Yote hayo wanayajua vizuri sana, Dr. David Ndii anawaambia kila mara lakini hawasikilizi, kuna wakati aliwaambia kwamba ni vema hiyo SGR ikaishia Nairobi, kutoka Nairobi hadi Kampala, waikarabati RVR, hawamsikilizi, ndiyo sababu anakua na hasira muda na anaongoza kampeni ya kujitenga.IMF ilishawaonya kua debt to GDP ratio imefika 60% na wameshavuka red line, na nilimsikia mchumi mmoja akieleza kua kenya anakopa pesa nyingi kuchuana na tanzania na kusahau kua tanzania ina resources nyingi sana na nyungi ndio zinaanza kutumiaka sasa hvi, mfani mdogo ni SGR kenya kafanya mambo kwa pupa ili awahi kumbe kajiingiza kwenye loss ambayo itagharimu nchi miaka mingi sana na alionywa na world bank so imagine phase 1 kapigwa 3.8 billion bado riba hapo
wakat tanzania imejijikakamua kutoa pesa zake za mfukoni 3.16 b kujenga phase mbili kwa mpigo tena kujenga modern electric train with high speed, na ukumbuke tanzania bei sio kubwa kwasababu ya land is owned by gvt
unaona sasa ulivyo mpuzi? under 20flrs to 15flrs ni kama zaidi ya mia mbili hapa Nairobi. sina mda huozote zimekamilika. Mbona unaanza kulia tena
Between 10F and 25F
1.PSPF Tower |24F | COMPLETED
2.NHC Tower |23F| UC
3.Quality Boulevard|22F |U/C
4.Benjamini Mkapa Towers Tower |22F |Completed
5.City Plaza | 22F | U/C
6.KHAKI PLAZA|22F|
7.Viva Tower Tower 1| 21F | COMPLETE
8.Viva Tower Tower 2| 21F | COMPLETE
9.BOT tower North|20F|100m|Completed
10. BOT Tower South|20F|100m|Completed
11.NHC Victoria palace |20F| U/C
12.Dar es Salaam|Sanaa Tower|20|U/C
13.Al Karimo Plaza|20F | U/C
14.NSSF Ilala Mafao House|20F|COMPLETE
15.Ushirika towers | 20F | COMPLETED
16.KKOO Mall |Completed |20F
17.Kilimanjaro Towers|20F|
18.Samora Tower | 19F | COMPLETED
19.Bakhressa Tower |18F| U/C
20.PPF Tower |18F|Completed
21.Mixed used tower block|18F |
22. Storey Tower|18F|
23. Mindu apartments |18F| Completed
24.NHC Seven Eleven @Kawecity tower 1|18F| U/C
25.NHC Seven Eleven @Kawecity tower 2|18F| U/C
26.NHC Seven Eleven @Kawecity tower 3|18F| U/C
27.NHC Seven Eleven @Kawecity tower 4|18F| U/C
28.NHC Seven Eleven @Kawecity tower 5|18F| U/C
29.NHC Seven Eleven @Kawecity tower 6|18F| U/C
30.NHC Seven Eleven @Kawecity tower 7|18F| U/C
31.NHC Seven Eleven @Kawecity tower 8|18F| U/C
32.NHC Seven Eleven @Kawecity tower 9|18F| U/C
33.NHC Mindu Residential Apts | 18F | U/C
34.Dar es Salaam Ministry of Foreign Affairs |17F|
35.Batenga's |17 Floors| U/C
36.Kitonga Street Project, Upanga 17F| U/C
37.Saudi Arabia Inv Tower | 16 F | COMPLETED
38.Ushindi Residential Apartments Block 1 | 16F| U/C
39.Ushindi Residential Apartments Block 2 | 16F| U/C
40.Ushindi Residential Apartments Block 3 | 16F| U/C
41.KALENGA, UPANGA, APARTMENTS 16F |COMPLETED
42.Tanga Bohra Project | 16F | Completed
43.Nyongoro Tower 1 Project, Upanga |16F |U/C
44.Nyongoro Tower 2 Project, Upanga |16F |U/C
45.Exim Tower |16F| Completed
46.Kitega Uchumi Buidling |16F| Completed
