Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni kweli niliwahi kuishi kwenye nchi zote mbili wanyarwanda wanajisikia sana ila walikuwa wanatukuta tunakunywa Prims bia za kwao wao wanachangia moja ikiisha wananunua nyingine Mtanzania lete kama tulivyo ni raundi hizo za watu sita wakawa wanatushangaa sana kuwa hatuchangii bia
 
Kama tuliweza kujenga JNHEPP kwa hela yetu kwanini serikali ishindwe huu mradi ambao makisio yake yalikuwa USD 3bn. tuwekeze kidogokidogo in partnership with foreign investor through STAMICO in 5 years uwe up and running. economic return yake ni kubwa sana.
Hii inafikirisha sana. Yaani it looks kabisa tunaweza tuna mifano kede kede

Tuna JNHPP, tuna Magufuli Bridge
Tuna STAMIGOLD, etc

Ila ajabu viongozi wanaleta upuuzi, mfano kuchukua mabilioni ya wafanyabiashara kwenye kampeni ina maana gani kwenye kuwatoza kodi next years? Mwisho hata JNHPP usikie imewekwa Bond, Magufuli Bridge inanTolls kisa makusanyo hafifu sababu ya kuwapoza wachangiaji wao.
 
JHEPP kuna pesa ya mkopo pia.

Trilioni 6.5 parefu, kutumia own source pekee
Pesa gani mzee wakati Donors wote walikataa kabisa juu ya uharibifu wa mazingira.

Plus check tulivyopigwa madongo sana kipindi tunauanzisha.

Hamna Pesa ya Donors, hakuna Donor anaweza toa $1-2bn Africa kimya, huku wewe una mkandarasi from Egypt yaani kila kitu unaamua utakavyo.

Tukisema Donor eti atapewa Rasmali ya nchi kufidia. Haiwezekani kumbuka kuna 2 laws zinafanya ushindwe kuhodhi.

1. Land Law
2. Permanent Sovereign on natural resources ya 2017 (inafanya hata upewe mgodi mzima ni kazi bure akitokea Raisi mwingine unanyang'anywa, only Government have sovereign juu ya rasmali)


Kuna na hii sheria ya mwaka 2017

Natural Wealth and Resources Contracts (Review and Re-negotiation of Unconscionable Terms) Act, 2017

Ndio ilifanya hadi DP WORLD eti walitaka kuipindisha Bungeni

Ndio nilianza kuchukia machawa wote. Seriously unaenda Bungeni eti kubadili hizo sheria zote 2 za 2017 kisa tu DP WORLD.

Thank God hawakufanikiwa.

So hakuna anayeweza toa $1bn to up huku umemkazia kila kona asee.

Check china alisema $1bn ila ni kwa Tazara.
 
Ni kweli niliwahi kuishi kwenye nchi zote mbili wanyarwanda wanajisikia sana ila walikuwa wanatukuta tunakunywa Prims bia za kwao wao wanachangia moja ikiisha wananunua nyingine Mtanzania lete kama tulivyo ni raundi hizo za watu sita wakawa wanatushangaa sana kuwa hatuchangii bia
Rwanda na Burundi wana beef.

Rwanda huwaona Burundi kama watu duni.

Hata masterplan yetu, Rwanda anachukulia Isaka na Burundi anachukulia Uvinza.

Wangekuwa wanaeleana ingekuwa rahisi tu, Rwqnda kuvuta kutoka Musongati.

Ni kama Ethiopia hawaelewani na Eritrea.

TZ tungekuwa wanyonge hawana wahuni wa Kenya wangetusumbua sana.
 
Pesa gani mzee wakati Donors wote walikataa kabisa juu ya uharibifu wa mazingira.

Plus check tulivyopigwa madongo sana kipindi tunauanzisha.

Hamna Pesa ya Donors, hakuna Donor anaweza toa $1-2bn Africa kimya, huku wewe una mkandarasi from Egypt yaani kila kitu unaamua utakavyo.

Tukisema Donor eti atapewa Rasmali ya nchi kufidia. Haiwezekani kumbuka kuna 2 laws zinafanya ushindwe kuhodhi.

1. Land Law
2. Permanent Sovereign on natural resources ya 2017 (inafanya hata upewe mgodi mzima ni kazi bure akitokea Raisi mwingine unanyang'anywa, only Government have sovereign juu ya rasmali)


Kuna na hii sheria ya mwaka 2017

Natural Wealth and Resources Contracts (Review and Re-negotiation of Unconscionable Terms) Act, 2017

Ndio ilifanya hadi DP WORLD eti walitaka kuipindisha Bungeni

Ndio nilianza kuchukia machawa wote. Seriously unaenda Bungeni eti kubadili hizo sheria zote 2 za 2017 kisa tu DP WORLD.

Thank God hawakufanikiwa.

So hakuna anayeweza toa $1bn to up huku umemkazia kila kona asee.

Check china alisema $1bn ila ni kwa Tazara.
Sijasema donors. Ni mkopo, tena nadhani ni commercial.

