Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
Did you know that bicycles are highly efficient machines more than cars?What does a bicycle mechanic knows about data?
Did you know that bicycles are highly efficient machines more than cars?What does a bicycle mechanic knows about data?
Atajua wapi huyo nurse.Did you know that bicycles are highly efficient machines more than cars?
Huyo jamaa wa pili hiyo picha ata regret maisha yake yote.Hii nayo itawauma sana. 😂😂😂
View attachment 3472527
Ili uchumi wao uonekane uko stable,wapate mikopo ya unafuu,but on ground wanashindia mlo m1 kwa sikuVitu kama hivi huwa vinawasaidia nn hasa wanao fahamu watujuze na kila mwaka wanakufa kwa njaa View attachment 3472545
But not sophisticated. Bicycle repair can be done by anybody even those who didn’t step in any school.Did you know that bicycles are highly efficient machines more than cars?
Kuna wapumbavu walikuja na viji data vyao uchwara vya medali za Gold, fedha etc
View: https://www.instagram.com/reel/DOnQMpfiIKr/?utm_source=ig_web_copy_link
Inawezekana nikakulaumu kumbe hujui chochote, ni kwamba uwe mkenya au raia yeyote yule wa EA kuingia nchi yoyote lazima uwe na passport au travel document, ingekuwa unaingia tu kama chooni si mngejazana huku kwetu. We unadhani kuna mkenya hataki fursa ya kuja Tz?What would a watchman like you understand about international agreements like the existing East African Community Common Market Protocol that allows for free movement of people among member states? Have you even heard of such a thing? Huwezi jua coz your arguments are driven by hate. You don't take a minute to reason or think beyond hate. And that makes majority of you here
Wewe ndio hujui chochote coz it's evidently clear kwamba hujui kuna kipengele cha jumuia ya Afrika Mashariki kinachoruhusu free movement of goods and people among member states. Inakuruhusu utoke hapo Tandale uswazini uje Nairobi jiji juu la kanda bila haja ya passport. You should thank me for enlightening you on this bongolalaInawezekana nikakulaumu kumbe hujui chochote, ni kwamba uwe mkenya au raia yeyote yule wa EA kuingia nchi yoyote lazima uwe na passport au travel document, ingekuwa unaingia tu kama chooni si mngejazana huku kwetu. We unadhani kuna mkenya hataki fursa ya kuja Tz?
Masikini akipata matako hulia mbwata 🤣🤣🤣🤣🤣Juu mtanzania amepata Gold medal then riadha sio mchezo ya watu maskini Tena? Naona mnaishangilia kweli kweli that one gold medal😂😂
Huu mji huwa una mifugo mingi sana hadi CBD
Hapana nyie mlisema hatuna Gold Medal ndio tukawawekea hii hapa mjione jinsi mlivyokuwa wajinga mnapenda kuropoka tuu bila supporting evidence yoyote. Hii nimeposti kwaajili ya kuwaweka sawa tuu sio kujisifu wala nini.Juu mtanzania amepata Gold medal then riadha sio mchezo ya watu maskini Tena? Naona mnaishangilia kweli kweli that one gold medal😂😂
Stick to your lane of nursing.But not sophisticated. Bicycle repair can be done by anybody even those who didn’t step in any school.