Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

70% of Dar is a slum.

1758881900048.jpeg
 
Kweli, Pipeline ni slum. Kuna video ilipostiwa humu jinsi Pipeline ilivyo, despite maghorofa ni pabaya na pachafu. Watu wanaishi mazingira machafu kama nguruwe, takataka zimejaa, chini kuna tope jeusi limechanganyika na majitaka, Na majitaka yanatoka vyooni pia maana yake hayo ni mavi so kuna risk kubwa ya kipindupindu (cholera) ukiishi pipeline.
Hebu angalia na hii. This is not a way human beings should live 🤮🤮


View: https://youtu.be/0B_vZCLDs-M?si=BDLanziot3KCMHgF


View: https://x.com/collinsbriche/status/1785528137624817926?s=46
 
In this era of Technology huwezidanganya mtu😂😂🤣.

Now 70% of Tanzanians live like this😂😂👇👇


View: https://youtu.be/28W_1Ct_uyk?si=f0tLRke87Jd0UALM

Hiyo coverphoto hapo inapotosha mzee, nilitaka nishangae tangu lini Tanzania ikafanana na Kenya, maana hiyo slums iliyowekwa kwenye cover hapo inafanana na slums za Kenya 😂😂😂
Nilivyofungua video nimeona informal settlement zilezile tu za uswazi ambazo bado ni 100 times better than Uthiru na Mathare, let alone Kibera 😂😂😂
 
Hiyo coverphoto hapo inapotosha mzee, nilitaka nishangae tangu lini Tanzania ikafanana na Kenya, maana hiyo slums iliyowekwa kwenye cover hapo inafanana na slums za Kenya 😂😂😂
Nilivyofungua video nimeona informal settlement zilezile tu za uswazi ambazo bado ni 100 times better than Uthiru na Mathare, let alone Kibera 😂😂😂
70% Tanzanians live in slums, 40% of Kenyans live in slums.
 
70% Tanzanians live in slums, 40% of Kenyans live in slums.
Ni vyema kujifariji 😂😂
Majority of Tanzanians wanaishi countryside, huku watu wapo vijijini wanalima, wanafanya kazi ndio maana huku hatuna njaa
Sasa hiyo 70% of Tanzanians wakiwa wanaishi kwenye slums nani sasa anakaa kijijini kulima 😂😂😂

Akili za kuambiwa changanya na zako
 
Hiyo coverphoto hapo inapotosha mzee, nilitaka nishangae tangu lini Tanzania ikafanana na Kenya, maana hiyo slums iliyowekwa kwenye cover hapo inafanana na slums za Kenya 😂😂😂
Nilivyofungua video nimeona informal settlement zilezile tu za uswazi ambazo bado ni 100 times better than Uthiru na Mathare, let alone Kibera 😂😂😂
Unafikiri ana hiyo akili ya kujua hiyo ni cover photo imetumika kuvutia wajinga kama yeye. 😂😂😂
Cape Town SA.
1758882305802.jpeg
 
Ni vyema kujifariji 😂😂
Majority of Tanzanians wanaishi countryside, huku watu wapo vijijini wanalima, wanafanya kazi ndio maana huku hatuna njaa
Sasa hiyo 70% of Tanzanians wakiwa wanaishi kwenye slums nani sasa anakaa kijijini kulima 😂😂😂

Akili za kuambiwa changanya na zako
Are you ready to accept the truth?

1000052292.jpg
 
Back
Top Bottom