President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,767
- 89,793
Kaka tupo na Ujenzi wa Dodoma - Tabora, Tabora - Isaka, Tabora - Kigoma, Isaka - Mwanza. Huu ujenzi wote unahitaji fedha na mambo mengine yanatakiwa yaendelee.Miaka 6 yote ya nini?
Tupo na ujenzi wa Grid ya maji ya kumwagilia mashamba kutoka Ziwa Tanganyika na ziwa victoria miradi hii yote ni mikubwa inahitaji fedha.
Vilevile ujenzi huu unaenda sambamba na ujenzi wa Dry ports na kushughulikia utulivu wa Eastern Congo. Mimi naona ni sawa tu. Miaka sita ni michache mno.