China $1b siyo mkopo. Anakodi TAZRA kwa miaka 27, baada ya kuboresha kwa kila kitu chake kwa miaka 3.
 
These people still live in medieval times. Watakuambia wananyorosha nchi.🤣🤣
Unaongea sana as if huko Ukunyani ni Civilised

1000142060.jpg


View: https://youtu.be/FOtvcgXyrE4?si=7_pGwMH310I1AuhT

Amka ishi kwa reality.
 
Sijasema donors. Ni mkopo, tena nadhani ni commercial.

China $1b siyo mkopo. Anakodi TAZRA kwa miaka 27, baada ya kuboresha kwa kila kitu chake kwa miaka 3.
Still mzee, I think unachanganya I believe JNHPP ni full pesa za Ndani, sababu huo mkoponungesemwa, ila mara nyingi mikopo mikubwa lazima waitolee ufafanuzi.

Usione eti $3bn kubwa kaka. Kumbuka Mradi umeanza 2019 umekamilika 2025, miaka 6. Na kwenye hiyo miaka 6 makusanyo ya mwezi TRA 3trilion, mwezi tu,

Ukitenga hata 100bn kila Mwezi kutoka kwenye 3trilion za mwezi.


Miezi 12, Tsh 1.2 Trillion, miaka 6

Tsh 7.2 Trillion. Bwawa hili hapa

Usidharau hii nchi, Ndio Maana Magufuli alisema nchi ni Tajiri tunaweza fanya maendeleo kwa pesa za ndani, sema upeo mdogo wa viongozi.

Yaani hata kufikisha njia 6 Dar Dodoma hakuna cha PPT

si makadirio hua hata $3bn
Ujenzi miaka 10 even miaka 7.

Same models miaka 10, unatenga hata Tsh 50bn kutoka Unazokusanya Tsh 3 Trillion kwa mwezi.

Kwa Mwaka 600bn miaka 10, Tsh 6 barabara hii hapa.

Kuliko ukope $3bn alafu unalipa miaka 30 si upuuzi.

Akili ndogo tu vitu vinafanikiwa
 
Prime


Tanzania’s tourism bounce drives surge in hotel occupancy​

Saturday, August 16, 2025

Prime
Tanzania’s tourism bounce drives surge in hotel occupancy
Saturday, August 16, 2025
 
Still mzee, I think unachanganya I believe JNHPP ni full pesa za Ndani, sababu huo mkoponungesemwa, ila mara nyingi mikopo mikubwa lazima waitolee ufafanuzi.

Usione eti $3bn kubwa kaka. Kumbuka Mradi umeanza 2019 umekamilika 2025, miaka 6. Na kwenye hiyo miaka 6 makusanyo ya mwezi TRA 3trilion, mwezi tu,

Ukitenga hata 100bn kila Mwezi kutoka kwenye 3trilion za mwezi.


Miezi 12, Tsh 1.2 Trillion, miaka 6

Tsh 7.2 Trillion. Bwawa hili hapa

Usidharau hii nchi, Ndio Maana Magufuli alisema nchi ni Tajiri tunaweza fanya maendeleo kwa pesa za ndani, sema upeo mdogo wa viongozi.

Yaani hata kufikisha njia 6 Dar Dodoma hakuna cha PPT

si makadirio hua hata $3bn
Ujenzi miaka 10 even miaka 7.

Same models miaka 10, unatenga hata Tsh 50bn kutoka Unazokusanya Tsh 3 Trillion kwa mwezi.

Kwa Mwaka 600bn miaka 10, Tsh 6 barabara hii hapa.

Kuliko ukope $3bn alafu unalipa miaka 30 si upuuzi.

Akili ndogo tu vitu vinafanikiwa
Na tunaweza sana , am sure ni more of inside loans kuna habari nilisoma Crdb loaned 1trillion tsh. ila sio donor funded
IMG_1992.png
 
Rwanda na Burundi wana beef.

Rwanda huwaona Burundi kama watu duni.

Hata masterplan yetu, Rwanda anachukulia Isaka na Burundi anachukulia Uvinza.

Wangekuwa wanaeleana ingekuwa rahisi tu, Rwqnda kuvuta kutoka Musongati.

Ni kama Ethiopia hawaelewani na Eritrea.

TZ tungekuwa wanyonge hawana wahuni wa Kenya wangetusumbua sana.
Bado hawajafungua mpaka wao wa land mpaka sasa
 
Kenya huwa huwa wanajifanya kuwa wao ndiyo wao tukikohoa tu wanautyata kama mbwa akimuona chatu
Rwanda na Burundi wana beef.

Rwanda huwaona Burundi kama watu duni.

Hata masterplan yetu, Rwanda anachukulia Isaka na Burundi anachukulia Uvinza.

Wangekuwa wanaeleana ingekuwa rahisi tu, Rwqnda kuvuta kutoka Musongati.

Ni kama Ethiopia hawaelewani na Eritrea.

TZ tungekuwa wanyonge hawana wahuni wa Kenya wangetusumbua sana.
 
Back
Top Bottom