Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,878
- 103,739
Inaonekana unawajua vizuri watu wa pande hiyo, vipi una ka udugu?He must be a Baganda! With his Kabaka yeke stuff! Anashindwa kumalizia kwa kusema Baganda iwe national language!
Najua siasa zao za ukabila!Inaonekana unawajua vizuri watu wa pande hiyo, vipi una ka udugu?
Sina ninachoumia,hiyo ndio fact,kunyaland ni tajiri kwenye makaratasi ila on ground ni tofauti,mna dhiki ya ajabuPole kwa maumivu bongolala. It's interesting that data yako ndio sio ya kuchovya 😂😂😂
Hii Kitu umepost hapa si pia ni karatasi, ukiambiwa ulete evidence ya picha hizo madawa zikiletwa Kenya utaonyesha?Sina ninachoumia,hiyo ndio fact,kunyaland ni tajiri kwenye makaratasi ila on ground ni tofauti,mna dhiki ya ajabuView attachment 3480636
Picture from news paper,kwanini msikanusheHii Kitu umepost hapa si pia ni karatasi, ukiambiwa ulete evidence ya picha hizo madawa zikiletwa Kenya utaonyesha?
Akina Teargass wanaona maghorofa ya Kisumu tu🤣
View: https://m.youtube.com/watch?v=OlTtbev-R1w&pp=ugUEEgJlbg%3D%3D
Cc: Mimi Wewe Yule