Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hio ambia mama yenu.

Image
1000114604.jpg
 
Kenge wewe rudia upya, si unatuwekea number 500k wakati huna picha ya hata watu 2, zaidi ya kwenda kufukua old photos.

Yaani numbers without evidence.
Nenda ukalie mbali swara hii. Kisumu passengers numbers are currently at 1.6M per year, that's same as JNIA.
 
And designed by Tanzanian, made by GSM

Tuletee hiyo jezi expensive ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
No wonder hakukuwa na creativity pale, I was wondering why Gor wamecopy jersey ya Nigeria kumbe ni Mtanzania ndio alipewa tender๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
You invited her, in your scamming church, humiliated and deserted her.

Yaani mmmuita kwenye vijikanisa vyenu vya kitapeli,.

After that humiliation, ulitaka mmrudishe akiwa the same
She could not get better treatment in Tanzania, that's the truth of the matter.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
The irony is mechi zote either mnavamia uwanja kuingia bure, wanasiasa kugawa tiketi kwa mafungu.

Then mlipoona CAF wamechachamaa kufunga screen (Watu kuona bure)

And you here saying money money wakati it's screaming umasikini tupu, cause there no relevant previous evidence to support your claim.

Kenge mwenyewe unashangaa hadi sprinklers unajiita una hela ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Yaan hawajawahi hata kufikisha 10mil ya makusanyo kwa mechi yoyote Toka Dunia iumbwe kwa mechi za kawaida wanataka kujilinganisha na timu ambayo kukusanywa 20mil ksh ni kawaida sana
 
Ju article ndio hufanya ranking. ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Oneni pumbavu, ranking inatoka Kwa calculated data.
We matako unazijua criteria za first world country!??
1.Human development index China ipo juu.
2. Purchasing power parity China ndio inaongoza.
3. China ina higher per Capita income.
4. China ina higher GNP na GDP.
5. Second largest economy in terms of GNP and GDP.

Nikupe swali la mwisho,unaweza kunieleza kwanini USA na EU walipiga kura kuitaka China itoke kwenye developing countries list!??
Nijibu hilo swali.
 
Hii ndio kitu hua tunaita opinion na kila mtu ana yake. Sasa leta data kutoka credible sources Wacha emotions za ushenzi.
We matako umesoma hiyo article vizuri?
Inamaana wanauchumi wa kimataifa waliopiga chapuo kuwa China iwe developed country wanaendeshwa kwa self-opinions!?
Hivi unajielewa wewe kweli!?
 
Ni wapi kwa hii article imesema China is a developed country? Highlight sahii nione.
Soma vizuri una akili wewe usijitoe akili.
Au labda nikuulize swali dogo, kwanini wanauchumi wa kimataifa wanapigia chapuo China kutolewa kwenye list ya developing countries!??
Naomba unipe jibu.
 
No wonder hakukuwa na creativity pale, I was wondering why Gor wamecopy jersey ya Nigeria kumbe ni Mtanzania ndio alipewa tender๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Ila umesema inauzwa bei ghali eeeh! Kwani kabla creativity ilikua wapi si mlikua mnaenda kununua just regular jersey mnapachika logo kwisha.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Ila umesema inauzwa bei ghali eeeh! Kwani kabla creativity ilikua wapi si mlikua mnaenda kununua just regular jersey mnapachika logo kwisha.
All Gor Mahia Jersey are always expensive kuanzia kitambo. Na hakuna timunya Tanzania can compete with Gor in terms of Jerseys.
 
Back
Top Bottom