47.GEPF Tower | 15F | COMPLETED
48.Victoria Plaza |15F| COMPLETED
49.Zanaki Street Project | 15F| Completed
50.NHC-Ngano Housing Estate |15F|
51.Wakulima Eco-Residence Tower 1|16F|U/C
52.Wakulima Eco-Residence Tower 2|16F|U/C
53.Zahra Arcade Mixed-use Tower 1 | 15F | U/C
54.Zahra Arcade Mixed-use Tower 2 | 15F | U/C
55.Canal Residency | 15F | COMPLETED
56.TAN-RE Square|15F |U/C
57.Upanga Apartment block | 15F | COMPLETED
58.Crystal Tower | 15F | U/C
59.Extelecoms House |15F| Completed
60.Sea View Tower | 15F |
61.NHC House along Samora Avenue |15F |Completed
62.Mawasiliano Towers |15F|Completed
63.KARMALI TOWER| Proposed
64.Dar es salaam|PALOMA PARK|14 FL|U/C
65.Tan House | 14F | COMPLETED
66. Fakyat Tower |14F|UC
67.Posta House |14F| Completed
68.Sabodo Parking Tower|14F|COMPLETED
69.Ushirika Tower 2 |Complete | 14F
70.CCM Building, Mvumi Street, Upanga 13F |U/C
71.Magore Street Project 13F|Completed
72.Elite Tower | 13F | COMPLETED
73.IT Plaza |13F|COMPLETE
74.Express Hotel|13F|U/C
75.Sea View Apartments |13F | COMPLETED
76.DSM Maritime Institute Tower |12F |
77.MARIFA BAY BUSINESS CENTER|U/C
78.Green Apartments, |12F |U/C
79.Sea Castle Tower|12F|COMPLETED
80.Ohio Office Park | 12F | Completed
81.Jafree Towers Project Tower 1 Upanga |12F | U/C
82.Jafree Towers Project Tower 2 Upanga |12F | U/C
83.Jafree Towers Project Tower 3 Upanga |12F | U/C
84.Kishan Tower |12F|U/C
85.Saphire Heights. Dar es salaam |11F|| COMPLETED
86.NSSF WaterFront |11F|Complete
87.Jangwani Apartments |11F | U/C
88.NIDA HQ |11F|
89.New NHC Place HQ|10F|COMPLETE
90.Mlimani Tower |10F|Complete
91.Upanga Heights|10F|UC
92.Kush Apartments Upanga, 10F |Completed
93.Msasani KKKT Mixed Use Building 10F | Completed
94.Mpingo Village Building 1|10F
95.Mpingo Village Building 2|10F|
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] times ni 30flrList yangu hii hapa
these are completes 20+ floors in
Nairobi
1. Britam tower complete 33flrs
2. UAP/Old Mutual Tower complete 33Flrs
3. Times Tower complete- 38flrs
4. Teleposta Tower complete - 27 - (These are 3 towers of 27, 25 and 23)
5. NSSF complete - 28flrs (two towers)
6. Cooperative bank tower complete - 25flrs
7. KICC complete - 28flrs
8. Hilton hotel complete- 24flrs
9. Anniversary Towers complete - 28flrs
10. Nyayo house complete - 27flrs
11. Rahimtula Tower complete - 22flrs
12. Ambank House complete - 22flrs
13. Delta Center complete - 21flrs
14.Delta corner tower A complete - 21flrs
15.Delta corners tower B complete - 21flrs
16. KCB Tower complete 23flrs
17. National Bank Tower complete 21flrs
18. Uchumi House complete - 21flrs
19. Hazina tower complete - 25flrs
20. Lonrho House complete - 22flrs
21. Reinsurance Plaza complete - 20flrs
22. Viewpark Tower complete - 20flrs
23. Ecobank Tower complete - 20flrs
24. the Bazaar complete - 20flrs
25. Afya center complete- 21 floors
26. fourth Ngong avenue tower complete 25flrs
27. University of Nairobi tower complete 22 flrs
