Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapo nimekuwekea inland water ports tuu sijaweka Tanga, Mtwara na new Mtwara coal port underconstruction
Tanga ambayo haina STS Gantry crane hata moja, Mtwara nayo ina Gantry crane moja pekee. Be serious, hata dryport zenu hazina enough infrastructure, nikama viwanja tu.
 
Hapo ni Buguruni sokoni uchafu hukusanywa gari la uchafu lipitie kubeba ila nyie uchafu daily hadi maeneo ya ofisi na makazi na hilo soko lenu hapo town ndio kabisaa uozo mtupu
Kwa hivyo wenye walipost hio hawajui kitu walikua wanafanya. 🤣
 
Kilimani iko wapi hapo bongolala? The picture is taken from Parklands sasa sijui hayo magorofa ya Upper Hill hayafai kuonekana or what's exactly your point?


What will you say about this picture taken in kijiko ya nyama and showing your entire cbd, kariakoo and Upanga all in one shot? Nini kilichobaki hapa?
View attachment 3433510
View attachment 3433507
Kariakoo iko wapi mbugila tope wewe!?
Hapo Kuna Kijitonyama, Victoria na Makumbusho.
Aya tuoneshe Kariakoo iko wapi hapo!?
 
You are not the smartest lot. Eti hakuna temperature Nairobi. If you can't express yourself like a literate, wachana na argument zingine.
Kwahiyo Kenya Nairobi kuishi katika nyumba za mabati ni sawa!?
Wachaga ujuaji usio na mantiki.
Tanzania nyumba za fukara HUWEZI Kuta ni za mabati kama Kenya.
Ila Kenya mtu anajisifia kujenga nyumba za mabati tupu.
Ndio uone kuwa sisi hatufanani.
Suala la makazi TZ ni suala la kawaida sana halitusumbui kama Kenya.
Hivi uliona Ile video niloleta kuwa Nairobi Kuna familia zaidi ya 20 zinaishi ndani ya penyo za madaraja!??
Hiko kitu hukuti Tanzania daima.
 
Kesho watakwambia wao ndio wanajua Kiswahili kuliko kila mtu.

Wanatapeli sana Wazungu kwa kuwafundisha Kiswahili cha kitapeli huko Ulaya.

FB_IMG_1754481435049.jpg
 
Maku hii ni kitunda na kivule,na hapo nyumba zote kali,nje ya mji hiyo,ukiwa kwa juu unaiona hivyo sasa ukiwa unashuka ukiiona kwa karibu ndio utaiona uzuri wake
Huko ndio kwa middle class, nyumba kali kali eti. 🤣 🤣 🤣 Bongoslum hakuna surveyors, munajenga tu vile munataka, hata barabara hamjui inafaa kupita wapi, munajenga tu kama panya.
 
Back
Top Bottom