiangalia kwa Samia, yeye na watu wake wa karibu ndiyo wanaojineemesha na pia kuwapa wazanzibari favors (mf. kuwafutia deni la umeme).

Samia hajawafanyia waislam chochote cha maana kama jamii. Hakuna cha mahakama ya kadhi, sijui kuiondoa BAKWATA, hata kujenga vyuo vikuu vya kiislam hakuna, hakuwahi hata kuomba pesa za kujenga misikiti mikubwa kama Magu au Mwinyi alivyobadilisha sheria ya uvaaji uniform kwa wanafunzi.

Ukifuatilia kinachoendelea Ulaya kiuchumi, hasa baada ya kushindwa ku destabilize Urusi na jeuri ya wachina kuongezeka, unawezapata picha ya kiini cha haya mambo.
 
Ninavyoona, at the top of the food chain, ishu siyo uislam per see. Kuna baadhi wanaweza kufurahi kwa sababu ya upeo mdogo ila waislam walio wengi hawamtaki Samia na hawa mercinaries wanaoua hovyo, hawaulizi dini ya mtu wanapofyatua risasi, kama wanavyofanya alshabab.

Kikubwa hapa kinachoendelea ni kuondoa umoja wetu ili kukomba raslimali. Kwa mfano ukiangalia kwa Samia, yeye na watu wake wa karibu ndiyo wanaojineemesha na pia kuwapa wazanzibari favors (mf. kuwafutia deni la umeme).

Samia hajawafanyia waislam chochote cha maana kama jamii. Hakuna cha mahakama ya kadhi, sijui kuiondoa BAKWATA, hata kujenga vyuo vikuu vya kiislam hakuna, hakuwahi hata kuomba pesa za kujenga misikiti mikubwa kama Magu au Mwinyi alivyobadilisha sheria ya uvaaji uniform kwa wanafunzi.

Ukifuatilia kinachoendelea Ulaya kiuchumi, hasa baada ya kushindwa ku destabilize Urusi na jeuri ya wachina kuongezeka, unawezapata picha ya kiini cha haya mambo.
Kama unafatilia mitandaoni utagundua kuna idadi kubwa ya hao wana imani kusimama nae kwakua wengi wao hawana elimu. Bara waislam wengi hawataki ujinga na hawamtaki kabisa. Ila kama nilivyokwambia "Mama hatuendi nae 2030". Jeshi halijachukua nchi kwa kutoweka mfano mbaya, ataapishwa kwenye viwanja vya kambi ya jeshi huko Dodoma then baada ya mida sio mrefu atajiuzuru. Nje yaa hapo kutakuwa na mvurugano na mtifuano wa mara kwa mara na maandamano kila baada ya muda hali itakuwa tete mno hata kwa rais ajae sasa na wamesha ona hili hivyo ni BUSARA ajiuzuru kwa heshima tuendelee or wata mu-assassinate hata yeye anajua hilo.

Uchaguzi ni wake, ajiuzuru atulie or auwawe tumzike kabla ya 2030.
 
Kama unafatilia mitandaoni utagundua kuna idadi kubwa ya hao wana imani kusimama nae kwakua wengi wao hawana elimu. Bara waislam wengi hawataki ujinga na hawamtaki kabisa. Ila kama nilivyokwambia "Mama hatuendi nae 2030". Jeshi halijachukua nchi kwa kutoweka mfano mbaya, ataapishwa kwenye viwanja vya kambi ya jeshi huko Dodoma then baada ya mida sio mrefu atajiuzuru. Nje yaa hapo kutakuwa na mvurugano na mtifuano wa mara kwa mara na maandamano kila baada ya muda hali itakuwa tete mno hata kwa rais ajae sasa na wamesha ona hili hivyo ni BUSARA ajiuzuru kwa heshima tuendelee or wata mu-assassinate hata yeye anajua hilo.

Uchaguzi ni wake, ajiuzuru atulie or auwawe tumzike kabla ya 2030.
Ngoja tuone itakavyokuwa ila dah, the bitch is evil.
 
Back
Top Bottom