Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawana mia mbili ya kuwatch game. waaaaa. 🤣 🤣 🤣
Kwikwikwikwikwi

1754244787604.png
 
Mbna serikali yenu haikuwalipia mfiche hizi aibu
Tanzania hatuna mambo hayo isitoshe hakuna mshabiki wa Mauritania au Madagasicar. Hata hapa Tanzania wangekuwa wanacheza morocco watu wangejaa. Tuliona hata huko USA mechi za kijinga watu walikuwa hawaendi.

TATIZO WAKENYA NI WASHAMBA 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣​

 
Watu hawana hata nguo ya ndani wanawaita watanzania maskini Kwikwikwikwikwi Tabia za marofa zipo hivyo

View attachment 3430076
Northern Pastoralists wa Kenya. They might be poor on paper but more wealthier than you can imagine with their cattle value. One of those guys can sell 10 cows and have more money than your average rich Bongolala. Unafikiri hizo guns wameokota kwa dustbin?…They might dress traditionally but got better weaponry than your Police . Now let’s compare the equivalent ya your traditional tribal people. Unataka nipost wale hawajui hata soda ni nini ..😁😁
 
Northern Pastoralists wa Kenya. They might be poor on paper but more wealthier than you can imagine with their cattle value. One of those guys can sell 10 cows and have more money than your average rich Bongolala. Unafikiri hizo guns wameokota kwa dustbin?…They might dress traditionally but got better weaponry than your Police . Now let’s compare the equivalent ya your traditional tribal people. Unataka nipost wale hawajui hata soda ni nini ..😁😁
Asante kwa kukubali kuwa hao ni makapuku. Haya tueleze sasa Ndani ya Nairobi unapata hii. Huu ni umasikini kiwango gani?

1754245647139.png
 
Back
Top Bottom