Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sema mzee tuachane na hizi mbishe, too low.
Tanzania tuna vitu vizuri na vya msingi vya kupost humu, kupost hawa socialist sidhani kama ina manufaa yoyote humu.
Wote tunajua Tanzania kuna warembo wazuri wa kila aina kulinganisha na jirani mademu wamekomaa na kuwa na forehead kubwa kubwa. 😂😂😂
Kaka. Na wewe fanya yako. Please tusipangiane, wewe sikupangii cha ku post. Samahani. Kama posts zangu zinakuumiza please ingnore me.
 
Nawauliza wakenya. Tuangalie background au Foreground? Hapo ni Mwanza, tunasubiri picha za Kisumu

1755346208549.png
 
Ni kweli niliwahi kuishi kwenye nchi zote mbili wanyarwanda wanajisikia sana ila walikuwa wanatukuta tunakunywa Prims bia za kwao wao wanachangia moja ikiisha wananunua nyingine Mtanzania lete kama tulivyo ni raundi hizo za watu sita wakawa wanatushangaa sana kuwa hatuchangii bia
 
Kama tuliweza kujenga JNHEPP kwa hela yetu kwanini serikali ishindwe huu mradi ambao makisio yake yalikuwa USD 3bn. tuwekeze kidogokidogo in partnership with foreign investor through STAMICO in 5 years uwe up and running. economic return yake ni kubwa sana.
Hii inafikirisha sana. Yaani it looks kabisa tunaweza tuna mifano kede kede

Tuna JNHPP, tuna Magufuli Bridge
Tuna STAMIGOLD, etc

Ila ajabu viongozi wanaleta upuuzi, mfano kuchukua mabilioni ya wafanyabiashara kwenye kampeni ina maana gani kwenye kuwatoza kodi next years? Mwisho hata JNHPP usikie imewekwa Bond, Magufuli Bridge inanTolls kisa makusanyo hafifu sababu ya kuwapoza wachangiaji wao.
 
JHEPP kuna pesa ya mkopo pia.

Trilioni 6.5 parefu, kutumia own source pekee
Pesa gani mzee wakati Donors wote walikataa kabisa juu ya uharibifu wa mazingira.

Plus check tulivyopigwa madongo sana kipindi tunauanzisha.

Hamna Pesa ya Donors, hakuna Donor anaweza toa $1-2bn Africa kimya, huku wewe una mkandarasi from Egypt yaani kila kitu unaamua utakavyo.

Tukisema Donor eti atapewa Rasmali ya nchi kufidia. Haiwezekani kumbuka kuna 2 laws zinafanya ushindwe kuhodhi.

1. Land Law
2. Permanent Sovereign on natural resources ya 2017 (inafanya hata upewe mgodi mzima ni kazi bure akitokea Raisi mwingine unanyang'anywa, only Government have sovereign juu ya rasmali)


Kuna na hii sheria ya mwaka 2017

Natural Wealth and Resources Contracts (Review and Re-negotiation of Unconscionable Terms) Act, 2017

Ndio ilifanya hadi DP WORLD eti walitaka kuipindisha Bungeni

Ndio nilianza kuchukia machawa wote. Seriously unaenda Bungeni eti kubadili hizo sheria zote 2 za 2017 kisa tu DP WORLD.

Thank God hawakufanikiwa.

So hakuna anayeweza toa $1bn to up huku umemkazia kila kona asee.

Check china alisema $1bn ila ni kwa Tazara.
 
Ni kweli niliwahi kuishi kwenye nchi zote mbili wanyarwanda wanajisikia sana ila walikuwa wanatukuta tunakunywa Prims bia za kwao wao wanachangia moja ikiisha wananunua nyingine Mtanzania lete kama tulivyo ni raundi hizo za watu sita wakawa wanatushangaa sana kuwa hatuchangii bia
Rwanda na Burundi wana beef.

Rwanda huwaona Burundi kama watu duni.

Hata masterplan yetu, Rwanda anachukulia Isaka na Burundi anachukulia Uvinza.

Wangekuwa wanaeleana ingekuwa rahisi tu, Rwqnda kuvuta kutoka Musongati.

Ni kama Ethiopia hawaelewani na Eritrea.

TZ tungekuwa wanyonge hawana wahuni wa Kenya wangetusumbua sana.
 
Pesa gani mzee wakati Donors wote walikataa kabisa juu ya uharibifu wa mazingira.

Plus check tulivyopigwa madongo sana kipindi tunauanzisha.

Hamna Pesa ya Donors, hakuna Donor anaweza toa $1-2bn Africa kimya, huku wewe una mkandarasi from Egypt yaani kila kitu unaamua utakavyo.

Tukisema Donor eti atapewa Rasmali ya nchi kufidia. Haiwezekani kumbuka kuna 2 laws zinafanya ushindwe kuhodhi.

1. Land Law
2. Permanent Sovereign on natural resources ya 2017 (inafanya hata upewe mgodi mzima ni kazi bure akitokea Raisi mwingine unanyang'anywa, only Government have sovereign juu ya rasmali)


Kuna na hii sheria ya mwaka 2017

Natural Wealth and Resources Contracts (Review and Re-negotiation of Unconscionable Terms) Act, 2017

Ndio ilifanya hadi DP WORLD eti walitaka kuipindisha Bungeni

Ndio nilianza kuchukia machawa wote. Seriously unaenda Bungeni eti kubadili hizo sheria zote 2 za 2017 kisa tu DP WORLD.

Thank God hawakufanikiwa.

So hakuna anayeweza toa $1bn to up huku umemkazia kila kona asee.

Check china alisema $1bn ila ni kwa Tazara.
Sijasema donors. Ni mkopo, tena nadhani ni commercial.

China $1b siyo mkopo. Anakodi TAZRA kwa miaka 27, baada ya kuboresha kwa kila kitu chake kwa miaka 3.
 
Back
Top Bottom