mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,086
- 39,573
Ni tusi kubwa sana,anamaanisha unaharisha povu hadharani kwa kuishiwa points.Awa wa2 naskia wakisema povu...INA mean nini....ju mm najua ya sabuni
Ni tusi kubwa sana,anamaanisha unaharisha povu hadharani kwa kuishiwa points.Awa wa2 naskia wakisema povu...INA mean nini....ju mm najua ya sabuni
Kibela iko na heshima zake duniani.Those are slums ata kipofu aezi danganywa...mnajenga tower katikati ya slum..nikama britam ikiwa katikati ya kibera
Kweli mfamaji haishi kutapatapa [emoji23]hawez leta picha anajua atabanwa
U deserve a millions likes bwoyyHuwa nikiwafikiria wakenya na akili zao zilivyo ndogo, huwa ninachanganyikiwa kabisa, hivi kweli mtu mwenye akili timamu anaweza kujisifia kuwa na millionea 1000, wakati ndugu zake millioni 4 wanakufa kwa njaa?.
Wakenya mna matatizo mengi sana ya msingi nchini kwenu, millions of your people live in slums without water and sanitations, millions more are jobless, hivi kweli bila aibu mnajisifia utajiri wa watu 8300 ambao wameshikilia 62% of your GDP, really?
ni over 20+ flrs ndio ilikua ishu au ni minara??Mkuu utamaduni wetu ni picha toka mwanzo wa uzi,mbona mnauvunja wakati huu.
Kama ni list tu,tungejuaje kama majengo ya kenya yana minara ya simu juu yake???
leta picha moja baada ya moja ujanja wakishamba hatutaki leta picha moja baada ya moja na sisi tunaleta picha moja baada ya moja, ugumu uko wapi ????ni over 20+ flrs ndio ilikua ishu au ni minara??
Britam iko na 33flrs, nilijua mwenzako hatamaliza battle bila vurugu, nikamwambia ni 21flrs.
Thread ya battle over 20+ flrs alikimbia kama anadaiwa 7 towers hajawai rudi
leta picha ya kila jengo hapa unaleta ujanja wakizamani hahahhaha unaogopa kibano na ningekubana kweli kweli nisingekuacha😀😀😀😀😀😀 unaouoga wakike sana eti britam 33 imetoka 31 ishafika 33, prism haijafika hata 30fl unatuambia 34, uongo ndio hulka yanuni over 20+ flrs ndio ilikua ishu au ni minara??
Britam iko na 33flrs, nilijua mwenzako hatamaliza battle bila vurugu, nikamwambia ni 21flrs.
Thread ya battle over 20+ flrs alikimbia kama anadaiwa 7 towers hajawai rudi
kama wewe ni mwanaume wa kweli weka picha ya jengo moja baada ya moja na mm niweke alaf tuone kama utatoka humu ndani😀😀😀😀😀😀😀 blah blah waache mademni over 20+ flrs ndio ilikua ishu au ni minara??
Britam iko na 33flrs, nilijua mwenzako hatamaliza battle bila vurugu, nikamwambia ni 21flrs.
Thread ya battle over 20+ flrs alikimbia kama anadaiwa 7 towers hajawai rudi
weka izo zote 20flrsleta picha ya kila jengo hapa unaleta ujanja wakizamani hahahhaha unaogopa kibano na ningekubana kweli kweli nisingekuacha😀😀😀😀😀😀 unaouoga wakike sana eti britam 33 imetoka 31 ishafika 33, prism haijafika hata 30fl unatuambia 34, uongo ndio hulka yanu
wacha maneno mengi. listi nimekuwekea hapo, lete listi yako. usianze kuruka ruka hapa na palekama wewe ni mwanaume wa kweli weka picha ya jengo moja baada ya moja na mm niweke alaf tuone kama utatoka humu ndani😀😀😀😀😀😀😀 blah blah waache madem
nasema weka picha ya jengo niweke picha ya jengo wewe simwanaume sasa unaogopa nn anza kueka picha britam 31 fl na mm niele yangu alaf tuendelee😀😀😀😀😀weka izo zote 20flrs
tunataka picha ya jengo weka picha niweke picha mbona muoga sana wewe😀😀😀😀😀 leta picha siumeanza na britam weka picha naeka picha alaf tuendelee alaf tuone kama utatoka humu ndaniwacha maneno mengi. listi nimekuwekea hapo, lete listi yako. usianze kuruka ruka hapa na pale
mbona wewe usiweke listi yako hapa tuone ama ni nini kinachokufanya uogope??tunataka picha ya jengo weka picha niweke picha mbona muoga sana wewe😀😀😀😀😀 leta picha siumeanza na britam weka picha naeka picha alaf tuendelee alaf tuone kama utatoka humu ndani
mm nataka jengo kwa jengo ujanja wa list siutaki nataka kila kitu kiense mubashara weka jengo niweke jengo uoga wa nn mbona wenzio waliweka picha ya jengo 😀😀mbona wewe usiweke listi yako hapa tuone ama ni nini kinachokufanya uogope??
where is the pic of each building nani anaamini kama zote zipo????? weka picha unieleleze hii ni britam hii ni uap alaf na mm naeka zangu alaf tuone kama utatoka humu ndaniThese are completes 20+ floors in
Nairobi
1. Britam tower complete 33flrs
2. UAP/Old Mutual Tower complete 33Flrs
3. Times Tower complete- 38flrs
4. Teleposta Tower complete - 27 - (These are 3 towers of 27, 25 and 23)
5. NSSF complete - 28flrs (two towers)
6. Cooperative bank tower complete - 25flrs
7. KICC complete - 28flrs
8. Hilton hotel complete- 24flrs
9. Anniversary Towers complete - 28flrs
10. Nyayo house complete - 27flrs
11. Rahimtula Tower complete - 22flrs
12. Ambank House complete - 22flrs
13. Delta Center complete - 21flrs
14.Delta corner tower A complete - 21flrs
15.Delta corners tower B complete - 21flrs
16. KCB Tower complete 23flrs
17. National Bank Tower complete 21flrs
18. Uchumi House complete - 21flrs
19. Hazina tower complete - 25flrs
20. Lonrho House complete - 22flrs
21. Reinsurance Plaza complete - 20flrs
22. Viewpark Tower complete - 20flrs
23. Ecobank Tower complete - 20flrs
24. the Bazaar complete - 20flrs
25. Afya center complete- 21 floors
26. fourth Ngong avenue tower complete 25flrs
27. University of Nairobi tower complete 22 flrs
28. Golf course hotel complete 21flrs
29. prism tower t/o 34flrs
30. First community bank tower 25flrs
31. Lemac tower t/o 26flrs
32. parliament tower t/o 26flrs
33. Kings dinstinction t/o 20flrs
😀😀😀😀😀