Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lazima mzoee tu, maana huwa mnaleta picha za Dar za 2009. Unataka tukae kimya? Una matatizo ya akili ama 😂😂😂
Hata hii naona ni ya 2009. Piga sasa nduru kabisa.

1000071798.jpg
 
Haya mazingira ya Kibera, Mathare, Uthiru nk huwezi kuyakuta hapa Tanzania lakini Kenya ndio yamejaa nchi nzima 😂😂😂

Mazingira yenyewe sasaView attachment 3479168View attachment 3479169View attachment 3479170View attachment 3479171View attachment 3479173View attachment 3479174View attachment 3479175
Fikiria hiyo ni mwaka 2019 na Leo ni mwaka ila bado imezidi ubora wa slums za Nairobi zote

 
Tangu lini Upperhill ikawa CBD? Najua mmezoea kuona Tu gorofa Tatu in your CBD pekee unadhani Kenya pia penye kuna gorofa basi ni CBD. For your information Upperhill is part of Kibera, actually Upperhill is in Kibra Constituency.
In fact hayo maeneo ni majina tu ndio tofauti, ila hayako mbali mbali wala nini. Unasema Dar ina ghorofa tatu, hebu zioneshe hapa, ili tuone kweli apart from ghorofa tatu Dar hakuna ghorofa nyingine
 
Mbona huwa hawataji na kuonesha hizo slums zilizopo Dar!
Wanasahau kuwa biggest slum in Africa na duniani yapo Kenya. 😂😂😂
Anadhani kwenda Google earth na ku zoom out kutaweka slums Dar.
Dar hakuna slums, wananchi wamejitahidi kujenga decent houses. Tatizo kubwa la Dar ni ujenzi holela, hili ni tatizo kubwa sn ambalo litatughalimu sn, watu wanajenga hovyo hovyo na sijawahi kusikia mamlaka zikiongelea hilo jambo, nyumba nzr kweli kweli ila hazifuati planning, Dar bado ina nafasi kubwa, mamlaka ingeanza kutilia mkazo katika ujenzi.
 
Hapa East Africa hakuna sehemu inazidi Kenya kwa slums wewe Mkundustan. Kenya mna slums level moja na India na Nigeria. Kenya haijalishi uende wapi, South, East, West au Central kote ni slums tu, ukienda North ni ukame na njaa😂😂😂

Angalia Nairobi ambayo mnaita world class city 🤣🤣🤣
View attachment 3479143View attachment 3479144View attachment 3479145View attachment 3479146View attachment 3479149View attachment 3479150

Achana na Nairobi twende Mombasa 😂😂😂View attachment 3479160View attachment 3479159View attachment 3479158View attachment 3479156View attachment 3479155
Nchi nzima imejaa nyumba za matope na mabati na mko hapa mnatrash Tanzania. Kwenye hili suala la slums Kenya mko juu sana.
Kama unabisha nenda YouTube search slum in Tanzania (2024/2025) uone, halafu search slums in Kenya (2024/2025) ndio uone tofauti ya Jua na mwezi. Haki ya Mungu, hakuna slum chafu kama Kibera hapa East Africa 🤣🤣🤣

Hebu angalia hawa watu wanaoishi hapa, hivi wana future kweli hawa? Nchi za Africa zina watu masikini lakini Kenya mmezidi kwa kweli 😑😑

View: https://youtu.be/6rIV8TlrbLQ?si=nq3I4O_8m7bj2ppO

Sisi shida yetu kubwa hasa Dar ni ujenzi holela, hiyo manaake ni failure katika usimamizi wa wizara husika, tunahitaji kutilia mkazo katika hilo la ujenzi holela, tofauti na wenzetu ni kwamba sisi tuna ujenzi holela hasa kwa dar, wenzetu wana ma slums everywhere in kenya. Sasa kwao ni ngumu kuondoa ma slums cz slums ni umaskini, ni ngumu kuondoa slums kwa kujenga vighorofa viwili vitatu cz slums ni poverty iliyopitiliza, watu wa kwenye slums ukiwapeleka ghorofani ni kama unawatesa, angalia pipeline ilivyo.
 
Back
Top Bottom