concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
Yaan hawajawahi hata kufikisha 10mil ya makusanyo kwa mechi yoyote Toka Dunia iumbwe kwa mechi za kawaida wanataka kujilinganisha na timu ambayo kukusanywa 20mil ksh ni kawaida sana😂😂😂😂😂
The irony is mechi zote either mnavamia uwanja kuingia bure, wanasiasa kugawa tiketi kwa mafungu.
Then mlipoona CAF wamechachamaa kufunga screen (Watu kuona bure)
And you here saying money money wakati it's screaming umasikini tupu, cause there no relevant previous evidence to support your claim.
Kenge mwenyewe unashangaa hadi sprinklers unajiita una hela 😂😂😂