President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,767
- 89,793
Alafu ndiyo mchezo wanaoutegemea, japo it's not popular in Tanzania but huko napo tumeanza kuwaacha kwa speed ya jet 🤣🤣🤣🤣🤣Hii nayo itawauma sana. 😂😂😂
View attachment 3472527
Sio michezo ya maskini tena, mbona congratulations ni nyingi 😂😂😂View attachment 3472779
Mbona tushawazoea nyie wangese
TBL market CAP yake sasa ni 2.12 Trillion na hapo imeshuka kwa 32.84% this year. Last year December it was 3.15 trillion ingekuwa juu ya CRDB kwenye hiyo list hapo.nadhani TBL inapaswa kuwepo pia! Kingine its wrong to mention EABL as Kenyan perse while it has branched in Tanzania and Uganda!
Hawa ni watu wa mchezo mmoja kama ilivyo tabia yao ya city moja tuuWhat sport is kenya good at View attachment 3472793