Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya mna PHD ya knowledge ya slums ila una play a fool to call that resident kuwa ni slum.

Hiyo ni high density area, nyumba zimepangwa kuwa karibu karibu. Hapo ata ukiangalia unaona kuna proper roads, kuna open space, hizo nyumba zote zina proper sewage systems, power na running water. Viwanja vya mbele lilipo hilo jengo la PPF ni low density vinapakana na Sam nujoma road, vipo kibao iki include TCRA hq kwa wakaz wa Dar washaelewa.

So kijana acha ushamba hiyo siyo slum. Ukitaka Certified slums nenda Nairobi, toka uko ushago ulipo.
Those are slums ata kipofu aezi danganywa...mnajenga tower katikati ya slum..nikama britam ikiwa katikati ya kibera
 
Wacha ukuma umepewa list tunataka list pia..ukishindwa unaanza ujinga
We mbuzi wa tambiko,hili jukwaa sio la mapovu ya kipindupindu,ni fact juu ya fact.huna fact kavue chup yako ufue hatutaki kelele.

Umeambiwa weka jina la jengo na picha yake likiwa limeisha unarukaruka tu kama inzi ya chooni huwezi omba msaada usaidiwe sisi tunaweza kukupa msaana.
 
We mbuzi wa tambiko,hili jukwaa sio la mapovu ya kipindupindu,ni fact juu ya fact.huna fact kavue chup yako ufue hatutaki kelele.

Umeambiwa weka jina la jengo na picha yake likiwa limeisha unarukaruka tu kama inzi ya chooni huwezi omba msaada usaidiwe sisi tunaweza kukupa msaana.
huyo kashalewa anaongea nonsense😀😀😀
 
Hawa tz bure 2. Wanaringa na 1200 millionaire sisi nai tuna 6200
Huwa nikiwafikiria wakenya na akili zao zilivyo ndogo, huwa ninachanganyikiwa kabisa, hivi kweli mtu mwenye akili timamu anaweza kujisifia kuwa na millionea 1000, wakati ndugu zake millioni 4 wanakufa kwa njaa?.

Wakenya mna matatizo mengi sana ya msingi nchini kwenu, millions of your people live in slums without water and sanitations, millions more are jobless, hivi kweli bila aibu mnajisifia utajiri wa watu 8300 ambao wameshikilia 62% of your GDP, really?
 
Back
Top Bottom