The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Na kwa jinsi tff yalivyo mang'ombe yatayang'ang'ania hayo makocha mpk Afcon tukatie aibu, just because of 10%Leo nimeamini hatuna makocha kweli ila wachezaji tunao
Na kwa jinsi tff yalivyo mang'ombe yatayang'ang'ania hayo makocha mpk Afcon tukatie aibu, just because of 10%Leo nimeamini hatuna makocha kweli ila wachezaji tunao
Cowards kivipi, wakati watu hawaogopi kujieleza hapa mpaka JF sasa imefungiwa, kama mashada.com ilivyozuiliwa kipindi kile?That’s because you’re cowards. You don’t fight for your rights, and that’s why you never criticize your country. Most of you genuinely believe you live in a land of milk and honey, when in reality you live in a place where everyone is too afraid to expose the rot within—unlike in Kenya. Upuzi kama huu would never fly in Kenya.
Lkn tumewazidi kila kitu when it comes to football rankings, all national teams (men, women, & youth) as well as club level.Hata wachezaji hamna.
Naona hapa Mr. Choko reborn umefanya kama unajikuna mwanangu 👇👇🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥Watchman angesema Kama Burundi mwanangu 😍😍🔥🔥
Na nyinyi mnadhani mnaenda wapi kama sio huko huko kutolewa? Utajinyea kitandani bure, wake up from that dream
Hata usemeje na kuchanganya kizungu koko haisaidii wewe nyang'au; kutolewa mmeshatolewa. Imeisha hiyo😂Na nyinyi mnadhani mnaenda wapi kama sio huko huko kutolewa? Utajinyea kitandani bure, wake up from that dream
Vere yusles.Umeona, Overrated mediocres players
Sisi hatupost tu mtandaoni, Hadi kwa street tunaenda. Nyie endeleeni kujificha mtandaoni.Cowards kivipi, wakati watu wahaogopi kujieleza hapa mpaka JF sasa imefungiwa, kama mashada.com ilivyozuiliwa kipindi kile?
Wewe uko kwenye bubble Yako, huelewi kinachowndelea Tanzania, Kuna ufisadi mpaka wa watu wakubwa jeshini unaongeleaa.
Mtoto wa Samia na dili zake chafu watu wanapost, Rostam na wizi wake watu wanapost mitandaoni. Nyinyi wakenya mnaweza kupost ufisadi wa Uhuru na familia yake?
Hamuendi street, mnapelekwa.Sisi hatupost tu mtandaoni, Hadi kwa street tunaenda. Nyie endeleeni kujificha mtandaoni.
Mpwimbe amekujibu vizuri sana, sina cha kuongeza, hili pia kuna mchungaji mmoja Mkenya aliwahi kulidokezea, akisema, mafisadi Kenya wanapeleka watoto wa maskini kufanya fujo na kupigwa risasi, huku watoto wao wakitulia majumbani Karen huko, wakiangalia kwenye TV (I'm paraphrasing).Sisi hatupost tu mtandaoni, Hadi kwa street tunaenda. Nyie endeleeni kujificha mtandaoni.
Hata wachezaji hamna.
Na kwa jinsi tff yalivyo mang'ombe yatayang'ang'ania hayo makocha mpk Afcon tukatie aibu, just because of 10%
ziko kwa karatasi mkuu 😁Ila wanusa gundi hizo tarmac road ziko wapi
Nairobi na GoogleIla wanusa gundi hizo tarmac road ziko wapi
hawezi kua sucked ni mpemba yule kaka yule ni mpemba hawezi kutolewaKocha wa Taifa Stars need to be sacked asee.
Alafu leteni kocha ambaye anaselect watu bila kujali timu, michezaji ovyo.
Samatta unamuita wa Nini? Tumecheza michezo mingi miaka 2 sijui lini samatta alifungia Taifa stars
Mwacheni tafuta wachezaji wengine, na hawa wa simba na yanga Daily wa nini?
Kocha fala sana, unaingia bila mipango unacheza upuuzi hujui hata set piece unatumiaje ni butua butua.
Yaani wachezaji wacheze tu kisa wachezaji.
Afcon iliyopita huyo kocha mwehu ndie alitukosesa ushindi na Backpass watu wana Red Card mpaka leo yupo.
Need to be sacked.
Ikiwa Vilabu vya Ligi vinatoa pesa ndefu kuleta Kocha timu ya Taifa inafeli wapi?
Kuna nchi zimeprove kocha anafanya kazi na wachezaji wadogo tu.