Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndiyo hawa waliyo kuwa wanalipinga.bwawa la umeme halafu wanandika ujinga wao hawakitakiwa kuruhusiwa kwenda huko hata siku moja
Wazungu wasenge sana, Uzuri nchi yetu misingi yake hairuhusu kuwasikiliza sana. Vinginevyo tungepotea.

Magufuli asingekaza now wangekua wanatuandika

Poverty stricken with no electricity access as country have limited capacity need aid for generators blah blah blah na usenge mwingine.

But now tulikaza

Umeona tunavyoandikwa Investment feasible as electric production outnumber demands
 
Imagine units 117 kwa mkupuo
Yutong kapiga 180,000*117=21,000,000 usd
Serikali ifanye namna iwakazie wachina wawe na Assemblies tunachukua PC nyingi.

Imagine mwendokasi tu kifurushi kipo 900buses

Watu binafsi ndio hivyo wanapigana mieleka 200units zinamwagika miezi kadhaa.

Wafanye namna NYUMBU CORPORATION iwe na partnership ya assemblies tusichekee fursa.

Unaweza hata waahidi yoyote atakayeweka Plant atapewa priority kwa order za domestic.
 
Kwanza towers si ndio hiyo mnajenga second ya nyoko
Peleka ujinga mbali. Kwa hiyo hii ni mamako?

The first Kisumu Control Tower.
1756025095270.jpeg
 
She could not get a better hospital in Tanzania and that's why she came to Kenya.
You invited her, in your scamming church, humiliated and deserted her.

Yaani mmmuita kwenye vijikanisa vyenu vya kitapeli,.

After that humiliation, ulitaka mmrudishe akiwa the same
 
Maskini wamejulikana, CHAN ishatuonyesha you can't reverse it.
😂😂😂😂😂
The irony is mechi zote either mnavamia uwanja kuingia bure, wanasiasa kugawa tiketi kwa mafungu.

Then mlipoona CAF wamechachamaa kufunga screen (Watu kuona bure)

And you here saying money money wakati it's screaming umasikini tupu, cause there no relevant previous evidence to support your claim.

Kenge mwenyewe unashangaa hadi sprinklers unajiita una hela 😂😂😂
 
Back
Top Bottom