joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Jambo la kushangaza ni kwamba, wenyewe wanachekelea hawaoni kama kuna tatizonairobi to mombasa gari moshi 4b usd aisee kweli mchina akae atambue MUNGU anamuona😀😀😀
Jambo la kushangaza ni kwamba, wenyewe wanachekelea hawaoni kama kuna tatizonairobi to mombasa gari moshi 4b usd aisee kweli mchina akae atambue MUNGU anamuona😀😀😀
tatizo wameliona sana sema kukubali mbele zetu hawawez hata siku moja wanaogopa aibu😀😀😀😀Jambo la kushangaza ni kwamba, wenyewe wanachekelea hawaoni kama kuna tatizo
Na wanavyopenda sifa, sio rahisi kukubali hata kidogotatizo wameliona sana sema kukubali mbele zetu hawawez hata siku moja wanaogopa aibu😀😀😀😀

KoT jokes my fren.....Jambo la kushangaza ni kwamba, wenyewe wanachekelea hawaoni kama kuna tatizo
Hivi we unaijua iringa wewe? Hebu tazama iringa halisiNi lazima tu useme hivyo. Hiyo Iringa haifikii Kisii hata robo. Hiyo hata kwa Kitale ni ndogo sana. Chenye nimeona hapo ni kuwa iko na barabara pana, kitu ambayo kisii haina. Lakini kwa ukubwa na ujenzi, Kisii inaizidi mbali sana
Watajaribu kupindisha kila kitu ili kuonyesha mambo safi, hata cargo charges ziko juu sana, hazina tofauti na barabara hasa ukizingatia kwamba inabidi kulipia last mileskuna mpuuzi mmoja alisema sgr from msa to nairobi wanalipa only 7usd kumbe muongo economy class wanalipa 900ksh sawa na 8.74usd😀😀😀😀
sijui kwann wakenya munahusudu uongo
View attachment 666290
Kenya: What It Will Cost to Travel on New SGR Railway
https://www.capitalfm.co.ke/busines...al&utm_source=twitter.com&utm_campaign=bufferkuna mpuuzi mmoja alisema sgr from msa to nairobi wanalipa only 7usd kumbe muongo economy class wanalipa 900ksh sawa na 8.74usd😀😀😀😀
sijui kwann wakenya munahusudu uongo
View attachment 666290
Kenya: What It Will Cost to Travel on New SGR Railway
wanajaribu kuipaka makeup jina kwa kutaka kulazimisha eti tuiite "buleti treni" badala ya gari moshi.Maana halisi ya gari moshi is any train which produces smoke from engine. Hivi kwanini lakini katika karne hii ya sasa mliamua kujenga diesel engine train?, yaani sielewi hadi sasa.

pungezeni hasira wasee wa gari moshi.Watu wanaita train ya 160km/hr bullet train![]()
....alafu waone hapa juu vile wanajiona wajuaji.bongolala ni kama ugonjwa acha niende zangu kimya
![]()
![]()

so tuamini ipi kati ya 700 au 900😀😀😀😀
naona unafungua mwaka vyema kabisa😀😀😀Watu wanaita train ya 160km/hr bullet train![]()
....alafu waone hapa juu vile wanajiona wajuaji.bongolala ni kama ugonjwa acha niende zangu kimya
![]()
![]()
Bullet train at top speed of 160km/hr??naona unafungua mwaka vyema kabisa😀😀😀
kusikia tanzania inajenga bullet train wewe ushapata kifafa tayari

Sgr Mombasa - Nairobi, Economy Class = Ksh 700 = $7 usdso tuamini ipi kati ya 700 au 900😀😀😀😀
kwann kila kitu kwenu magumashi😛😛
do u think 160 is top speed???😀😀😀😀Bullet train at top speed of 160km/hr??![]()
![]()
![]()
![]()
Sgr Mombasa - Nairobi, Economy Class = Ksh 700 = $7 usd
Sgr Mombasa - Nairobi, Economy Class = Ksh 700 = $7 usd
Muhimu ni kwamba, Tanzania imewasogezea waafrica bullet trains, hamna sababu kwa waafrica kupoteza pesa nyingi kwenda Europe na Asia tena, karibuni sana Japan within AfricaBullet train at top speed of 160km/hr??![]()
![]()
![]()
![]()
