Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usiwe MPUMBAVU!! Kama kitu hujui nyamaza!!

Sasa kwa taarifa yako!! Tayari kuna rail inalink Tanzania mpaka Cape town kule South Africa. Na hiyo reli inaenda kuwa upgraded to SGR mpaka Zambia. Sasa Zambia na Zimbabwe na SA. Nao wakiamua kuupgrade to SGR?? HIYO Itakuwa ni nini??

Matako yako wewe!!
Mbona unahamaki na kutukana watu bila sababu?

Reli inayo link Zambia, Zimbabwe mpaka South Africa ni cape gauge (CGR).

Kwa sasa, SADC haina mpango wa kujenga SGR, ni EAC tuu ndiyo iliweka mkakati huo, Kipindi cha kikwete.

Kusema reli itafika SA, ni ahadi hewa za kuwahadaa wa Tanganyika.
 
Prime

Tanzania set to resume flights to Europe after meeting EU safety standards​

Monday, September 15, 2025 - 3 min read
airtz-pic.jpg

By Bertha Ismail


MY TAKE
Hapa kuna watu watalia!

 
Hata hao wajinga wezao wanafahamu matatizo yao inaonekana kwenye data wapo kuwa wanajitosheleza halafu wanawapa chakula cha msaada ila ipo siku hizi data za kupika zitakuja kuwaumbua vibaya sana kwa mfano wana njaa halafu wanahitaji chakula kwenye data inaonyesha ni wazalishaji wakubwa Africa na wanajitosheleza kwa chakula
Ili uchumi wao uonekane uko stable,wapate mikopo ya unafuu,but on ground wanashindia mlo m1 kwa siku
 
Prime

Tanzania set to resume flights to Europe after meeting EU safety standards​

Monday, September 15, 2025 - 3 min read
airtz-pic.jpg

By Bertha Ismail


MY TAKE
Hapa kuna watu watalia!

Helped by KQ
 
Mbona unahamaki na kutukana watu bila sababu?

Reli inayo link Zambia, Zimbabwe mpaka South Africa ni cape gauge (CGR).

Kwa sasa, SADC haina mpango wa kujenga SGR, ni EAC tuu ndiyo iliweka mkakati huo, Kipindi cha kikwete.

Kusema reli itafika SA, ni ahadi hewa za kuwahadaa wa Tanganyika.
Ma wewe una political emotions nyingi sana!!! Haina maana kubishana kabisa......naona tuishie hapo tu......
 
Ma wewe una political emotions nyingi sana!!! Haina maana kubishana kabisa......naona tuishie hapo tu......
Dah!, sasa nani hapa mwenye political emotions?

Lobito Atlantic railway ni cape gauge.

Investment ya kubadilisha cape gauge kuwa standard gauge kwenye nchi za Sadc, pesa hiyo hakuna. Zimbabwe, Zambia na Botswana wote choka mbaya, ndiyo maana nikasema hizo ni empty promises, we ain't stupid.
 
Back
Top Bottom