Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya washaanza kufurika Kasarani Stadium. Kuna wachawi walinunuliwa 10,000 tickets lakini bado wameshindwa kujitokeleza😂😂😂

1754822485995.jpeg
 
Lamu has a 3 berths with Quay Length of 1200m

Mtwara has 2 berths with Quay length of 685meters

Tanga is smaller than Mtwara with 2 berth Quay of 450m

Mtwara in Ship to Shore Crane moja

Tanga is still undergoing major expansion kupokea meli za mafuta

Mtwara will get a another new berth that will be used specfic for Coal handling

Mmetangulia kwa Lamu kuwa na 400m per berth expect Bagamoyo to do that soon it is poised to have bigger berths than Dar or Mtwara

Si unaona SGR mlitangulia ila yetu ni bora zaidi
Ilebya kukwama kwamba ama kuna nyingine?
 
Back
Top Bottom