ndughuri msuya
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 2,065
- 3,218
Si mumevunja gate mukaingia kwa dezo, Kenya mnatia aibu East AfricaCoz Kenyans have money for tickets, we don’t need Airport security gates 🤣🤣🤣
Si mumevunja gate mukaingia kwa dezo, Kenya mnatia aibu East AfricaCoz Kenyans have money for tickets, we don’t need Airport security gates 🤣🤣🤣
Tanga ambayo haina STS Gantry crane hata moja, Mtwara nayo ina Gantry crane moja pekee. Be serious, hata dryport zenu hazina enough infrastructure, nikama viwanja tu.Hapo nimekuwekea inland water ports tuu sijaweka Tanga, Mtwara na new Mtwara coal port underconstruction
Kwa hivyo wenye walipost hio hawajui kitu walikua wanafanya. 🤣Hapo ni Buguruni sokoni uchafu hukusanywa gari la uchafu lipitie kubeba ila nyie uchafu daily hadi maeneo ya ofisi na makazi na hilo soko lenu hapo town ndio kabisaa uozo mtupu
Yani wewe Kila siku unaleta picha za zamani nilikuletea Chang'ombe ilivyo humu ukakimbia.Chang'ombe View attachment 3433447
Pipeline
View attachment 3433488View attachment 3433489
The difference is like day and night
Kariakoo iko wapi mbugila tope wewe!?Kilimani iko wapi hapo bongolala? The picture is taken from Parklands sasa sijui hayo magorofa ya Upper Hill hayafai kuonekana or what's exactly your point?
What will you say about this picture taken in kijiko ya nyama and showing your entire cbd, kariakoo and Upanga all in one shot? Nini kilichobaki hapa?
View attachment 3433510
View attachment 3433507
nilitegemea ofisi kua zimeungua but nimeona mabati kila kona ndio zimeungua, hvi kenya tofali ni bei gani?
View: https://x.com/standardkenya/status/1952994390735040940?s=46
Tanzanians this is how you attend football matches.
View: https://x.com/citizentvkenya/status/1951956547224961213?t=s3ZUu39yv7P7fbepITG2YQ&s=19
Kwahiyo Kenya Nairobi kuishi katika nyumba za mabati ni sawa!?You are not the smartest lot. Eti hakuna temperature Nairobi. If you can't express yourself like a literate, wachana na argument zingine.
Huko ndio kwa middle class, nyumba kali kali eti. 🤣 🤣 🤣 Bongoslum hakuna surveyors, munajenga tu vile munataka, hata barabara hamjui inafaa kupita wapi, munajenga tu kama panya.Maku hii ni kitunda na kivule,na hapo nyumba zote kali,nje ya mji hiyo,ukiwa kwa juu unaiona hivyo sasa ukiwa unashuka ukiiona kwa karibu ndio utaiona uzuri wake
we have strong millitary na kila siku wanakufa kwa uzembe
View: https://x.com/kenyans/status/1952962947036397800?s=46
Halafu anayesema hivi ni Msomali huyu.Kesho watakwambia wao ndio wanajua Kiswahili kuliko kila mtu.
Wanatapeli sana Wazungu kwa kuwafundisha Kiswahili cha kitapeli huko Ulaya.
View attachment 3433669
Acha wivu weweTanga ambayo haina STS Gantry crane hata moja, Mtwara nayo ina Gantry crane moja pekee. Be serious, hata dryport zenu hazina enough infrastructure, nikama viwanja tu.
Hiyo kwetu ni news na mtu kashaliwa kichwa. kwenu sasa ni daily life.Kwa hivyo wenye walipost hio hawajui kitu walikua wanafanya. 🤣