28. Golf course hotel complete 21flrs
These are topped out 20+ floors towers
30. prism tower t/o 34flrs
31. First community bank tower 25flrs
32. Lemac tower t/o 26flrs
33. parliament tower t/o 26flrs
34. Kings dinstinction t/o 20flrs
Under Construction
35. one africa place u/c- 23 flrs
36. Upper Hill Chambers - 28flrs
37. the pinacle Tower 1 - 60flrs
38. the pinacle tower 2 - 45flrs
39. Avic tower 1 - 43 flrs
40. Avic tower 2 - 35 flrs
41. Avic tower 3 - 28 flrs
42. Avic tower 4 - 25 flrs
43. Avic tower 5 - 24 flrs
44. Avic tower 6 - 24 flrs
Na bado kuna zengine nimesahau
nilishaona ujanja wake ndio maana nikamwambia aweke picha moja baada ya moja ili niende nae sawa nashangaa kakimbia😀😀😀😀 alijua kuna mtego mbele yake[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] yimes ni 30flr
Huoni aibu ata roho inakuuma
we kikojozi, leo haulali?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] yimes ni 30flr
Huoni aibu ata roho inakuuma
T tower ni 38 floors...Mimi binafsi nimekua 36th floor acha ufala[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] yimes ni 30flr
Huoni aibu ata roho inakuuma
Eti hichi ndo wanasema ni 38[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]5] times tower
View attachment 663124
hata huyo mchumi aliongea hvo hvo kenya inataka kushindana na tanzania wakat haina resources matokeo yake wanakopa pesa ambayo inazidi kuwagharimuYote hayo wanayajua vizuri sana, Dr. David Ndii anawaambia kila mara lakini hawasikilizi, kuna wakati aliwaambia kwamba ni vema hiyo SGR ikaishia Nairobi, kutoka Nairobi hadi Kampala, waikarabati RVR, hawamsikilizi, ndiyo sababu anakua na hasira muda na anaongoza kampeni ya kujitenga.
Kenya wakumbuke kwamba, Geographically ina bahati mbaya sana, kupakana na Somalia, South Sudan na Ethiopia, zote hizo hazina biashara ya maana, badala yake ni vita na maugomvi ya koo za mipakani, nchi pekee wanayotegemea ni Uganda, pia nchi yao Mungu hakuijalia mali asili nyingi kama Tanzania, viongozi wa Kenya walipaswa kulijua hilo na kufanya miradi ambayo uchumi unaweza kuhimili, wao wanadhani kushindana ili kuonekana wapo mbele ndiyo muhimu, ni sawa na Hiace kukimbizana na Range Rover, hata kama imetangulia umbali gani, itapitwa wakati mwenye Range wala hajui kwamba mwenye Hiace anashindana.
hawa dawa yao ya uongo ipo mbona😀😀😀Eti hichi ndo wanasema ni 38[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uku kina 30
Tena juzjuz2 ndo wamebadili wikipedia
Itabidi nianze kuirekebisha sasa
weka jengo no 6 tunasubiri blah blah wachia manziSasa mnatuma proposed Tena??
Acha ufala weweT tower ni 38 floors...Mimi binafsi nimekua 36th floor acha ufala
hawa watu hawajielewi kabisaLewis nimeona list wanaeka hadi 10 floors lol
atakwambia prims tower wakat hata 30 halijafika😀Acha ufala wewe
Ivi unanichukulia wa kuja mimi
Nafatilia sana
Times ni 30flr
Na hakuja lenye flr zaid ya 33 Nairobi
![]()
Usidhan c mafara