Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii imekaa njema. Comments za wadau hapa na kifano ya kupaka rangi imewafikia wahudika


View: https://www.instagram.com/p/DOWn0w1DZNO/

Cc: Mkwanzania
Screenshot_20250905_174906.jpg
 
That’s because you’re cowards. You don’t fight for your rights, and that’s why you never criticize your country. Most of you genuinely believe you live in a land of milk and honey, when in reality you live in a place where everyone is too afraid to expose the rot within—unlike in Kenya. Upuzi kama huu would never fly in Kenya.
Cowards kivipi, wakati watu hawaogopi kujieleza hapa mpaka JF sasa imefungiwa, kama mashada.com ilivyozuiliwa kipindi kile?

Wewe uko kwenye bubble yako, huelewi kinachoendelea Tanzania, Kuna ufisadi mpaka wa watu wakubwa jeshini unaongelewa.

Mtoto wa Samia na dili zake chafu watu wanapost, Rostam na wizi wake watu wanapost mitandaoni. Nyinyi wakenya mnaweza kupost ufisadi wa Uhuru na familia yake?
 
Cowards kivipi, wakati watu wahaogopi kujieleza hapa mpaka JF sasa imefungiwa, kama mashada.com ilivyozuiliwa kipindi kile?

Wewe uko kwenye bubble Yako, huelewi kinachowndelea Tanzania, Kuna ufisadi mpaka wa watu wakubwa jeshini unaongeleaa.

Mtoto wa Samia na dili zake chafu watu wanapost, Rostam na wizi wake watu wanapost mitandaoni. Nyinyi wakenya mnaweza kupost ufisadi wa Uhuru na familia yake?
Sisi hatupost tu mtandaoni, Hadi kwa street tunaenda. Nyie endeleeni kujificha mtandaoni.
 
Sisi hatupost tu mtandaoni, Hadi kwa street tunaenda. Nyie endeleeni kujificha mtandaoni.
Hamuendi street, mnapelekwa.

Odinga amewapeleka sana na kawaua sana. Leo familia yake nzima inakula mezani kwa Ruto na nyie njaa kali mnajiita mko kwa serikali.


Soon, Gachagua na yeye ataanza kuwapeleka GIKUYU kafara kwa street.

Hamjawahi ku-fight for your own agendas.

Ndio maana the same KANU gangs ndio hiyo inatawala mpaka leo.
 
Back
Top Bottom