Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mmeshindwa kuleta zako na huku hapa unapinga kila kitu. Show us your credible source tuone basi.
Kwamba that data filler, alizunguka all countries akafanya evaluation??

Jakaya Kikwete Cardiac institute Wakenya mmejaa.

Muhimbili National Hospital Mmejaa.

Ocean Road Cancer institute mmejaa.

Hapo bado private hospotals kama Selian, Aga Khan, Kariuki, KCMC etc.

Haya hapo bado Health centres na regional hospitals zilizoko mipakani kama Rombo, mmejaa.

Mnacjojua ni data cooking tu.

Tell me any health service mna-offer Tanzania haipo??
 
Haha life expectancy na health expectancy zote zinaendana moja imebase kwenye afya tu nyingine imebase in total ikimaanisha healthy and unhealthy situations , huwez sema una healthy expectancy rate kubwa huku una low life expectancy ukajisifu maana bado watu hawafikishi Ile miaka rasmi ya kufa . Nincompoop Rudi shule
Healthy Life Expectancy (HALE) = only the healthy years.

Years lived with health issues = LE – HALE.
🔹 Example for Tanzania:

LE ≈ 67 years

HALE ≈ 58.5 years

Therefore, 8.5 years are expected to be lived with illness or disability.
🔹 Example for Kenya:

LE ≈ 66 years

HALE ≈ 57.7 years

Therefore, 8.3 years are expected to be lived with illness or disability.
— life expectancy is the total package, while healthy life expectancy zooms in on the quality portion.
You are an idiot.
 
Kwamba that data filler, alizunguka all countries akafanya evaluation??

Jakaya Kikwete Cardiac institute Wakenya mmejaa.

Muhimbili National Hospital Mmejaa.

Ocean Road Cancer institute mmejaa.

Hapo bado private hospotals kama Selian, Aga Khan, Kariuki, KCMC etc.

Haya hapo bado Health centres na regional hospitals zilizoko mipakani kama Rombo, mmejaa.

Mnacjojua ni data cooking tu.

Tell me any health service mna-offer Tanzania haipo??
Yet your leaders come to seek treatment in Kenya.
 
Si wana hela au!
Halafu mbona walalamike wakati hata kwao wana hii sheria tofauti ni kiwango tu!
Hawajui kinacho endelea nchini kwao. 😂😂😂

View: https://x.com/tito_antony/status/1959481752872710449?s=46


Nyani haonagi kundule lake 🤣🤣🤣🤣
chrome_screenshot_Aug 24, 2025 10_26_43 AM GMT+03_00.png

Halafu walivyo wavivu na wajinga sasa

View: https://x.com/NchiYanguNzuri/status/1959525538499903559?s=19
 
Back
Top Bottom