Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mutahost vp na hamuna viwanja nje ya nairobi? yani maendeleo yote mumeijaza nairobi ukitoka nje ya nairobi ni mashkolo mageni 😂😂
Kama Talanta inakarabia kuisha in one year tunaweza jenga zingine. Nyinyi mambwa mtatuletea aibu with your empty stadiums, we should host alone, ikiwa mbaya sana wapatie Rwanda hio nafasi yenu.
 
mutahost vp na hamuna viwanja nje ya nairobi? yani maendeleo yote mumeijaza nairobi ukitoka nje ya nairobi ni mashkolo mageni 😂😂
Kwani kukula na viwanja nje ya Nairobi ndio kuhost tournament? Nyinyi mmeshindwa kujaza hadi stadium yenu moja pekee ya Dar.

AFCON hamtapewa matches za maana juu Nyinyi ni aibu tu kwa Africa.
 
Kama Talanta inakarabia kuisha in one year tunaweza jenga zingine. Nyinyi mambwa mtatuletea aibu with your empty stadiums, we should host alone, ikiwa mbaya sana wapatie Rwanda hio nafasi yenu.
Mjenge kwa pesa gani😄😄
 
Kwani kukula na viwanja nje ya Nairobi ndio kuhost tournament? Nyinyi mmeshindwa kujaza hadi stadium yenu moja pekee ya Dar.

AFCON hamtapewa matches za maana juu Nyinyi ni aibu tu kwa Africa.
ni aibu kwa nchi kama yenu isiokua na maendeleo nje ya nairobi

tena ni aibu kubwa sana na haiwezekani vile vile labda nikupe elimu nenda kasome vigezo vya kuhost usifkiri ni kama kule githeri fala wewe 😂😂😂😂

hii yenyewe Afcon tumepewa kwa mbinde na masharti mengi sana
 
Back
Top Bottom