Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi ninarusha misumari ya moto, utakayemuingia lazima atasikia mauvi, kwasababu ni maumivu makali, lazima atapiga kelele
hio ndio kazi unayoifanya hapo nyumbani au nikuulize, misuri hutokea na wapi hapa kwenye kipakatalishi changu?
 
Sijasema sisi tuko na pesa. No. But pesa inapatikana kwa mkopo na Mchina pekee ndiye anayeweza toa mkopo lakini kwa MASHARTI.
sasa tanzania haijachukua mkopo kwa mchina wala mama yake imetoa pesa zake cash kwa phase mbili 3.16 billion usd kwa ajili ya 722 km na mturuki kakubali kutoa soft loan yenye interest ndogo sana kwa phase 3 and 4 takriban 400km😀😀😀😀
 
World Bank ilijitoa kitambo sana tena sana. Mchina peke yake ndiye anayeweza toa mkopo lakin sharti yake ni lazima Uganda na Rwanda watumie line ya Kenya.
hahahah mikopo ipo ya aina nyingi sana hata mturuki anaeza wapa mkopo rwanda na uganda na wakatumia sgr ya tanzania so usiwe na akili za kuku
 
That must be Bansi supermarket. Nowadays ziko mbili, a bigger and better one opposite posta along the kisii-migori highway. Mombasa hotel bado iko though it's been a while since niende kule. Migori siku hizi there are big hotels, some having swimming pools, especially autdide the town center.Karibu siku tena siku ingine tusalimiane japo tunataniana huku jf
yap nakumbuka bansi sawa kabisa na kuna ile hotel inaitwa zamzam ya wasomali bado ipo maeneo ya stage?? aise siku nyingi sana, asante
 
sasa tanzania haijachukua mkopo kwa mchina wala mama yake imetoa pesa zake cash kwa phase mbili 3.16 billion usd kwa ajili ya 722 km na mturuki kakubali kutoa soft loan yenye interest ndogo sana kwa phase 3 and 4 takriban 400km😀😀😀😀
Sawasawa sikatai kuhusu tanzania kwani anajenga kwake. But poor ldc countries like Uganda and Rwanda hawana ubavu huo hata kujaribu tu. Lazma wategemee mkopo lakini mkopo wenyewe ni Mchina ndiye anayefadhili na lazma atakaye mkopo mpaka afuate masharti yake ambapo Lazima atumie line ya Kenya na Kenya ndio guarantor wa huo mkopo. Hope umenielewa
 
Sawasawa sikatai kuhusu tanzania kwani anajenga kwake. But poor ldc countries like Uganda and Rwanda hawana ubavu huo hata kujaribu tu. Lazma wategemee mkopo lakini mkopo wenyewe ni Mchina ndiye anayefadhili na lazma atakaye mkopo mpaka afuate masharti yake ambapo Lazima atumie line ya Kenya na Kenya ndio guarantor wa huo mkopo. Hope umenielewa
kwa rwanda toa kabisa kwenye mawazo yako labda uniambie uganda na still bado uganda anaangalia better way to choose so na mpaka sasa munamtegemea sana uganda inamaana uganda akikataa tu ujue sgr inageuka kua white elephant
 
Hilo jedwali litakua limeandaliwa na wakenya waka wapa waganda!! haiwezekani reli ikabeba tons 20-35!! Sasa hiyo ndiyo nini halafu Tz wameweka 18 tu, kama ni minimum na maximum wangeweka pia na kwa upande wa Tz. Halafu hapo wanaongelea Dar to Moro hii project ni full financed na TZ gvnmt ila hapo wameweka 50% ni mkopo!!
 
kwa rwanda toa kabisa kwenye mawazo yako labda uniambie uganda na still bado uganda anaangalia better way to choose so na mpaka sasa munamtegemea sana uganda inamaana uganda akikataa tu ujue sgr inageuka kua white elephant
bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi
 
Sawasawa sikatai kuhusu tanzania kwani anajenga kwake. But poor ldc countries like Uganda and Rwanda hawana ubavu huo hata kujaribu tu. Lazma wategemee mkopo lakini mkopo wenyewe ni Mchina ndiye anayefadhili na lazma atakaye mkopo mpaka afuate masharti yake ambapo Lazima atumie line ya Kenya na Kenya ndio guarantor wa huo mkopo. Hope umenielewa
Wakenya nadhani kuna shida vichwani mwenu.
Hebu check Network ya Train ndani ya nchi halafu ulete ya kwenu uone hapa:

upload_2017-12-31_16-24-30.png
 
Reli ya Chalinze - Tanga - Moshi - Arusha inafanyiwa ukarabati kwa sasa.
Tanga Railway



Halafu Soko la Uganda lengo letu ni kugawana wateja na nyie. Soko letu kubwa ni Congo, Malawi, Zambia, Zimbabwe, Rwanda, Burundi na kwa kiasi Mozambique.

Usione tumekaa kimya ukadhani hatufanyi chochote
 
Sawasawa sikatai kuhusu tanzania kwani anajenga kwake. But poor ldc countries like Uganda and Rwanda hawana ubavu huo hata kujaribu tu. Lazma wategemee mkopo lakini mkopo wenyewe ni Mchina ndiye anayefadhili na lazma atakaye mkopo mpaka afuate masharti yake ambapo Lazima atumie line ya Kenya na Kenya ndio guarantor wa huo mkopo. Hope umenielewa
Hukumuelewa ichoboy alichokuambia, kwamba hata Uganda na Rwanda wanaweza kuachana na China Exim Bank wakaamua kuomba Turkey exim bank, kama interest ya Turkey exim bank ipo chini, hakuna sababu ya kuchukua China.
 
Sawasawa sikatai kuhusu tanzania kwani anajenga kwake. But poor ldc countries like Uganda and Rwanda hawana ubavu huo hata kujaribu tu. Lazma wategemee mkopo lakini mkopo wenyewe ni Mchina ndiye anayefadhili na lazma atakaye mkopo mpaka afuate masharti yake ambapo Lazima atumie line ya Kenya na Kenya ndio guarantor wa huo mkopo. Hope umenielewa
kwa rwanda toa kabisa kwenye mawazo yako labda uniambie uganda na still bado uganda anaangalia better way to choose so na mpaka sasa munamtegemea sana uganda inamaana uganda akikataa tu ujue sgr inageuka kua white elephant
 
kwa rwanda toa kabisa kwenye mawazo yako labda uniambie uganda na still bado uganda anaangalia better way to choose so na mpaka sasa munamtegemea sana uganda inamaana uganda akikataa tu ujue sgr inageuka kua white elephant
Ukweli ni kwamba, hata Kenya yenyewe haijafikia maamuzi kati ya kuifikisha reli hadi Malaba au waishie Kisumu, bado wanapiga hesabu kama kuifikisha Malaba itaongeza economic value kulinganisha na kuishia Kisumu na kuimarisha bandari ya Kisumu, ili mizigo ya Uganda ipitie ziwani
 
Back
Top Bottom