Tusubiri labda wataamka kipindi cha pili😎Angola Hawajui nini wafanye
Sasa ulitaka tusiangalie hii mechi?😎...hadi hapa bongolalas are busy..🤣🤣...
Taifa stars is sure of winning the group matches so ahitaji booster ya fans kupiga makelele uwanjani😃😃😃Enyewe Kenya ndio the real hosts wa hii tournament, stadiums zinajaa, hype is real, hadi hapa bongolalas are busy hate watching. 🤣🤣
Mlicheza jana, your stadium was empty, hata hii thread haikua active. 🤣🤣🤣
Kwikwikwikwikwikwi, Ruto kanunu ticket zote na kuwapa bureEnyewe Kenya ndio the real hosts wa hii tournament, stadiums zinajaa, hype is real, hadi hapa bongolalas are busy hate watching. 🤣🤣
Mlicheza jana, your stadium was empty, hata hii thread haikua active. 🤣🤣🤣
What is football without fans? Unajiskiza kweli?Taifa stars is sure of winning the group matches so ahitaji booster ya fans kupiga makelele uwanjani😃😃😃
Hizi propaganda haziendi pahali.Kwikwikwikwikwikwi, Ruto kanunu ticket zote na kuwapa bure
Just wait a rain of goals from Angola. I'm sure the stadium will be nearly empty before the end of the match. You don't have the audacity to deny this!What is football without fans? Unajiskiza kweli?
Punguza hasira wewe nyang'au😂Hizi propaganda haziendi pahali.
Picha ni mimi nilileta na ndio hii hapa kijana wa TandaleUmeona picha aliyoleta mwenzio!?
Yani unafananishaje satellite image na ground image!?
Mbugila tope kweli huyu!
Kachukue picha aliyoleta mwenzio utuoneshe Kariakoo iko wapi.
Tuoneshe hapo Kariakoo ni wapi!?Picha ni mimi nilileta na ndio hii hapa kijana wa Tandale View attachment 3435246
Kwamba huoni TPA kwenye hiyo picha ama ndio kujifanya kipofu?Tuoneshe hapo Kariakoo ni wapi!?
Hapo Kuna Morocco, Kijitonyama na Makumbusho.
Aya tuoneshe Kariakoo.
Mechi Kenya hawatoboi hiyo.Da Angalo bwana yanakosa tu
TPA ndio Kariakoo!?Kwamba huoni TPA kwenye hiyo picha ama ndio kujifanya kipofu?
Angola Mbele wajinga tuMechi Kenya hawatoboi hiyo.
Wana kadi nyekundu hao.
Bongolala, TPA na Kariakoo is one and the same place. Usituone sisi ni wajingaTPA ndio Kariakoo!?
😂😂😂Pia unajua umbali wa kutoka TPA hadi Makumbusho ni kilometa ngapi!?
TPA ni Posta kivukoni na ni one-way kuelekea Makumbusho.
Hakuna Kariakoo kwenye hiyo picha.
Umechanganyikiwa wewe!?Bongolala, TPA na Kariakoo is one and the same place. Usituone sisi ni wajingaView attachment 3435251