Umeona picha aliyoleta mwenzio!?TPA inaonekana vizuri sana kwenye ile picha. Sisi sote tunajua Kariakoo na TPA ni pua na mdomoView attachment 3434941
Kabisaa ila Hawa Angola Nao Majinga tuHii Pitch ni mbovuu
Inaonekana wanamtegena Gilberto, ambaye naye kaisha sana.Kabisaa ila Hawa Angola Nao Majinga tu
Tusubiri labda wataamka kipindi cha pili😎Angola Hawajui nini wafanye
Sasa ulitaka tusiangalie hii mechi?😎...hadi hapa bongolalas are busy..🤣🤣...
Taifa stars is sure of winning the group matches so ahitaji booster ya fans kupiga makelele uwanjani😃😃😃Enyewe Kenya ndio the real hosts wa hii tournament, stadiums zinajaa, hype is real, hadi hapa bongolalas are busy hate watching. 🤣🤣
Mlicheza jana, your stadium was empty, hata hii thread haikua active. 🤣🤣🤣
Kwikwikwikwikwikwi, Ruto kanunu ticket zote na kuwapa bureEnyewe Kenya ndio the real hosts wa hii tournament, stadiums zinajaa, hype is real, hadi hapa bongolalas are busy hate watching. 🤣🤣
Mlicheza jana, your stadium was empty, hata hii thread haikua active. 🤣🤣🤣
What is football without fans? Unajiskiza kweli?Taifa stars is sure of winning the group matches so ahitaji booster ya fans kupiga makelele uwanjani😃😃😃
Hizi propaganda haziendi pahali.Kwikwikwikwikwikwi, Ruto kanunu ticket zote na kuwapa bure
Just wait a rain of goals from Angola. I'm sure the stadium will be nearly empty before the end of the match. You don't have the audacity to deny this!What is football without fans? Unajiskiza kweli?
Punguza hasira wewe nyang'au😂Hizi propaganda haziendi pahali.
Picha ni mimi nilileta na ndio hii hapa kijana wa TandaleUmeona picha aliyoleta mwenzio!?
Yani unafananishaje satellite image na ground image!?
Mbugila tope kweli huyu!
Kachukue picha aliyoleta mwenzio utuoneshe Kariakoo iko wapi.
Tuoneshe hapo Kariakoo ni wapi!?Picha ni mimi nilileta na ndio hii hapa kijana wa Tandale View attachment 3435246