President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,767
- 89,792
We nawe huishi ubishi. Mkapa kote ni vumbi. Ni Aibu. Ongezea kwamba hamna mafans kwenye viwanja aibu kubwa kwenye jumuiya
View attachment 3430043View attachment 3430046
We nawe huishi ubishi. Mkapa kote ni vumbi. Ni Aibu. Ongezea kwamba hamna mafans kwenye viwanja aibu kubwa kwenye jumuiya
View attachment 3430043View attachment 3430046
Haya sasa huko Kenya hawa ni wanaume wenye viuno vya nyiguWe nawe huishi ubishi. Mkapa kote ni vumbi. Ni Aibu. Ongezea kwamba hamna mafans kwenye viwanja aibu kubwa kwenye jumuiya
View attachment 3430043View attachment 3430046
Hakuna asiyejua wakenya wamelipiwa kiingilio na Ruto. Hivi kwanini 80% ya wakenya ni jobless?Hata Morocco na Angola wamefurahia mafans, meanwhile huko bongoslum utadhani ni training, sijawai kuona uwanja empty hivyo.
![]()
Poverty my brother.🤣🤣😂.Kwani fans have been banned au ni poverty. 🤣 🤣 🤣
Hawana mia mbili ya kuwatch game. waaaaa. 🤣 🤣 🤣Poverty my brother.🤣🤣😂.
Alafu wanajiita footballing nation😂🤣
Watu hawana hata nguo ya ndani wanawaita watanzania maskini Kwikwikwikwikwi Tabia za marofa zipo hivyoPoverty my brother.🤣🤣😂.
Alafu wanajiita footballing nation😂🤣
If they can’t make it in a stadium right in the middle of the city ( Uswaziland), how are they gonna make it in Arusha ( Afcon) which is in the middle of Serengeti ..🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwani fans have been banned au ni poverty. 🤣 🤣 🤣
Mbna serikali yenu haikuwalipia mfiche hizi aibuHakuna asiyejua wakenya wamelipiwa kiingilio na Ruto. Hivi kwanini 80% ya wakenya ni jobless?
Hebu tueleze kwanini Kenya kila mwaka ni hunger?If they can’t make it in a stadium right in the middle of the city ( Uswaziland), how are they gonna make it in Arusha ( Afcon) which is in the middle of Serengeti ..🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Piga ua, umesema that stadium in the middle of a kichaka is inaccessible. 🤣 🤣 🤣If they can’t make it in a stadium right in the middle of the city ( Uswaziland), how are they gonna make it in Arusha ( Afcon) which is in the middle of Serengeti ..🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ni umaskini. Gate fee ya 50 bob imewashinda kulipa🤣🤣😂Yaani hivi Watanzania ni masking au shida ni ni!?
Alafu utaskia wakipanua midomo hapa ati wanapenda football.Bongolala hujua tu Yanga na Simba. 🤣 🤣 🤣 Huko hakunanga proper football fans.
Kenya imekaa top kwenye group 86 minutes 🤣 🤣 🤣 🤣Alafu utaskia wakipanua midomo hapa ati wanapenda football.