Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 6,203
- 12,571
Nimependa hii picha. Kumbe nyuma ya CBD wameficha hizi takataka kwenye slope 😂😂😂
Nimependa hii picha. Kumbe nyuma ya CBD wameficha hizi takataka kwenye slope 😂😂😂
Kweli, Pipeline ni slum. Kuna video ilipostiwa humu jinsi Pipeline ilivyo, despite maghorofa ni pabaya na pachafu. Watu wanaishi mazingira machafu kama nguruwe, takataka zimejaa, chini kuna tope jeusi limechanganyika na majitaka, Na majitaka yanatoka vyooni pia maana yake hayo ni mavi so kuna risk kubwa ya kipindupindu (cholera) ukiishi pipeline.
Hebu angalia na hii. This is not a way human beings should live 🤮🤮
View: https://youtu.be/0B_vZCLDs-M?si=BDLanziot3KCMHgF
In this era of Technology huwezidanganya mtu😂😂🤣.
Now 70% of Tanzanians live like this😂😂👇👇
View: https://youtu.be/28W_1Ct_uyk?si=f0tLRke87Jd0UALM
Hujiulizi mbona huwa wanapost picha za upande upande! 😂😂😂Nimependa hii picha. Kumbe nyuma ya CBD wameficha hizi takataka kwenye slope 😂😂😂
70% Tanzanians live in slums, 40% of Kenyans live in slums.Hiyo coverphoto hapo inapotosha mzee, nilitaka nishangae tangu lini Tanzania ikafanana na Kenya, maana hiyo slums iliyowekwa kwenye cover hapo inafanana na slums za Kenya 😂😂😂
Nilivyofungua video nimeona informal settlement zilezile tu za uswazi ambazo bado ni 100 times better than Uthiru na Mathare, let alone Kibera 😂😂😂
Hawa watu nchi yao ya ajabu sana. Huwa najiuliza hivi inakuwaje nchi nzima imejaa njaa, umasikini na slums halafu wametuzidi GDP. Sipati majibu kabisa. Ni masikini mno hawa mbwa 😂😂😂Wana slums kila county. 😂😂😂
Ni vyema kujifariji 😂😂70% Tanzanians live in slums, 40% of Kenyans live in slums.
Unafikiri ana hiyo akili ya kujua hiyo ni cover photo imetumika kuvutia wajinga kama yeye. 😂😂😂Hiyo coverphoto hapo inapotosha mzee, nilitaka nishangae tangu lini Tanzania ikafanana na Kenya, maana hiyo slums iliyowekwa kwenye cover hapo inafanana na slums za Kenya 😂😂😂
Nilivyofungua video nimeona informal settlement zilezile tu za uswazi ambazo bado ni 100 times better than Uthiru na Mathare, let alone Kibera 😂😂😂
Are you ready to accept the truth?Ni vyema kujifariji 😂😂
Majority of Tanzanians wanaishi countryside, huku watu wapo vijijini wanalima, wanafanya kazi ndio maana huku hatuna njaa
Sasa hiyo 70% of Tanzanians wakiwa wanaishi kwenye slums nani sasa anakaa kijijini kulima 😂😂😂
Akili za kuambiwa changanya na zako
Huna hata pesa ya kuangalia video scammer hii. I can also see you like free things😂😂Unafikiri ana hiyo akili ya kujua hiyo ni cover photo imetumika kuvutia wajinga kama yeye. 😂😂😂
Cape Town SA.
View attachment 3479261
Lazima mzoee tu, maana huwa mnaleta picha za Dar za 2009. Unataka tukae kimya? Una matatizo ya akili ama 😂😂😂Haya ya kukataa picha za Dar na kutaja miaka mbona tushazoea?
Hata hii naona ni ya 2009. Piga sasa nduru kabisa.Lazima mzoee tu, maana huwa mnaleta picha za Dar za 2009. Unataka tukae kimya? Una matatizo ya akili ama 😂😂😂
Wewe naye kila muda "scammer" "scammer", Huna hoja ya msingi 🚮🚮Huna hata pesa ya kuangalia video scammer hii. I can also see you like free things😂😂
Jamaa ni Scammer. I will continue to remind him of his long life career.Wewe naye kila muda "scammer" "scammer", Huna hoja ya msingi 🚮🚮
Anatumia kama kivuli ili asioneshe bank balance au bank statement yake. 😂😂😂Wewe naye kila muda "scammer" "scammer", Huna hoja ya msingi 🚮🚮
Angalia nyuma ya CBD yenu 😂😂😂