Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,905
- 9,730
Jamaa ameshtuka wakenya kunywa chai ya maziwa daily,View attachment 3472774🤣🤣🤣sio sisi ndio tumesema.Ni Mzalendo mwenzenu huyo kasema🙌...
Jamaa ameshtuka wakenya kunywa chai ya maziwa daily,View attachment 3472774🤣🤣🤣sio sisi ndio tumesema.Ni Mzalendo mwenzenu huyo kasema🙌...
Mpango wa Loboto corridor?? Ni nini ile?? Mavi??Chawa spotted. SADC hakuna SGR na pia hakuna mipango ya SGR
Ma wewe una political emotions nyingi sana!!! Haina maana kubishana kabisa......naona tuishie hapo tu......Mbona unahamaki na kutukana watu bila sababu?
Reli inayo link Zambia, Zimbabwe mpaka South Africa ni cape gauge (CGR).
Kwa sasa, SADC haina mpango wa kujenga SGR, ni EAC tuu ndiyo iliweka mkakati huo, Kipindi cha kikwete.
Kusema reli itafika SA, ni ahadi hewa za kuwahadaa wa Tanganyika.
Yani badala waitishe mama maziwa wakinjekitile wako hapa wanalia maisha ya wakenya ni magumu😂😂...So chai ya maziwa ni anasa kwa watanzakundu 🙆♂️
Jamaa ameshtuka wakenya kunywa chai ya maziwa daily,
Dah!, sasa nani hapa mwenye political emotions?Ma wewe una political emotions nyingi sana!!! Haina maana kubishana kabisa......naona tuishie hapo tu......
How helped by KQ?Helped by KQ
Alafu ndiyo mchezo wanaoutegemea, japo it's not popular in Tanzania but huko napo tumeanza kuwaacha kwa speed ya jet 🤣🤣🤣🤣🤣Hii nayo itawauma sana. 😂😂😂
View attachment 3472527