Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Stick to ushago manenos sio celebrities ..
markup_39781 (1).png
markup_41354.jpg
 
Maku nitolee ubwege wako wa kuitaja america kwenye kila comment yako pambavu,last time I checked TZ ndio ilikua inaongoza kuwaletea remmitance huko ukunyan,hapa TZ kuna kunyan hadi walima mchicha
I know you hate America coz you got deported. But its where I live and I will continue to use it as an example if the narrative fits . Hata wenzako hapa do the same on a daily basis na hupayuki . Wacha selective outrage…🤣🤣
 
The future of Kenya rural wealth… some houses have dropped already in Nyanza region. And since Kenyans are famous for copy cat in trends, the modern style of building is spreading all over rural Kenya. Swimming pools and Jacuzzis are no longer something to brag about huko Ushago in many places …
View attachment 3419903
Umesema ni za wakulima wa avocado sio Kumbe nyumba za kupangishwa zilizo Nairobi siku hizi ni nyumba za wakulima wa walliopo kilifi
chrome_screenshot_Jul 26, 2025 11_00_22 PM GMT+03_00.png

 
I call you on ur bs .And if you see a Kenyan working in a hotel or bar outside of management, means a Kenyan own that business just like those Kenya Railway shirts printed in TZ by a Kenyan owned company 😜
🤣🤣🤣🤣🤣. Utachekwa ndugu kazi za hotel watanzania wengi wanazidharau ,
chrome_screenshot_Jul 26, 2025 11_11_50 PM GMT+03_00.png

Kwahiyo wakulima siku hizi wanakaa Nairobi . Kumbe Nairobi kuna Mashamba ya avocado🤣🤣🤣🤣
chrome_screenshot_Jul 26, 2025 11_08_38 PM GMT+03_00.png

Acha kuokota picha za mitandaoni kujifurahisha
 
I know you hate America coz you got deported. But its where I live and I will continue to use it as an example if the narrative fits . Hata wenzako hapa do the same on a daily basis na hupayuki . Wacha selective outrage…🤣🤣
Screenshot_20250725-215354.png
Screenshot_20250725-215246.png

Babu jinga nikuambie tu mimi america hata kesho nikitaka kuja nakuja,nina familia huko tena sio za kuunga unga uamerika wa green card,nilipokua huko nilikua naendesha van za cousin yangu na anamiliki trucks zaidi ya 10,hapo TZ babu yangu alishashika nyadhifa za namba 2,namba 3 na nyadhifa kibao,sema ndio wale wazee wa zamani awakua wezi serikali,ila walisambaza familia zao europe na america,fani yangu welder na aluminum window specialist,welder nimesomea sweden,kampuni ninayofanya inapiga kazi europe so america kwann mimi,hii july nilikua malta kwa siku 5 now nipo kwa neta hapa tunarekebisha majengo,mwezi na nusu nitakua hapa maku ww,na kila miezi 4 naenda bongo mimi sio mshamba wa america maku ww
 
Ebu leta nyumba za kilifi huko kwa wakulima buana🤣🤣🤣🤣
I have a big farm Nanyuki so you can count me as a farmer ( kind of) . So when I post my finished project ya nyumba , utaanguka tu ..😜… it’s Baking kimya kimya .. ( Thanks to this forum for teaching me those 2 words)
 
View attachment 3419912View attachment 3419913
Babu jinga nikuambie tu mimi america hata kesho nikitaka kuja nakuja,nina familia huko tena sio za kuunga unga uamerika wa green card,nilipokua huko nilikua naendesha van za cousin yangu na anamiliki trucks zaidi ya 10,hapo TZ babu yangu alishashika nyadhifa za namba 2,namba 3 na nyadhifa kibao,sema ndio wale wazee wa zamani awakua wezi serikali,ila walisambaza familia zao europe na america,fani yangu welder na aluminum window specialist,welder nimesomea sweden,kampuni ninayofanya inapiga kazi europe so america kwann mimi,hii july nilikua malta kwa siku 5 now nipo kwa neta hapa tunarekebisha majengo,mwezi na nusu nitakua hapa maku ww,na kila miezi 4 naenda bongo mimi sio mshamba wa america maku ww
Story za abunuasi na omba omba wa kiatu kimoja 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Toka hapo Kajiando uzunguke Tanzania mdogo wangu. Pitia hii video halafu ukimaliza kuitazama jiite kuwa wewe ni mwehu


View: https://youtu.be/usawus9p-cI?si=_bchM8yd8I8cr7RE
 
I have a big farm Nanyuki so you can count me as a farmer ( kind of) . So when I post my finished project ya nyumba , utaanguka tu ..😜… it’s Baking kimya kimya .. ( Thanks to this forum for teaching me those 2 words)
Huwa sisi hatuna tabia ya showoff anyway acha kuokota picha kwa mitandao unajiabisha
Hapa ilikuwa nii wakulima Mimi nimekuletea mfano wa Kijiji Cha wakulima wanaolima migomba na kadhalika na mixture ya wengine acha kuokota picha leta picha ya Kijiji kama hicho. Video
chrome_screenshot_Jul 26, 2025 11_46_03 PM GMT+03_00.png
 
Back
Top Bottom