Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Morning guys...
21765431fbac510e4ca54f8e81dc3f23.jpg
 
Hata miji kumi mikubwa tz haimo ni manispaa tu lakini unaweza zidi miji mingi ya kenya
Ni lazima tu useme hivyo. Hiyo Iringa haifikii Kisii hata robo. Hiyo hata kwa Kitale ni ndogo sana. Chenye nimeona hapo ni kuwa iko na barabara pana, kitu ambayo kisii haina. Lakini kwa ukubwa na ujenzi, Kisii inaizidi mbali sana
 
Hii sio Tazara. Kwanza hawana locomotive za rangi hiyo pili hawana mataluma ya chuma wao wanatumia zege, hii picha labda ni ya huko Congo
Hakuna tofauti kati yenu na Congo
 
Ni lazima tu useme hivyo. Hiyo Iringa haifikii Kisii hata robo. Hiyo hata kwa Kitale ni ndogo sana. Chenye nimeona hapo ni kuwa iko na barabara pana, kitu ambayo kisii haina. Lakini kwa ukubwa na ujenzi, Kisii inaizidi mbali sana
hebu jaribu uone we iringa unaijua vzr wewe😀😀
 
Back
Top Bottom