President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,767
- 89,792
Northern Pastoralists wa Kenya. They might be poor on paper but more wealthier than you can imagine with their cattle value. One of those guys can sell 10 cows and have more money than your average rich Bongolala. Unafikiri hizo guns wameokota kwa dustbin?…They might dress traditionally but got better weaponry than your Police . Now let’s compare the equivalent ya your traditional tribal people. Unataka nipost wale hawajui hata soda ni nini ..😁😁Watu hawana hata nguo ya ndani wanawaita watanzania maskini Kwikwikwikwikwi Tabia za marofa zipo hivyo
View attachment 3430076
Umejitahidi sana kuongeza Contrast lakini wapi. 45K mmeshindwa kijaza na Ruto kawalipia wote.The stadium is empty and other jaba stories. 🤣 🤣 🤣 Enyewe official opening ilikua leo.
![]()
Asante kwa kukubali kuwa hao ni makapuku. Haya tueleze sasa Ndani ya Nairobi unapata hii. Huu ni umasikini kiwango gani?Northern Pastoralists wa Kenya. They might be poor on paper but more wealthier than you can imagine with their cattle value. One of those guys can sell 10 cows and have more money than your average rich Bongolala. Unafikiri hizo guns wameokota kwa dustbin?…They might dress traditionally but got better weaponry than your Police . Now let’s compare the equivalent ya your traditional tribal people. Unataka nipost wale hawajui hata soda ni nini ..😁😁
Hii jana watu wakiimba Wimbo wa Taifa la Tanzania kwa upendo na unyenyekevu.
View: https://www.tiktok.com/@fobyofficial/video/7534258969913707832?is_from_webapp=1&sender_device=pc&web_id=7490481124943988279
Tufanye comparison ya ubora wa pitch sasa
Mia mbili ama hamsini? Hao wameshindwa kulipa 50 bob😂😂🤣Hawana mia mbili ya kuwatch game. waaaaa. 🤣 🤣 🤣
Hakuna asiyejua wakenya wamelipiwa kiingilio na Ruto. Hivi kwanini 80% ya wakenya ni jobless?
Waaaaa enyewe poverty is bad, nimedhani ni rwas kama huku. 🤣 🤣Mia mbili ama hamsini? Hao wameshindwa kulipa 50 bob😂😂🤣
I promise to send you $100 if you stop 🛑 talking about men all the time . This a nation to nation forum not a gay community dating site…😄😄.. stay disciplined and claim your reward 😁Haya sasa huko Kenya hawa ni wanaume wenye viuno vya nyigu
View attachment 3430066
Wewe ni kapuku. Ungekuwa na hata na $5 ungewatumia ndugu zako wakapata mloI promise to send you $100 if you stop 🛑 talking about men all the time . This a nation to nation forum not a gay community dating site…😄😄.. stay disciplined and claim your reward 😁
View: https://vm.tiktok.com/ZNd9XetcE/ wezi hao,hapo wanawavizia watu wawaibie
Tanzania ndio iliyoikomboa South Africa na Uganda. Sasa hivi tunataka kuikomboa Kenya kutoka mikononi mwa Kikuyu.Thank You South Africa for providing the tune . I wonder what was the original Tanganyika anthem before they switched….enlighten us …