Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hata mbuzi wamesimama na wao wanashangaa accident 😂😂😂

IMG_8633.jpeg
 
What would a watchman like you understand about international agreements like the existing East African Community Common Market Protocol that allows for free movement of people among member states? Have you even heard of such a thing? Huwezi jua coz your arguments are driven by hate. You don't take a minute to reason or think beyond hate. And that makes majority of you here
Inawezekana nikakulaumu kumbe hujui chochote, ni kwamba uwe mkenya au raia yeyote yule wa EA kuingia nchi yoyote lazima uwe na passport au travel document, ingekuwa unaingia tu kama chooni si mngejazana huku kwetu. We unadhani kuna mkenya hataki fursa ya kuja Tz?
 
Inawezekana nikakulaumu kumbe hujui chochote, ni kwamba uwe mkenya au raia yeyote yule wa EA kuingia nchi yoyote lazima uwe na passport au travel document, ingekuwa unaingia tu kama chooni si mngejazana huku kwetu. We unadhani kuna mkenya hataki fursa ya kuja Tz?
Wewe ndio hujui chochote coz it's evidently clear kwamba hujui kuna kipengele cha jumuia ya Afrika Mashariki kinachoruhusu free movement of goods and people among member states. Inakuruhusu utoke hapo Tandale uswazini uje Nairobi jiji juu la kanda bila haja ya passport. You should thank me for enlightening you on this bongolala
 
Juu mtanzania amepata Gold medal then riadha sio mchezo ya watu maskini Tena? Naona mnaishangilia kweli kweli that one gold medal😂😂
Masikini akipata matako hulia mbwata 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Juu mtanzania amepata Gold medal then riadha sio mchezo ya watu maskini Tena? Naona mnaishangilia kweli kweli that one gold medal😂😂
Hapana nyie mlisema hatuna Gold Medal ndio tukawawekea hii hapa mjione jinsi mlivyokuwa wajinga mnapenda kuropoka tuu bila supporting evidence yoyote. Hii nimeposti kwaajili ya kuwaweka sawa tuu sio kujisifu wala nini.
 
Back
Top Bottom