Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Arema ni railway ya zamani..class 3 rail
Leo hii makampuni ya western countries mnayadharau kwasababu ya mchina?, American and European standards si ndizo mnazoziabudu kuliko Chinese standards, kila mkitoa mfano huwa mnataja USA, leo hii unaiponda, au kwasababu umezidiwa huna pakukimbilia unasema lolote lile?
 
Did you understand this last paragraph?
607be6809a084991220edf89efeecce5.jpg
k
Shorter n cheaper. BTW, do you understand political language?
Cheap AREMA they opted for expensive but quality class one
 
wanafkiri kagame atakubali kupoteza over 130m usd kipuuzi kisa sgr yao😀😀😀😀😀
Kagame hana pesa na Museveni pia hana pesa. Both poor ldc countries cannot fund such projects and the only way out ni Mkopo!!!
Mchina peke yake ndio yuaeza kutoa huo mkopo lakini naye sharti yake ni LAZIMA atumie line ya Kenya na Kenya ndio atakuwa guarantor wa huo mkopo.
Hatutaki kusikia mambo kwenye headlines za gazeti ati TANZANIA STRUGGLES TO FUND SGR PROJECT.
 
Kagame hana pesa na Museveni pia hana pesa. Both poor ldc countries cannot fund such projects and the only way out ni Mkopo!!!
Mchina peke yake ndio yuaeza kutoa huo mkopo lakini naye sharti yake ni LAZIMA atumie line ya Kenya na Kenya ndio atakuwa guarantor wa huo mkopo.
Hatutaki kusikia mambo kwenye headlines za gazeti ati TANZANIA STRUGGLES TO FUND SGR PROJECT.
so unataka kutwambia nyie ndio munapesa na mumeshindwa kutoa hata senti kwenye hio gari moshi😀😀😀😀😀😀 tanzania imetoa pesa zake cash for phase mbili 3.16 b usd alaf mturuki kakubali kutoa soft loan kwa phase 3 and 4 400km hehhehehe
 
so unataka kutwambia nyie ndio munapesa na mumeshindwa kutoa hata senti kwenye hio gari moshi😀😀😀😀😀😀 tanzania imetoa pesa zake cash for phase mbili 3.16 b usd alaf mturuki kakubali kutoa soft loan kwa phase 3 and 4 400km hehhehehe
Sijasema sisi tuko na pesa. No. But pesa inapatikana kwa mkopo na Mchina pekee ndiye anayeweza toa mkopo lakini kwa MASHARTI.
 
Kagame hana pesa na Museveni pia hana pesa. Both poor ldc countries cannot fund such projects and the only way out ni Mkopo!!!
Mchina peke yake ndio yuaeza kutoa huo mkopo lakini naye sharti yake ni LAZIMA atumie line ya Kenya na Kenya ndio atakuwa guarantor wa huo mkopo.
Hatutaki kusikia mambo kwenye headlines za gazeti ati TANZANIA STRUGGLES TO FUND SGR PROJECT.
Huo ndiyo ukweli mchungu, kwamba Magufuli anatumia vizuri pesa ya serikali kiasi cha kuweza kutoa $3.1B from internal sources, haijawahi kutokea katika historia ya Dunia, kwa nchi ya third world masikini kufanya hivyo. Hii inatifundisha kwamba, Africa ikipata viongozi makini inaweza kujifanyia mambo yake mengi yenyewe bila kutegemea mikopo na misaada toka nje na kuiweka nchi katika mzigo mkubwa wa madeni kama Kenya, matokea yake Uhuru wa nchi kujiamulia mambo yake unapungua, nchi ikitishwa kidogo kunyimwa misaada, inakimbia kupiga kura
 
Huo ndiyo ukweli mchungu, kwamba Magufuli anatumia vizuri pesa ya serikali kiasi cha kuweza kutoa $3.1B from internal sources, haijawahi kutokea katika historia ya Dunia, kwa nchi ya third world masikini kufanya hivyo. Hii inatifundisha kwamba, Africa ikipata viongozi makini inaweza kujifanyia mambo yake mengi yenyewe bila kutegemea mikopo na misaada toka nje na kuiweka nchi katika mzigo mkubwa wa madeni kama Kenya, matokea yake Uhuru wa nchi kujiamulia mambo yake unapungua, nchi ikitishwa kidogo kunyimwa misaada, inakimbia kupiga kura
Have you any idea that you always write lots of bullshit?
 
migori nimekaa sana nakumbuka mombasa hotel, na ile supermarket ya indian man nimeisahau jina kitambo sana
That must be Bansi supermarket. Nowadays ziko mbili, a bigger and better one opposite posta along the kisii-migori highway. Mombasa hotel bado iko though it's been a while since niende kule. Migori siku hizi there are big hotels, some having swimming pools, especially autdide the town center.Karibu siku tena siku ingine tusalimiane japo tunataniana huku jf
 
Back
Top Bottom