Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hahahahhahhahahahahhahahhaha
ngoja nifungue zipu ili uone 👇🏻👇🏻👇🏻

View attachment 3442038
No wonder wewe ni mkimbizi. Sasa unaficha hii part ili nini ifanyike.

1755247934439.png
 
inapokea kontena ngapi yet naona kontena hata 50 hazifiki 😂😂😂😂

miaka mitano leo toka imeanza kazi lakini sioni faida ya lamu mzee wachumi walishasema ni white elephant
We all know counting is not your strongest suite. Ungemaliza shule saa hii hatungekuwa tunabishania mambo ya kuhesabu containers.

Kuna any port in Tanzania that ishaipokea Meli kubwa Kama hii?


View: https://x.com/lapsset/status/1953359848759763289
 
punguza ushamba nani ananunua hO appartments zaidi ya politicians na wazungu kutoka nje au big investors ww hujiulizi kwann kibera alone ina watu million 3 what about other 99 slums ???

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huu wivu utakuua 😂 😂
 
We all know counting is not your strongest suite. Ungemaliza shule saa hii hatungekuwa tunabishania mambo ya kuhesabu containers.

Kuna any port in Tanzania that ishaipokea Meli kubwa Kama hii?


View: https://x.com/lapsset/status/1953359848759763289

We all know counting is not your strongest suite. Ungemaliza shule saa hii hatungekuwa tunabishania mambo ya kuhesabu containers.

Kuna any port in Tanzania that ishaipokea Meli kubwa Kama hii?


View: https://x.com/lapsset/status/1953359848759763289

meli imekuja na 4000 containers alaf ika discharge 140 containers lamu alaf unakenua meno kabisa 😂😂😂😂😂 yani ww kwa maelezo hayo huoni kabisa hio ni kujiweka goli mwenyewe

wallah nyinyi muna genes za ibilisi mwenye mapembe na mkia


View: https://x.com/lapsset/status/1953359848759763289?s=46
 
Kwahiyo unataka kulinganisha matakata ya porini huko Naipori vs Oyster bay.? 🤣🤣🤣🤣 mtu anaeishi kando ya bahari + it’s 2-3 km from the city center alingane na mpumbavu wa Karen in the middle of no where (the so called Karen)? Hebu toa tongo tongo. 👇🏾View attachment 3441879View attachment 3441862View attachment 3441866Appartmet ya Oyster bay it’s supposed to be 4 times expensive than those ones in Karen due to their location. Usilinganishe machaka huko kwenu na miji iliyoendelea pumbavu. 🤣🤣🤣

Huu ujinga enda ukalinganishe na Mombasa
 
meli imekuja na 4000 containers alaf ika discharge 140 containers lamu alaf unakenua meno kabisa 😂😂😂😂😂 yani ww kwa maelezo hayo huoni kabisa hio ni kujiweka goli mwenyewe

wallah nyinyi muna genes za ibilisi mwenye mapembe na mkia


View: https://x.com/lapsset/status/1953359848759763289?s=46

Ulisema containers hazifiki 50, nimekuonyesha a ship offloading 140 containers ukaanza kulia.

Sasa Lia zaidi😂😂😂

860 Containers.


View: https://x.com/AbdishukriOsman/status/1942446607095447670
 
Back
Top Bottom