Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Miaka 6 yote ya nini?
Kaka tupo na Ujenzi wa Dodoma - Tabora, Tabora - Isaka, Tabora - Kigoma, Isaka - Mwanza. Huu ujenzi wote unahitaji fedha na mambo mengine yanatakiwa yaendelee.
Tupo na ujenzi wa Grid ya maji ya kumwagilia mashamba kutoka Ziwa Tanganyika na ziwa victoria miradi hii yote ni mikubwa inahitaji fedha.

Vilevile ujenzi huu unaenda sambamba na ujenzi wa Dry ports na kushughulikia utulivu wa Eastern Congo. Mimi naona ni sawa tu. Miaka sita ni michache mno.
 
1755341763286.png


Airtel Stadium Singida
 
Teargass huyu hapa anaitwa Rushaynah Kutoka Shinyanga vijijini ni mix ya Msukuma na Mwarabu. Wakenya mtakuwa mnakula kwa macho tu. Wanawake wa kenya sura mbaya kutokana na chakula kibaya

View attachment 3442911
Sema mzee tuachane na hizi mbishe, too low.
Tanzania tuna vitu vizuri na vya msingi vya kupost humu, kupost hawa socialist sidhani kama ina manufaa yoyote humu.
Wote tunajua Tanzania kuna warembo wazuri wa kila aina kulinganisha na jirani mademu wamekomaa na kuwa na forehead kubwa kubwa. 😂😂😂
 
Sema mzee tuachane na hizi mbishe, too low.
Tanzania tuna vitu vizuri na vya msingi vya kupost humu, kupost hawa socialist sidhani kama ina manufaa yoyote humu.
Wote tunajua Tanzania kuna warembo wazuri wa kila aina kulinganisha na jirani mademu wamekomaa na kuwa na forehead kubwa kubwa. 😂😂😂
Kaka. Na wewe fanya yako. Please tusipangiane, wewe sikupangii cha ku post. Samahani. Kama posts zangu zinakuumiza please ingnore me.
 
Back
Top Bottom