Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,946
- 34,994
nilitegemea ofisi kua zimeungua but nimeona mabati kila kona ndio zimeungua, hvi kenya tofali ni bei gani?
View: https://x.com/standardkenya/status/1952994390735040940?s=46
Ni huzuni
nilitegemea ofisi kua zimeungua but nimeona mabati kila kona ndio zimeungua, hvi kenya tofali ni bei gani?
View: https://x.com/standardkenya/status/1952994390735040940?s=46
Tanzanians this is how you attend football matches.
View: https://x.com/citizentvkenya/status/1951956547224961213?t=s3ZUu39yv7P7fbepITG2YQ&s=19
Kwahiyo Kenya Nairobi kuishi katika nyumba za mabati ni sawa!?You are not the smartest lot. Eti hakuna temperature Nairobi. If you can't express yourself like a literate, wachana na argument zingine.
Huko ndio kwa middle class, nyumba kali kali eti. 🤣 🤣 🤣 Bongoslum hakuna surveyors, munajenga tu vile munataka, hata barabara hamjui inafaa kupita wapi, munajenga tu kama panya.Maku hii ni kitunda na kivule,na hapo nyumba zote kali,nje ya mji hiyo,ukiwa kwa juu unaiona hivyo sasa ukiwa unashuka ukiiona kwa karibu ndio utaiona uzuri wake
we have strong millitary na kila siku wanakufa kwa uzembe
View: https://x.com/kenyans/status/1952962947036397800?s=46
Halafu anayesema hivi ni Msomali huyu.Kesho watakwambia wao ndio wanajua Kiswahili kuliko kila mtu.
Wanatapeli sana Wazungu kwa kuwafundisha Kiswahili cha kitapeli huko Ulaya.
View attachment 3433669
Acha wivu weweTanga ambayo haina STS Gantry crane hata moja, Mtwara nayo ina Gantry crane moja pekee. Be serious, hata dryport zenu hazina enough infrastructure, nikama viwanja tu.
Hiyo kwetu ni news na mtu kashaliwa kichwa. kwenu sasa ni daily life.Kwa hivyo wenye walipost hio hawajui kitu walikua wanafanya. 🤣
So hzo picha ndio umeona kila kitu😂 yani tazama hata umbali wa hzo picha na ile ya nairobi picha haijapigwa mbalia na kila kitu kina fit kwenye one picKilimani iko wapi hapo bongolala? The picture is taken from Parklands sasa sijui hayo magorofa ya Upper Hill hayafai kuonekana or what's exactly your point?
What will you say about this picture taken in kijiko ya nyama and showing your entire cbd, kariakoo and Upanga all in one shot? Nini kilichobaki hapa?
View attachment 3433510
View attachment 3433507
Na haiko kwenye list ya slums on planet 😂😂😂😂😂Dar is slum 80% si iko hivyo.
Cherry picked kujiliwaza,., Kisha bado wageni wakiishi Kenya Kisha watembee Bongo wanaona mko nyuma ya Kenya miaka 30, licha ya kuijua Kibera, propaganda zenu hazina ushawishi dhidi ya reality🤣🤣🤣🤣🤣..,Imagine naislum 90 percent residents wanaishi huku 😂😂😂😂😂View attachment 3433545View attachment 3433546View attachment 3433547View attachment 3433548View attachment 3433549View attachment 3433550View attachment 3433551View attachment 3433552View attachment 3433553View attachment 3433554View attachment 3433555View attachment 3433556View attachment 3433557View attachment 3433558View attachment 3433559View attachment 3433560View attachment 3433561View attachment 3433562View attachment 3433563View attachment 3433564
Huyo jamaa anasema yuko HIGH DEMAND sana Kenya.Cherry picked kujiliwaza,., Kisha bado wageni wakiishi Kenya Kisha watembee Bongo wanaona mko nyuma ya Kenya miaka 30, licha ya kuinua Kibera, propaganda zenu hazina ushawishi dhidi ya reality🤣🤣🤣🤣🤣..,
View attachment 3433729