Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kitu kiko floor ya 37 na kinazidi kupanda
Na apo wenzetu wakenya hawana ata kaghorofa kamoja juu ya 33
6ef5354d4bca88cf1e45a58b25a2fe00.jpg
308a1aa8bde176c8829f792c0165b00f.jpg
9bfb8a20695e9d9dc5fd8fdd0f71a750.jpg
8fab1f880277b3181e9ece8d82744afb.jpg
72319d45ef830e556bce8499c53db726.jpg
054dd5845cde40edccffdef3ed88af37.jpg
cfbc4cc3decebbad5c83a9bf89ceb4af.jpg
e8acb78b9b5ba58c2d43a6aa5cef6e7e.jpg
42816f14428e91bff3028fe34f3777cf.jpg
 
Yote hayo wanayajua vizuri sana, Dr. David Ndii anawaambia kila mara lakini hawasikilizi, kuna wakati aliwaambia kwamba ni vema hiyo SGR ikaishia Nairobi, kutoka Nairobi hadi Kampala, waikarabati RVR, hawamsikilizi, ndiyo sababu anakua na hasira muda na anaongoza kampeni ya kujitenga.

Kenya wakumbuke kwamba, Geographically ina bahati mbaya sana, kupakana na Somalia, South Sudan na Ethiopia, zote hizo hazina biashara ya maana, badala yake ni vita na maugomvi ya koo za mipakani, nchi pekee wanayotegemea ni Uganda, pia nchi yao Mungu hakuijalia mali asili nyingi kama Tanzania, viongozi wa Kenya walipaswa kulijua hilo na kufanya miradi ambayo uchumi unaweza kuhimili, wao wanadhani kushindana ili kuonekana wapo mbele ndiyo muhimu, ni sawa na Hiace kukimbizana na Range Rover, hata kama imetangulia umbali gani, itapitwa wakati mwenye Range wala hajui kwamba mwenye Hiace anashindana.
even kuna cousin yangu amekuja juzi katumia kq anakwambia ndege ilikua tupu yani kila mtu anajichagulia siti ya kukaa ndege tupu kabisa haina watu mpaka alipofika nairobi ikabidi wafanyiwe transfer kwenye fast jet maana wasingeweza kuwafikisha abiria wachache dar yani nimeskitika sana kq inakufa kwa ubishi na upuuzi na sifa zakijinga 😀😀😀😀
 
even kuna cousin yangu amekuja juzi katumia kq anakwambia ndege ilikua tupu yani kila mtu anajichagulia siti ya kukaa ndege tupu kabisa haina watu mpaka alipofika nairobi ikabidi wafanyiwe transfer kwenye fast jet maana wasingeweza kuwafikisha abiria wachache dar yani nimeskitika sana kq inakufa kwa ubishi na upuuzi na sifa zakijinga 😀😀😀😀
Wazee wa kupenda sifa za kijinga, hawaambiliki wala hawashauriki, muhimu kwao ni kupata sifa kwa gharama yoyote ile.
 
Hizo ni under construction
Ukiangalia hyo list hutaona ppf tower ambalo ni 16flr
si unaona vile akili yako ilivo fupi??? unaleta hapa 10flrs na kisha ni Under Construction.... Bure Kabisa wewe. Ungekuwa mbuzi ningekuchinja Krismasi
 
Yote hayo wanayajua vizuri sana, Dr. David Ndii anawaambia kila mara lakini hawasikilizi, kuna wakati aliwaambia kwamba ni vema hiyo SGR ikaishia Nairobi, kutoka Nairobi hadi Kampala, waikarabati RVR, hawamsikilizi, ndiyo sababu anakua na hasira muda na anaongoza kampeni ya kujitenga.

Kenya wakumbuke kwamba, Geographically ina bahati mbaya sana, kupakana na Somalia, South Sudan na Ethiopia, zote hizo hazina biashara ya maana, badala yake ni vita na maugomvi ya koo za mipakani, nchi pekee wanayotegemea ni Uganda, pia nchi yao Mungu hakuijalia mali asili nyingi kama Tanzania, viongozi wa Kenya walipaswa kulijua hilo na kufanya miradi ambayo uchumi unaweza kuhimili, wao wanadhani kushindana ili kuonekana wapo mbele ndiyo muhimu, ni sawa na Hiace kukimbizana na Range Rover, hata kama imetangulia umbali gani, itapitwa wakati mwenye Range wala hajui kwamba mwenye Hiace anashindana.
Thesis umefikisha wapi?
 
Kulen mchicha muangalie kwa mbali
Apo ni from manzese darajan(9km from citycentre)
Mzizima tower ishafikia 35flr na wenda zikaendelea kupanda ni kama MNF 32flr badala ya 30
Au ppf zaid ya 40 uku mkidhan 35
Kumbukeni2 apo nyie mna 33flr kamoja
Nyingine ni under
a093bfccc8b5e2cb0974716e6d09e9b4.jpg
b6c9ebaf7735e09eb8a69d8beacc4b13.jpg
 
Back
Top Bottom