tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Unasemaje kadadaa?jibu swali
Unasemaje kadadaa?jibu swali
Yani mzee wa 50 years utashinda ukisifia Mali ya wenyewe na hata barabara poa hakuna arushaazam tv,the only tv station in east and central africa that has state-of-the-art outside broadcasting facilities.
luxury ob bus.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
NB:
azam tv owner is a tanzanians born businessman and billionaire, said salim bakhresa.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
picha kama hizi huwa zinawapa ghadhabu sana.Ujenzi wa SGR
![]()

Tz has 5000 kmTangu Magufuli aingie Pale Magogoni wameshajenga 1500+Km za lami from previous 6000+Km nadhan ulihitimu shule ya msingi
Class two railwayUjenzi wa SGR
![]()
Iyo ilikua zaman kabla ata hujaijua jfTz has 5000 km
Iyo ndio itakua best ukanda huu!!Class two railway
Iyo ndio itakua best ukanda huu!!Class two railway
asante kwa povu la hasira...Yani mzee wa 50 years utashinda ukisifia Mali ya wenyewe na hata barabara poa hakuna arusha

Iyo ndio itakua best ukanda huu!!Class two railway
Unaumia sana ukimuona giant anainuka maana inajulikana kenya hawana chao.Class two railway
SGR Uganda » SGR comparison of KE, TZ, Ethiopia and UGUnaumia sana ukimuona giant anainuka maana inajulikana kenya hawana chao.
1. Tumeanza kwenye utalii tumewakalisha chini
2. Music industry tumewakalisha chini
3. Movie industry tumewakalisha china
4. Real Estate tumewakalisha chini
5. Mega projects tumewakalisha chini
6. Bomba la mafuta toka uganda tumewakalisha chini
7. EPA tumewakalisha chini.
The Champ is Here!!
![]()
Sasa tunawatafuta kwenye usafiri wa anga na bandari
Hiyo ni uganda vision 2040. Hapa tunaongelea 2020 rafiki. Vision ya Tanzania ni kunufaisha Local kwanza wengine baadae. Tunataka soko la ndani liwe satulated ndipo tuende kwingine. Ndiyo maana sera za ajira TZ ni mtanzania kwanza na hata katika uwekezaji kuna local content. For now huwezi kuja tu TZ na kuwekeza mpaka uelewe maana ya local content.SGR Uganda » SGR comparison of KE, TZ, Ethiopia and UG
Download that pdf
Were.kilaza 2asante kwa povu la hasira...![]()
![]()
feed ya KBC during cecafa 2017 ilitolewa na tv station gani?.![]()
![]()
ukijibu wewe ni "manzi yangu",usipojibu wewe ni mke wangu,ukitoa povu wewe ni kilaza.haya chagua moja.
BTW mimi ni wa 50s na wala si uongo.nanyorosha vijana majobless toka kenya.![]()
![]()
![]()
![]()
Achana naye huyo, akili zake zimewehuka kwa sababu ya kukosa lishe bora utotoni, si unafahamu hali ya njaa Kenya?source pls.
usipoleta source wewe ni mke wangu,na ukileta source isiyo rasmi wewe ni kahaba wangu wa kike...chagua moja.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Part of vision 2040..by 2020 railway itakua doneHiyo ni uganda vision 2040. Hapa tunaongelea 2020 rafiki. Vision ya Tanzania ni kunufaisha Local kwanza wengine baadae. Tunataka soko la ndani liwe satulated ndipo tuende kwingine. Ndiyo maana sera za ajira TZ ni mtanzania kwanza na hata katika uwekezaji kuna local content. For now huwezi kuja tu TZ na kuwekeza mpaka uelewe maana ya local content.
Nani kakuambia, Kenya tarmac roads hadi August 2017 kabla ya kipindi cha kwanza cha uchaguzi wenu zilikua 14,000 km, Tanzania 18,000km. Uhuru alitoa ahadi ya uongo 2013 kujenga 10,000km, ameishia kujenga 4,000km, aliahidi 5 World class stadia, hakujenga hata uwanja wa mbuzi, hadi Joho kamzidiAibu kubwa sana Kenya has twice the tarmac tz .yet Kenya is smaller....SHAME ON YOU AND CCM
Nimekwambia hiyo ni Vision ya Uganda siyo ya kenya. Mbona mbovu kuelewa? Kwanini usiongelee maswala yenu. Ninyi project zenu zipi za maana?Part of vision 2040..by 2020 railway itakua done