Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nadhani TBL inapaswa kuwepo pia! Kingine its wrong to mention EABL as Kenyan perse while it has branched in Tanzania and Uganda!
TBL market CAP yake sasa ni 2.12 Trillion na hapo imeshuka kwa 32.84% this year. Last year December it was 3.15 trillion ingekuwa juu ya CRDB kwenye hiyo list hapo.
 
Dah!, sasa nani hapa mwenye political emotions?

Lobito Atlantic railway ni cape gauge.

Investment ya kubadilisha cape gauge kuwa standard gauge kwenye nchi za Sadc, pesa hiyo hakuna. Zimbabwe, Zambia na Botswana wote choka mbaya, ndiyo maana nikasema hizo ni empty promises, we ain't stupid.
Hata South Africa ni choka choka pia.
Lesotho, Eswatini, Namibia ni viuchumi Mchicha.
 
Back
Top Bottom