Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Baada ya kuwalisha jaluo kaona aitoshi na jezi juu,inabidi kuicolonize kundudwellers,bila TZ ingekua ishajifia zamani ndio maana ile non-citizen ban hadi leo kunyan bado wanalia
Zile jersey za tusker FC huja bila logo na huwa zinauzwa ksh 2500 bila logo, ukitaka uwekewe logo hela inaongezeka🤣🤣🤣🤣🤣
 
Jersey za kuprintiwa china na hakuna designer anayejulikana, huwa zinaletwa bila logo then zinapachikwa na ndo maana zinauzwa 2500 kabla ya printing

rse
Tusker FC jerseys are more expensive than Jerseys za any team in Tanzania.
 
No wonder hakukuwa na creativity pale, I was wondering why Gor wamecopy jersey ya Nigeria kumbe ni Mtanzania ndio alipewa tender🤣🤣🤣
Screenshot_20250629-104224.png
Screenshot_20250629-104238.png

Maku maumivu yakizidi kachambie pilipili
 
Na bado unashindwa kulipa salary hata ya 500,000 ksh kwa wachezaji wake 🤣🤣🤣🤣🤣 unazidiwa na singida united
Na Zinakuwa printed china bila logo
Leta evidence kwamba hizo Jersey za Tusker zimekuwa printed china bila logo.
 
Back
Top Bottom